Hauruhusu, hivyo hiyo ndoa itakuwa ya siri milele na ataishi kama michepuko wengine tu. Na si hivyo tu, endapo lolote likimtokea huyu mumewe iwe kustaafu au kufariki basi hana haki yoyote kwa kuwa hatambuliki kama mke.
Na mume anaonekana anampenda sana mkewe ndio maana anataka ndoa ya siri.
Kingine nachokiona , mtoa uzi anadhani mahaba wanayopeana saizi yatadumu milele hivyo hivyo.
But kubwa ambalo kalirudia rudia ni hali nzuri ya kiuchumi ya mume wa mtu, kiasi anaonesha kinachomvutia si mapenzi bali uchumi wa huyo mume wa mtu.
Anasahau kuwa uchumi huwa unapanda au unaporomoka
Ila hajui kuwa wanawake tukishazaa tunaanza kutamani familia ikamilike, awepo baba, mama na mtoto/watoto waamke pamoja wafurahi pamoja. Ikifika hapa ndipo ataona kitu gani anakikosa pale mume wa mtu yupo kwa mkewe na hawezi kutoka, wakati huo yeye na mtoto/watoto wanamuhitaji pia.
Lakini watoto wataozaa watakosa haki ya kuwajua ndugu zao hadi mume atapofariki[emoji23][emoji23]watavyovamia msiba
So sad!!!