Trapped to a married man

Trapped to a married man

Nia ya usiri ni kuto muathiri bi mkubwa
Ila ndugu wa mume mpaka mama mkwe mawifi marafiki wananijua
Nisingependa huyu mke mkubwa aumie kwasababu ya mume wake ndio maana nalitafakari hili
It seems huyo mama mkwe na familia wanataka kumkomoa huyo mke mkubwa vile ukute hawalambi makalio na wewe unajipendekeza huko uonekane vizuri, so be careful ka ana mtenda mkewe unafikiri wewe papuchi yako inatoka dunia nyingine?
 
Nia ya usiri ni kuto muathiri bi mkubwa
Ila ndugu wa mume mpaka mama mkwe mawifi marafiki wananijua
Nisingependa huyu mke mkubwa aumie kwasababu ya mume wake ndio maana nalitafakari hili
It seems unamaamuzi yako tayari ila tuu unataka wana JF wakupitishie mawazo yako hayo ya kuwa na mme wa mtu...nakushauri ishinde tamaa acha kabisa kuingilia ndoa ya mwenzio ilhali unae kijana mwenye nia ya dhati.

Nakazia...achana na mme wa mtu!
 
Nia ya usiri ni kuto muathiri bi mkubwa
Ila ndugu wa mume mpaka mama mkwe mawifi marafiki wananijua
Nisingependa huyu mke mkubwa aumie kwasababu ya mume wake ndio maana nalitafakari hili
Mimi naamini kabisa kwa maelezo yako ni umeshafanya maamuzi, upo hapa kupata baraka zetu tu.

Mimi nakubariki, na tunapenda baada ya miaka kadhaa utuletee mrejesho.
 
Andiko gani katika Biblia linakataza mitala ?

Usiri huwa tunafanya kwa ajili ya kuusoma upepo kwa mke mkubwa, sababu tulio wengi wake zetu wakubwa huwa wakorofi sana.

Pili, ngoja nikuulize swali usiri unao ongelewa hapa unauelewa au kwako wewe usiri wa ndoa ni upi ?
Hii mada unataka kuharibu na Mambo ya biblia naomba tuweke kando hayo Mambo kabisa.
Hafu kwanini uangalie upepo wa bi mkubwa huko Ni staki na taka na tamaa tu.
 
Hauruhusu, hivyo hiyo ndoa itakuwa ya siri milele na ataishi kama michepuko wengine tu. Na si hivyo tu, endapo lolote likimtokea huyu mumewe iwe kustaafu au kufariki basi hana haki yoyote kwa kuwa hatambuliki kama mke.

Na mume anaonekana anampenda sana mkewe ndio maana anataka ndoa ya siri.

Kingine nachokiona , mtoa uzi anadhani mahaba wanayopeana saizi yatadumu milele hivyo hivyo.

But kubwa ambalo kalirudia rudia ni hali nzuri ya kiuchumi ya mume wa mtu, kiasi anaonesha kinachomvutia si mapenzi bali uchumi wa huyo mume wa mtu.

Anasahau kuwa uchumi huwa unapanda au unaporomoka

Ila hajui kuwa wanawake tukishazaa tunaanza kutamani familia ikamilike, awepo baba, mama na mtoto/watoto waamke pamoja wafurahi pamoja. Ikifika hapa ndipo ataona kitu gani anakikosa pale mume wa mtu yupo kwa mkewe na hawezi kutoka, wakati huo yeye na mtoto/watoto wanamuhitaji pia.


Lakini watoto wataozaa watakosa haki ya kuwajua ndugu zao hadi mume atapofariki[emoji23][emoji23]watavyovamia msiba

So sad!!!
Nimekuelewa.
 
Uliloandika Ni kweli Ila binti huko alifata kuhongwa vizuri yeye hajazaa ujue Bora wale huchepuka kwa starehe Ila huyu ana ndoa na watoto imagine hyo familia ikivunjika na ujue huwezi penda vitu viwili kwa usawa imagine hyo energy ya kuhonga mchepuko Ange invest kwa mkewe na familia.

Hapa ni dhahiri mwanamme mwenzetu ameyumba kidogo hizi rasilimali zote alizotumia angewekeza kwenye familia yake hakuna ambacho, angepoteza

ila ndiyo hivyo tena ana ile ego ya Alpha male vyote vyake apate vingi
 
It seems unamaamuzi yako tayari ila tuu unataka wana JF wakupitishie mawazo yako hayo ya kuwa na mme wa mtu...nakushauri ishinde tamaa acha kabisa kuingilia ndoa ya mwenzio ilhali unae kijana mwenye nia ya dhati.

Nakazia...achana na mme wa mtu!
Tumewaza pamoja.

Tumbariki tu hakuna namna
 
Nia ya usiri ni kuto muathiri bi mkubwa
Ila ndugu wa mume mpaka mama mkwe mawifi marafiki wananijua
Nisingependa huyu mke mkubwa aumie kwasababu ya mume wake ndio maana nalitafakari hili

Wewe bana sikiliza..!

Kwanza, wengi wanaojidai kukushangaa hapa hasa wanawake, wao wenyewe wanatembea na waume za watu!!

Pili kama ulivyosema wewe, maisha ni mafupi haya, wanaosema ooh vumilia sijui usiipe nafasi furaha ya muda mfupi... wee usiwasikilize hao wana stress zao. Bora furaha ya muda mfupi kuliko kukosa kabisa furaha. Hakuna zawadi utakayopewa kwa kuishi maisha ya tabu. Maisha ni hayahaya usipoenjoy sasahivi ndio basi tena.

Ushauri: We chakufanya, olewa na hako kakijana kanakokupenda ila usiachane na yule mume wa mtu. Badala ya kufunga ndoa kisirisiri ambapo itakulazimu kuachana na yule kijana, wewe olewa na kijana huku ukiendelea kumfaidi mume wa mtu. Nina uhakika mume wa mtu hatakua na pingamizi katika hilo. Hii itakua ni win win situesheni.
 
Hii mada unataka kuharibu na Mambo ya biblia naomba tuweke kando hayo Mambo kabisa.
Hafu kwanini uangalie upepo wa bi mkubwa huko Ni staki na taka na tamaa tu.
Hakuna tamaa hapo, bali akili imechukua nafasi yake. Wake zetu wengi ni wabinafsi, wanataka wale mema ya nchi peke yao. Wakati wapo wenzao kibao wanahitaji mema hayo.
 
Umeongea kwa hisia mpaka nimejitafakari na mimi juu ya unavyotutazama wanaume.

Mimi ni mwanaume lakini nimezaliwa na Mwanamke, nina Siblings wakike sasa vipi kama mama yangu angetelekezwa na baba kisa mwanamke aliyeshindwa kucontrol tamaa kama huyu. Ama dada yangu atelekezwe leo hii kisa selfish mmoja wa namna hii. It's not fair.
It hurt a lot bana ndio Mana nikiwa kwa ndoa nitafanya yangu kwa umakini wallah, siwezi ruhusu kitu tulichochuma kije kusambaratishwa wallah kwanza na deal na mume and mchepuko. So ni heri mtu kukutana kwa starehe na kuzaa mengine Bora kuwa independent tukichokana na mkataba mind ur bussiness in peace kuliko kudaganyana na kufichana
 
Hauruhusu, hivyo hiyo ndoa itakuwa ya siri milele na ataishi kama michepuko wengine tu. Na si hivyo tu, endapo lolote likimtokea huyu mumewe iwe kustaafu au kufariki basi hana haki yoyote kwa kuwa hatambuliki kama mke.

Na mume anaonekana anampenda sana mkewe ndio maana anataka ndoa ya siri.

Kingine nachokiona , mtoa uzi anadhani mahaba wanayopeana saizi yatadumu milele hivyo hivyo.

But kubwa ambalo kalirudia rudia ni hali nzuri ya kiuchumi ya mume wa mtu, kiasi anaonesha kinachomvutia si mapenzi bali uchumi wa huyo mume wa mtu.

Anasahau kuwa uchumi huwa unapanda au unaporomoka

Ila hajui kuwa wanawake tukishazaa tunaanza kutamani familia ikamilike, awepo baba, mama na mtoto/watoto waamke pamoja wafurahi pamoja. Ikifika hapa ndipo ataona kitu gani anakikosa pale mume wa mtu yupo kwa mkewe na hawezi kutoka, wakati huo yeye na mtoto/watoto wanamuhitaji pia.


Lakini watoto wataozaa watakosa haki ya kuwajua ndugu zao hadi mume atapofariki[emoji23][emoji23]watavyovamia msiba

So sad!!!
Naomba urudie tena kumwambia haya maneno. Umesema vizuri sana.

Rudia, you might save some souls.
 
Hakuna tamaa hapo, bali akili imechukua nafasi yake. Wake zetu wengi ni wabinafsi, wanataka wale mema ya nchi peke yao. Wakati wapo wenzao kibao wanahitaji mema hayo.
Ndio kwani mumekatwaza kula mema ya nchi kila mtu na Uhuru wa mwili wake nashangaa mtu Hali maisha akijifanya mtakatifu woi Mimi siwezi
 
Mimi huyu sijampa chochote sijamfanyia lolote la ajabu kama wanaume wengine namtreat sawa na wengine
Hiyo issue ya kudanja inatafutiwa ufumbuzi mwingine kabla ya kudanja ili mke asiyekuwa na makaratasi aweze kuishi vyema pamoja na watoto tutakaowazaa.
Kitu nilicho gundua, mpaka sasa hamjajishtukia kua nyinyi ndio wahusika wakuu alafu mnahadithiana situation zenu [emoji23][emoji23]
 
Ndio kwani mumekatwaza kula mema ya nchi kila mtu na Uhuru wa mwili wake nashangaa mtu Hali maisha akijifanya mtakatifu woi Mimi siwezi
Sijakuelewa hapa unamaanisha nini ?
 
Hapa ni dhahiri mwanamme mwenzetu ameyumba kidogo hizi rasilimali zote alizotumia angewekeza kwenye familia yake hakuna ambacho, angepoteza

ila ndiyo hivyo tena ana ile ego ya Alpha male vyote vyake apate vingi
Mimi mume wangu nakuwa makini yeye Sina shida naye kabisa afanye lolote na michepuko Ila anapogusa masilahi ya vitu nimehangaika navyo nitakachofanya Mungu anajua wallah. Sometimes in life vitu vingine tuki ignore Ila ninavopenda hela halAli
 
Kitu nilicho gundua, mpaka sasa hamjajishtukia kua nyinyi ndio wahusika wakuu alafu mnahadithiana situation zenu [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mchepuko juu ya mchepuko 😜😜😜
Dunia hadaa.......
Wewe bana sikiliza..!

Kwanza, wengi wanaojidai kukushangaa hapa hasa wanawake, wao wenyewe wanatembea na waume za watu!!

Pili kama ulivyosema wewe, maisha ni mafupi haya, wanaosema ooh vumilia sijui usiipe nafasi furaha ya muda mfupi... wee usiwasikilize hao wana stress zao. Bora furaha ya muda mfupi kuliko kukosa kabisa furaha. Hakuna zawadi utakayopewa kwa kuishi maisha ya tabu. Maisha ni hayahaya usipoenjoy sasahivi ndio basi tena.

Ushauri: We chakufanya, olewa na hako kakijana kanakokupenda ila usiachane na yule mume wa mtu. Badala ya kufunga ndoa kisirisiri ambapo itakulazimu kuachana na yule kijana, wewe olewa na kijana huku ukiendelea kumfaidi mume wa mtu. Nina uhakika mume wa mtu hatakua na pingamizi katika hilo. Hii itakua ni win win situesheni.
 
Back
Top Bottom