Trapped to a married man

Trapped to a married man

Kama hivyo ndivyo, bibie kubali kuolewa, sababu na wewe unakuwa mke halali ila unakuwa wa pili tu. Moja, na mbili zote ni namba tu ili kubainisha na kujua nani kaanza nani kafata.

Olewa bibie..... ni hayo tu.
Kuolewa sio dhambi. Ila kuolewa kisiri khaa, kwamba mkewe asijefahamu kama jamaa kaoa, ndio ndoa gani sasa!?
 
Ndoa ya kisiri hahahah

Halafu kuna jamaa single nae katangaza ndoa, bado mtu anakosa maamuzi kweli!!!???

Anadhani huyo mume wa mtu hayo mafanikio kazaliwa nayo, amehangaikia huku mkewe akiwa anamsaidia kumpikia, kumfulia, kumuandalia sehemu nzuri ya kulala, kumshauri pia.


Ni heri amtengeneze mumewe.

Hali nzuri ya kiuchumi ya mume wa mtu haihusiani na hali ya maisha yake na huyo mume wa mtu, pesa ni zake sio za wote.

Na waume za watu wanavuta tu mtu ili wampate, akishazaa hakuna rangi hataiona, atamzoea na hapo mwanaume atakumbuka jinsi alivyosota na mkewe na atarudi kutulia na mkewe

Kijana single anakuwa kashaoa.

Single mom anaongezeka mtaani.
Wanawake wengi tuna penda ready made ya wanaume hatujui hustle za wake zao na maombi Hadi kufika hapo, I'm sure hata huyo dada akiolewa mwanaume ataporomoka uchumi wote.
Na kila mwanaume kwa mchepuko husifia hata visivo faa, ka ana mpenda aonyeshe talaka na amuoe hadharani sio kisiri hata hyo apartment Ni daganya Toto ya kumuingiza kingi ili ajae wafunge ndoa then ale corner, na mke hamuachi, ng'o Kuna wanawake wamejenga na nyumba kabisa.
Mume wa mtu sio wakumweka kwenye mahesabu
 
Kuolewa sio dhambi. Ila kuolewa kisiri khaa, kwamba mkewe asijefahamu kama jamaa kaoa, ndio ndoa gani sasa!?
Mnachosahau ni kuwa usiri huwa unakuwa mwanzoni, na sisi huwa tuna hekima zetu kufanya siri, siyo tunakurupuka. Hayo ni mahesabu tu ila lazima mke mkubwa aje kujua.
 
Hawajui wanaume vizuri hapo ukute mwanaume kashikwa na mchepuko mwingine kagombana na mkewe ndo kamkumbuka, na ukute kajua ana mwanaume serious kajirudisha, in short mwanaume mwenye mke Ni wakula Raha basi hyo ya kujifanya nakupenda Ni uongo wao tu. Kwanza mwanamke kumpenda mwanaume Ni kupoteza mda Hawa viumbe hawaridhiki

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Aisee
 
Kwani sharti la ndoa ni nini ? Kwamba mtu akiolewa kwa siri ndoa haikubaliki au ?
Haikubaliki kwetu wakristo ndoa ni moja tofauti na zenu, mtu ana Nia njema kwanini afanye Siri?
 
Mnachosahau ni kuwa usiri huwa unakuwa mwanzoni, na sisi huwa tuna hekima zetu kufanya siri, siyo tunakurupuka. Hayo ni mahesabu tu ila lazima mke mkubwa aje kujua.
Hawa ni wakristo ujue! Ingekuwa kama sisi mbona nami ningemtakia kheri aje kulia mbele ya safari
 
Hawajui wanaume vizuri hapo ukute mwanaume kashikwa na mchepuko mwingine kagombana na mkewe ndo kamkumbuka, na ukute kajua ana mwanaume serious kajirudisha, in short mwanaume mwenye mke Ni wakula Raha basi hyo ya kujifanya nakupenda Ni uongo wao tu. Kwanza mwanamke kumpenda mwanaume Ni kupoteza mda Hawa viumbe hawaridhiki
Umeongea kwa hisia mpaka nimejitafakari na mimi juu ya unavyotutazama wanaume.

Mimi ni mwanaume lakini nimezaliwa na Mwanamke, nina Siblings wakike sasa vipi kama mama yangu angetelekezwa na baba kisa mwanamke aliyeshindwa kucontrol tamaa kama huyu. Ama dada yangu atelekezwe leo hii kisa selfish mmoja wa namna hii. It's not fair.
 
Haikubaliki kwetu wakristo ndoa ni moja tofauti na zenu, mtu ana Nia njema kwanini afanye Siri?

Andiko gani katika Biblia linakataza mitala ?

Usiri huwa tunafanya kwa ajili ya kuusoma upepo kwa mke mkubwa, sababu tulio wengi wake zetu wakubwa huwa wakorofi sana.

Pili, ngoja nikuulize swali usiri unao ongelewa hapa unauelewa au kwako wewe usiri wa ndoa ni upi ?
 
Hawa ni wakristo ujue! Ingekuwa kama sisi mbona nami ningemtakia kheri aje kulia mbele ya safari
Ina maana Ukristo hauruhusu kabisa Mitala ?

Kama ni hivyo basi akaolewe na mdau mwingine.
 
True mwanaume si kiumbe wa kumwamini labda baba yangu na kaka yangu tu basi

Mbona tuna aminika tu vizuri cariha , lakini hii si ishu ya wanaume tu sababu huyu binti tayari alikuwa na kijana mwenzie mwingine ambaye hajaoa

Tufikiri kwamba yule kijana kule ni mwaminifu na kweli anataka kumuoa, Je si yeye ndiyo muhanga

Trust issues nafikiri ipo kote tu si kwetu wanaume peke yake

Utakuta baadaye muanzisha mada anatuita wanaume wote mbwa kumbe ni yeye alikosea kufanya maamuzi
 
Andiko gani katika Biblia linakataza mitala ?

Usiri huwa tunafanya kwa ajili ya kuusoma upepo kwa mke mkubwa, sababu tulio wengi wake zetu wakubwa huwa wakorofi sana.

Pili, ngoja nikuulize swali usiri unao ongelewa hapa unauelewa au kwako wewe usiri wa ndoa ni upi ?

Nia ya usiri ni kuto muathiri bi mkubwa
Ila ndugu wa mume mpaka mama mkwe mawifi marafiki wananijua
Nisingependa huyu mke mkubwa aumie kwasababu ya mume wake ndio maana nalitafakari hili
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi
Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.
Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi,mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.
Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo
Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.
Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote.Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia
The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha
Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu.Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba,na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu
To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi
Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi ?Wanaume mlio oa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo
Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea
PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Duuh, huyo mume wa mtu atayagawa vipi majukumu yale kwa familia zote mbili...upo tayari kupewa zamu?

All in all, angalia wapi palipo pema kwako ila nadhani huyo kijana mwenzio ana future zaidi kuliko huyo married man, kama anakupenda kweli ndoa isingekua ya siri, angetaka akuweke hadharani bila kujali na sio sirini
 
Mbona tuna aminika tu vizuri cariha , lakini hii si ishu ya wanaume tu sababu huyu binti tayari alikuwa na kijana mwenzie mwingine ambaye hajaoa

Tufikiri kwamba yule kijana kule ni mwaminifu na kweli anataka kumuoa, Je si yeye ndiyo muhanga

Trust issues nafikiri ipo kote tu si kwetu wanaume peke yake

Utakuta baadaye muanzisha mada anatuita wanaume wote mbwa kumbe ni yeye alikosea kufanya maamuzi
Uliloandika Ni kweli Ila binti huko alifata kuhongwa vizuri yeye hajazaa ujue Bora wale huchepuka kwa starehe Ila huyu ana ndoa na watoto imagine hyo familia ikivunjika na ujue huwezi penda vitu viwili kwa usawa imagine hyo energy ya kuhonga mchepuko Ange invest kwa mkewe na familia.
 
Ina maana Ukristo hauruhusu kabisa Mitala ?

Kama ni hivyo basi akaolewe na mdau mwingine.
Hauruhusu, hivyo hiyo ndoa itakuwa ya siri milele na ataishi kama michepuko wengine tu. Na si hivyo tu, endapo lolote likimtokea huyu mumewe iwe kustaafu au kufariki basi hana haki yoyote kwa kuwa hatambuliki kama mke.

Na mume anaonekana anampenda sana mkewe ndio maana anataka ndoa ya siri.

Kingine nachokiona , mtoa uzi anadhani mahaba wanayopeana saizi yatadumu milele hivyo hivyo.

But kubwa ambalo kalirudia rudia ni hali nzuri ya kiuchumi ya mume wa mtu, kiasi anaonesha kinachomvutia si mapenzi bali uchumi wa huyo mume wa mtu.

Anasahau kuwa uchumi huwa unapanda au unaporomoka

Ila hajui kuwa wanawake tukishazaa tunaanza kutamani familia ikamilike, awepo baba, mama na mtoto/watoto waamke pamoja wafurahi pamoja. Ikifika hapa ndipo ataona kitu gani anakikosa pale mume wa mtu yupo kwa mkewe na hawezi kutoka, wakati huo yeye na mtoto/watoto wanamuhitaji pia.


Lakini watoto wataozaa watakosa haki ya kuwajua ndugu zao hadi mume atapofariki[emoji23][emoji23]watavyovamia msiba

So sad!!!
 
Back
Top Bottom