Trapped to a married man

Trapped to a married man

Siamini kwenye limbwata mkuu. Ninachoamini kuna wanawake wengine watamu sana na pia ni warembo. Ukikuta mtoto mrembo halafu ni mtamu pia sio mchoyo kukupatia basi hilo ndio limbwata unalolisema.
Ukisha rasmisha huyo nyumba ndogo ndipo utaomba dunia ipasuke. Wanawake huwa hawaridhiki hapo anatafuta uhalali, akiupata anataka atambulike kwa ndugu zako rasmi, akifanikiwa anakuja kwa mkeo maana atataka mkeo ajue wapo wawili; kifuatacho atataka umpige kibuti ili abaki peke yake. Hivi unajua nani wataathirika zaidi? Jibu ni kuwa ni watoto wako. Kama una mabinti hao sahau. Piga nje ila usioe ndugu yangu yakakufika yetu! Nduki
 
mkuu hi comment umeitoa kwa jazba Sana .
Pole kwa kilichokukuta huo mwaka.
Nilishapoa ndugu, ila huwa kuna mambo nikiyaona huwa naghafirika sana. Ujue kujitoa kwa mtu ukiwa huna au una kidogo ila unaona wacha apate yeye kwanza angalau asijeweweseka na wenye navyo na mipango kede kede kumbe mtu huku pembeni ana mipango yake tofauti juu ya hicho mnachokipanga kila siku mkiwa wawili.

Huyu mdada kwa nini asimwambie tu huyo jomba ambaye yupo single kwamba mimi sina mpango na wewe, niko na mtu ila ukitaka kukaa kaa, usipotaka kaangalie mbele ili jomba achague mwenyewe. Kawahold wote halafu anashindwa kuamua afanye lipi
 
Olewa na huyo ambae hanamke, hiyo ndoa ya Siri baadae itakutesa Sana ..watu wanapata vichaa sababu hii, unadhani familia yake wakijua itakuaje. Kama kweli anakupenda isiwe ndoa ya Siri.

Hapo ndo utajikuta unatamani kuwa muislamu😂😂😂😂
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi,mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba,na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Pole kwa changamoto my dear.
Nikiwa kama mume wa mwenyewe, nashauri kwa upendo tu, oana na huyo kaka bachelor, uachane na huyo mume wa mtu. Kwa sababu bottom line, one day atarejea kwa mkewe mazima na atakuacha. Lakini pia, assume wewe umeolewa, then jamaa anapata dada mwingine mzuri sana na anamuoa kisiri huku akiwa na wewe, utajisikiaje? Maoni haya ni yangu!
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi,mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba,na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Kama ameweza kumsaliti mkewe aliyempenda kabla yako na kumuoa basi ujue siku zako za kulia na kusaga meno zinakuja, atapata chombo kipya na kukukimbia tena! Siyo mume huyo.
Ushauri wangu; chukua chako mapema (mtaji na hiyo nyumba anayokujengea) then jikate.
 
Kama ana kupenda kwa dhati kabisa, mtafunga hiyo ndoa lakini mke mkubwa atatelekezwa.
Mungu husikiliza sana kilio cha mwanamke, msala utakao upata hauta sahau...labda asiwe muombaji.
 
Cariha umalaya umekupofusha , na ww ni mkristo wa kuzaliwa ila majini ya kishetani ndio yalikutawala moyo wako na bora unyamaze kimya kuliko kuendelea kupotosha watu.

Mada zako zote unashadidia usingle mother , ubinafsi , kuchepuka , kudanga , kuwa huru , unasema wewe mkristo na unaongozwa na ndoa ya kikristo unalijua neno la Mungu wewe ?

Neno la Mungu linasema huna haki wala uhuru kwa mwili wako unapoolewa au kuoa , kwenye ndoa mke ni mume ndiye aliyeshika uhuru wako na mume ni mke ndiye aliyeshika uhuru wako , sasa nyie akina cariha kizazi kilichopotea kwa kukosa malezi na kuongozwa na tamaa zenu mmekuwa mstari wa mbele kupinga mpango wa Mungu aliounzisha kuhusu ndoa , mmejawa na mafundisho ya kishetani ni wepesi kutoa ushauri wa kishetani kama unavyomshauri binti huyu ambaye naye nafsi yake inaongozwa na tamaa kali inayozidi hata kweli na hofu ya Mungu .

Wanawake wote wanaofanikiwa kujenga ndoa ni wale wanaomtegemea Mungu kwa kufuata kweli ya neno la Mungu kwani mwanamke ( Hawa) ndiye aliyedanganywa na shetani na si mwanaume mpaka dhambi na mauti ikaingia ulimwenguni , wanawake wanaojitambua wanajua hilo na hupingana na shetani usiku na mchana na wengi wao ndio hao wenye ndoa imara , watoto wenye malezi bora na watoto wao huwa baraka katika jamii , akina cariha mkae mkijua hamtaweza kamwe kumshinda Mungu katika mipango yake, lakini Mungu atabaki kuwa Mungu wamwaminio wapo na nyie mnaomwamini shetani kwa mgongo wa ukristo wa kuzaliwa endeleenj na maisha yenu ya kipagani.

Hamjachelewa kumbukeni kumrudia Mungu kabla hamjaswaliwa , saidieni jamii sio kuipotosha .
Hili povu vepeeeeeh? Lol
 
"Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu"

Vijana wenzangu tutafute hela tu si mmeona kinachoendelea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnooh lol
 
Qmamamae, halafu kuna Mpumbafu mmoja huko anataka Kumjua Mwanamke!? Tangu linitokee tukio langu tarehe 25/07/2012, taabu niliyoipitia, uchungu nilioukwaa, kejeli nilizozipata. Hakika sitotaka wala kutamani kumjua tena. Wewe dada fanya unavyojisikia tu, kwani Mbunye si yako bana
Duuuuh poleeee San, maan umeongea kwa jazba mnooh.
 
Nipo kwenye ndoa mwaka wa 12. Usijidanganye kufanya siri eti utamuumiza mke wa jamaa.
Trust me, anafahamu uwepo wako labda tuu awe hakufaham kwa sura na jina. Inawezekana huyo mama ameshazoea tabia za mumewe kabla hata ya kukupata wewe ndio maana haoni jipya..
Niseme tuu ukweli...sisi wanawake tulioko kwenye ndoa hua tunapata mshtuko mkubwa mara ya kwanza tunapogundua mume sio mwaminifu...halaf baadae moyo unaingia ganzi tunazoea tuu...hata mume afanye nini huwezi kuguswa hata kidogo...utamtimizia mahitaji yake yooote lakini moyoni anakua hayupo...siku mume akigutuka kutoka usingizini kutaka kurepair ndoa mke anaona usanii tuu, mume anabaki analaumu mke kwa watu bila kutafakari kilichowafikisha kwenyye state hiyo...
Siwezi kukupa neno zuri la ushauri zaidi ya neno la Mungu kwa mujibu wa imani yako..hebu rejea maandiko ya imani yako yanasemaje? Naamini utafunuliwa jibu sahihi huko.
Kila la kheri
 
Kwa hiyo ukishafikisha wake nne ndo unaridhika na hautopenda tena?

Point of correction: unaposema wanaume wote hawaridhiki, jisemee wewe na nafsi yako. Wapo wanaume wa mke mmoja na wametulia na wake zao, na wana pesa na nguvu pia. Kuridhika ni uamuzi binafsi; wapo wenye wanawake watano+ na bado hawaridhiki.
Nikitaka kuoa, naomba nikuweke katika list kama utakua bado single, mama mchungaji. Heaven Sent
 
😅😅😅kwaiyo vinashawishi kuoa kisirisiri.
Ndo hvo mkuu,hasa kakiwa kametoka kuoga ile usiku wakat wa kulala ngoz zenu znapogusana unajihis tofaut sana tofaut na unapokuwa na mwanamke mkubwa
 
Let me ask you uyo Jamaa mwenye mke angekua hajaoa na uyo Jamaa single boy

Ungeambiwa umchague mmoja tu (ndo option yko)
Ungemchagua Nan?
Aisee kumuacha siwezi
Bado sijapata mtu kama yeye,kwasababu hii sio mada yake ndio maana sijapata nafasi ya kumuelezea.Kama ningekuwa simpendi huu uzi usingekuwa hapa ninge jilipua na huyu jamaa mwenye mke
 
Kumsingi, wewe ndie una matatizo. Wanaosema mume au mke wa tu ni sumu huwa mnawaza swala la kukamatwa tu na kubananishwa ila mnasahau kuwa kitendo cha kuingia kimahusiano na mume au mke wa mtu sio tu ni hatari kwa afya na usalama wako lakini pia unakaribisha unnecessary complications kama kupata mtoto nae, au kupeka ujauzito na kuzaliwa watoto wa nje ya ndoa katika ndoa ya mtu, kujenga hisia na mume au mke wa mtu kiasi kwamba unaanza kumuona mwenye mke au mume kuwa anakunyima haki yako ya kuwa na mtu unae mtaka.


Wewe una matatizo sababu ulikubali from the beginning ukijua huyo ni mume wa mtu, ulitakiwa mapema sana ulipojua kuwa ni mume wa mtu, muda ule ule ungesitisha mazoea na kuachana nae.

Sasa kwanza unadanganya kuwa unapenda wanaume wawili kwa wakati m'moja, how is that even love kwanza?! How is it possible kupenda watu wawili kwa usawa ule ule....?!

So we kubali tu kuwa wewe ndie tatizo. Na kuhusu kukushauri, kwa sasa ni ngumu maana nitakushauri maamuzi magumu ya kumuacha mume wa mtu na kuwa na huyo ambae hana mtu maishani mwake. Swala ambalo najua litakuwa ni gumu sana kwako kufanya kwa wakati huu.

Mmmmmmhmn ila aisee watoto wa kike muda mwingine, mna akili za kipuuzi..... Yote hiyo ni tamaa. Sasa unaanzaje kujenga na mume wa mtu?! Na unajua mtu ana familia yake?!
 
Kama ni muislamu akuoe mke wapili


Km mkristo na anasema anakupenda kweli basi amuache mke wake akuoe wewe na hicho ndo kipimo sahihi kwamba kweli anakupenda otherwise unalishwa matango pori tu..


Ngoja nikupe siri mwanaume akipewa stress na mkewe au akinyimwa unyumba na mkewe kwa kipindi kirefu uwaga inafika kipindi anakuwa kavurugwa kabisa hajui hata kwanini kaoa huyo mwanamke sasa ukitokea unampa game za kutosha,mko nae mbali mbali hivyo haumpi stress basi anaweza kuhamia kwako lakini SI kwasababu anakupenda sana ila ni kwasababu kuna vitu unampa ambavyo mkewe hampi...

Sio love hiyo ni hiyo sex na stress free ndo vimemroga kua makini Mwanaume huyo anaweza kuacha mke kwa mchepuko, huyo ni limbukeni atakuacha wewe kwa mwanamke mwingine kipindi ambacho huwezi kumpa sex..

Mwanaume ambaye si limbukeni hawezi kumushusha mke thamani eti unamtelekeza mke sababu ya mchepuko labda km alikulupuka kuoa ila Mimi na akili zangu timamu kabisa nimchunguze mwanamke weeeeeee,nimtolee mali,nimuoe halafu atokee mwanamke mwingine eti nimpe thamani kubwa mchepuko kuliko mke.Neveeeeer haipo hiyo.

Na wewe ur self esteem is low ndo mana unategemea thamani za wanaume wanaokutongoza kujiona una thamani.Mwenyewe hapo unajiona una thamani kisa mwanaume kaacha mkewe kukufuata wewe, kisa mkaka mwenye kazi yake nzuri anakutongoza hahaahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].B.
 
Wadau wanakushangaa kupenda wanaume wawili kwa mpigo usijisikie maumivu sana kwani ukiyajua ya kwao hakika utaduwaa,,

Ukiolewa na bachelor basi mume wa mtu atakuwa mchepuko na heri iwe hivi kuliko kuolewa na mume wa mtu kwa ndoa ya Siri,

Pole mkuu kama vipi achana nao wote
 
kwa wakati wako dada pitia ukurasa wa iddi makengo yuko insta, utakutana na visa vya wengine vinavyofanana na chako na wako wanaojuta. wengi wametapeliwa mali zao na kuachwa masingle mom.
 
kesho kutwa atatafuta mwingine wa kuoa baada ya wewe kulogwa na mke wake wa kwanza
Muache tu[emoji23][emoji23][emoji23] au kitamkuta kile cha yule dada wa Moshi
Wewe bana sikiliza..!

Kwanza, wengi wanaojidai kukushangaa hapa hasa wanawake, wao wenyewe wanatembea na waume za watu!!

Pili kama ulivyosema wewe, maisha ni mafupi haya, wanaosema ooh vumilia sijui usiipe nafasi furaha ya muda mfupi... wee usiwasikilize hao wana stress zao. Bora furaha ya muda mfupi kuliko kukosa kabisa furaha. Hakuna zawadi utakayopewa kwa kuishi maisha ya tabu. Maisha ni hayahaya usipoenjoy sasahivi ndio basi tena.

Ushauri: We chakufanya, olewa na hako kakijana kanakokupenda ila usiachane na yule mume wa mtu. Badala ya kufunga ndoa kisirisiri ambapo itakulazimu kuachana na yule kijana, wewe olewa na kijana huku ukiendelea kumfaidi mume wa mtu. Nina uhakika mume wa mtu hatakua na pingamizi katika hilo. Hii itakua ni win win situesheni.
[emoji2][emoji2]
win win situesheni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom