Trapped to a married man

Trapped to a married man

[emoji23][emoji23][emoji23]unaongeza petrol kwenye moto
Wajumbe wananichana balaa mpaka akili imekaa sawa

Hatimae mmetoka hadharani , tafadhari Mswati52 endelea kuomba rehema Mungu na kwa huyu binti Maya , binti wa watu umemchanganya hajiwezi , hofu hii iliyokuingia endelea kuitamia , hata kama mkeo anakuudhi namna gani hata kama mkeo ana muuzi mama yako na dada zako , mlinde mkeo kumbuka mkeo kwanza alikufuata wewe , wewe ndie kiunganishi , kwa
Kuwa yaonyesha baba yako alitangulia , tumia nafasi yako vizuri , mali za nyumbani zisikupagawishe , mthamini mkeo , mtetee mlinde mkeo . Mkeo anakuangalia tu , usifikiri kumuongezea mke ndio utamkomoa , utakayekomoka ni wewe , huku dhambi ya kumuacha mkeo itakutafuna na huyo binti hata ukimuo nae ana dhambi ya kumsaliti mchumba wake itamtafuna na mkigombana atakuwa anamkumbu single boy wake na baadae huyu binti akishakuzoea atagundua kwako hakuwa na penzi la kweli ni alitaka security may be na umzalie mtoto ili umtunze vizuri , baadae ataanza kutafuta penza la kweli na hapo mazee , kichwa kitakupasuka and it will be too late , zaidi watoto wako kwa mkeo wa kwanza wataadhirika kisaikojia , mke wa awali utakuwa umeshamkosa huyu kigoli atakuwa hashikiki . Utabaki na
Mali zako na za kurithi utabaki ukifarijiana na ndugu zako kitu ambacho hakitakutisheza yatabaki majuto mjukuu . Msamehe mkeo kwa kukwaza wewe na familia yako ,mpende mkeo wakemee ndugu zako waambie wamuheshimi
Mkeo na kuwa radhi kukosa mali za ukoo ukaambate na mkeo na watoto wako , achana na huyo binti kuwafurahisha ndugu zako .

Nawe Maya haya mume wa mtu kaja hadharani [emoji28] anaomba michezo yenu michafu ikome , najua unaumia
Sponsor anataka kukata ufadhili , kumbuka tamaa zilimpoza fisi jikubali maisha yako wacha kujiwazia makuu kupita uhalisia wa kuweza kupata utakacho ,kumbuka maishani tunapata tunachostahili sio tunachotamanu kila mmoja ana taka maisha mazuri sana . Usiogope umri kuanza kukutupa mkono . Ni mda wako mzuri sasa kujipanga upya , na wewe mume wa mtu umeonyesha ustaarabu rudi lwa
Mkeo mkayajenge .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hebu kwanza ni pm nikushauri jambo maana hapa nashindwa kabisa

Nakupenda pia, maana nina uhakika kabisa sijawahi kucomment sana kwenye uzi hapa Jf kama huu wako

Sawa dear nakuja [emoji8]
 
Hatimae mmetoka hadharani , tafadhari Mswati52 endelea kuomba rehema Mungu na kwa huyu binti Maya , binti wa watu umemchanganya hajiwezi , hofu hii iliyokuingia endelea kuitamia , hata kama mkeo anakuudhi namna gani hata kama mkeo ana muuzi mama yako na dada zako , mlinde mkeo kumbuka mkeo kwanza alikufuata wewe , wewe ndie kiunganishi , kwa
Kuwa yaonyesha baba yako alitangulia , tumia nafasi yako vizuri , mali za nyumbani zisikupagawishe , mthamini mkeo , mtetee mlinde mkeo . Mkeo anakuangalia tu , usifikiri kumuongezea mke ndio utamkomoa , utakayekomoka ni wewe , huku dhambi ya kumuacha mkeo itakutafuna na huyo binti hata ukimuo nae ana dhambi ya kumsaliti mchumba wake itamtafuna na mkigombana atakuwa anamkumbu single boy wake na baadae huyu binti akishakuzoea atagundua kwako hakuwa na penzi la kweli ni alitaka security may be na umzalie mtoto ili umtunze vizuri , baadae ataanza kutafuta penza la kweli na hapo mazee , kichwa kitakupasuka and it will be too late , zaidi watoto wako kwa mkeo wa kwanza wataadhirika kisaikojia , mke wa awali utakuwa umeshamkosa huyu kigoli atakuwa hashikiki . Utabaki na
Mali zako na za kurithi utabaki ukifarijiana na ndugu zako kitu ambacho hakitakutisheza yatabaki majuto mjukuu . Msamehe mkeo kwa kukwaza wewe na familia yako ,mpende mkeo wakemee ndugu zako waambie wamuheshimi
Mkeo na kuwa radhi kukosa mali za ukoo ukaambate na mkeo na watoto wako , achana na huyo binti kuwafurahisha ndugu zako .

Nawe Maya haya mume wa mtu kaja hadharani [emoji28] anaomba michezo yenu michafu ikome , najua unaumia
Sponsor anataka kukata ufadhili , kumbuka tamaa zilimpoza fisi jikubali maisha yako wacha kujiwazia makuu kupita uhalisia wa kuweza kupata utakacho ,kumbuka maishani tunapata tunachostahili sio tunachotamanu kila mmoja ana taka maisha mazuri sana . Usiogope umri kuanza kukutupa mkono . Ni mda wako mzuri sasa kujipanga upya , na wewe mume wa mtu umeonyesha ustaarabu rudi lwa
Mkeo mkayajenge .

[emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka huko chini ulivyonipa kichambo changu
Asante sana mkuu mnalitoa pepo taratibu
 
Kuwa na wanaume wawili mpaka kutangaza ndoa ni mahusiano serious aiseee.

Ni swala la hisia.

Ndo maana nikasema ni kipaji kuwa nao maana anajua kuzicontrol hisia zake.

Mimi hicho kipaji sina.

Nikikupenda utajua na kutakuwa hakuna nafasi kwa mwingine, na nisipokupenda utajua tu.
Mmh haya bana sista
 
Wewe bana sikiliza..!

Kwanza, wengi wanaojidai kukushangaa hapa hasa wanawake, wao wenyewe wanatembea na waume za watu!!

Pili kama ulivyosema wewe, maisha ni mafupi haya, wanaosema ooh vumilia sijui usiipe nafasi furaha ya muda mfupi... wee usiwasikilize hao wana stress zao. Bora furaha ya muda mfupi kuliko kukosa kabisa furaha. Hakuna zawadi utakayopewa kwa kuishi maisha ya tabu. Maisha ni hayahaya usipoenjoy sasahivi ndio basi tena.

Ushauri: We chakufanya, olewa na hako kakijana kanakokupenda ila usiachane na yule mume wa mtu. Badala ya kufunga ndoa kisirisiri ambapo itakulazimu kuachana na yule kijana, wewe olewa na kijana huku ukiendelea kumfaidi mume wa mtu. Nina uhakika mume wa mtu hatakua na pingamizi katika hilo. Hii itakua ni win win situesheni.
Huyo kijana ni mimi hapa pembeni mkuu nakuona tu unavyomshauri,yani unachomtaftia siku nikigundua...

au nikija mdabua utamfanya ajutie na amlaumu sana mama ake mzazi kwann alimleta duniani,atajilaumu sana...

ushauri wako ungefaa sana kama kijana huyo nisingekua mimi (panga mkononi),kijana angekua zoba zoba yupo yupo tu

na awe kapenda haswaa kiasi kwamba hata akimfumania mkewe (anaweza msamehe) tofauti na hapo unampoteza huyu dada.

Baada ya kusoma hii thread nzima yoteeee nikajisemea moyoni Single Mother wengi HUJITAKIA na wala sio bahati mbaya kabisa.
 
Nawambiaga watu Hamna limbwata kali kama PESA

Huyu dada nyie hamjamuelewa hivi unafkiri kuna mtu

anaweza mganda mwanaume mwenye shida na njaa kweli?

eti anapendwa na saivi wanajenga,blal ful umenogewa na pesa bana,

hamna kingine,eti tumepanga appartment Hebu sema kakupangia Appartment bana.
 
Nawambiaga watu Hamna limbwata kali kama PESA

Huyu dada nyie hamjamuelewa hivi unafkiri kuna mtu

anaweza mganda mwanaume mwenye shida na njaa kweli?

eti anapendwa na saivi wanajenga,blal ful umenogewa na pesa bana,

hamna kingine,eti tumepanga appartment Hebu sema kakupangia Appartment bana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Uko trapped au yeye ndo yupo trapped?I think the Dude is trapped ....he is being dangad
 
[emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka huko chini ulivyonipa kichambo changu
Asante sana mkuu mnalitoa pepo taratibu

Pole sana Maya🤣[emoji28][emoji16] usijali pepo linashambuliwa kila kona siku ya tatu leo litatoka tu liwe subiani/ makata / sharifu/ jini mahaba[emoji35] na utakuwa huru na utarudi hapa kuwashukuru [emoji120] wajumbe 🤝.
 
Bila ya kusahau jini faranga ambalo ndio mtihani wako mkuu🤣🧐🤩 nalo Mungu atakupa wepesi kulinda heshima / utu wako .
 
Naomba tu niseme kuna wakati kwenye maisha huwa hatutegemei baadhi ya mambo yatutokee ila inabidi tukubaliane na hali halisi

Najua humu kuna watu tunajuana nao personally kiundani sana and am sorry if my confession will dissapoint you in anyway.

Back to my story 2015 nilikutana na huyu kaka tukawa marafiki na baadae tukawa wapenzi lakini aliniambia ameoa,
kipindi hicho I was so young and naive nilikuwa chuo kwakweli nakubali nilikuwa sijielewi,mahusiano yetu tuliendelea kwa miaka miwili mpaka baadae tulipoachana kwa sababu fulani.

Kipindi tulipo achana hakuacha kunitafuta meseji za hapa na pale hapo hatukuwa tukionana.Kwakweli sijawahi kutoka na mume wa mtu zaidi ya huyu na nilijisemea sitorudia tena kwaio nilisimama kwenye huo msimamo.

Fast foward this year tulionana alikuja kikazi mji niliopo tukaanza kuwa karibu tena na kwa sasa niseme ni wapenzi tena.

Kitu kinachofanya nije hapa kuomba ushauri ni kwamba huyu bwana anataka kunioa,we have this connection ni ngumu sana kuelezea jamani hiki kitu kimeniacha njia panda,anataka tuoane na nimzalie mtoto,anataka kuja nyumbani kujitambulisha afate process zote. Plan yake tufunge ndoa kisiri mimi yeye na watu wa karibu kama familia.

The future is promising amejicomit kuhusu mambo mengi na hili linazidi kuniogopesha.

Kitu cha ajabu nimeanza kulifikiria hili jambo in a serious way maana sikuwa na mpango nae lakini huku tunapoelekea mambo yanazidi kuwa magumu. Tumepanga apartment huku tukianza ujenzi wa nyumba,na ana plan kuhamia mji niliopo na kuiacha familia yake mji mwingine

Meanwhile upande wa pili kuna kaka ambae hajaoa anataka kuja kutoa mahali,well paying job we have a connection lakini hajafika level za yule mume wa mtu.

To be honest wote wawili nawapenda,nimeshindwa kujigawa au kufanya maamuzi.

Najiuliza hivi mume wa mtu anaweza kupenda tena nje kama hivi? Wanaume mliooa natamani nipate comment zenu pia kwa experience ya haya mambo.

Am still young in my late 20’s ambitious and the future is still so promising
Ukipata nafasi ya kunishauri ungenishauri nini?
Unaweza kuniita majina yote lakini ni maoni yako nitayapokea

PS: Huyu mume wa mtu sijatumia nguvu yoyote juu yake ni maamuzi yake ya hiari na akili zake timamu
Update
Japo nashambuliwa lakini nawashukuru mnaniongezea nguvu ya kufanya maamuzi although yanauma.Nyie nipeni ukweli tu ukweli ni dawa itakayo niponya
So far naona kuna dalili ya kumtumia huyu mume wa mtu since anataka mwenyewe why not,hii sio final ila kutokana na ushauri ninaona nipite namna hio
Fikiria wewe uolewe halafu mme wako akutelekeze wewe na wanao then aende kuoa mwingne liangalie hili kwanza,kwa nini uwe sehemu ya mateso ya mwanamke mwenzako na watoto wake?

Malipo yapo hapa hapa nakuambia!



Kama una kijana hajaoa olewa na mpe Mungu maisha mme wa mtu achana nae.
 
Na ujinga anataka iwe siri



Mme wako iwe siri? Dada unatumiwa tu


Sisi wanaume wengi wetu akili zipo kwenye mguu wa 3 ukisimama tunasahau yote

Ukweli mwanaume hawezi telekeza familia kisa mwanamke mpya,utaliwa na kuachwa
 
Angalia usije pata laana mana unavunja ndoa ya watu bila sababu zamsingi tafuta mume wako achana na wanaume za watu
 
Nawambiaga watu Hamna limbwata kali kama PESA

Huyu dada nyie hamjamuelewa hivi unafkiri kuna mtu

anaweza mganda mwanaume mwenye shida na njaa kweli?

eti anapendwa na saivi wanajenga,blal ful umenogewa na pesa bana,

hamna kingine,eti tumepanga appartment Hebu sema kakupangia Appartment bana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwanini iwe ndoa ya siri? Kama anakupenda na anataka kukuwowa amjuze bi.mkubwa ili ajiandae kisaikolojia kuletewa bi.mdogo.

Yanini kubanana kwa mwanaume mmoja ilhali kuna kaka hapo yupo huru kabisa na nia kashatangaza?
Hapo kwenye kubanana tu ndo umeniacha hoi [emoji2][emoji2]tatzo letu wadada tunapenda mitelemko ambayo baadae tunaenda kupat ajali yaan eti mtu anasema kbsa yupo mkaka ambaye ajaoa na yeye anampenda lkn still anataka hyo mume wa mtu hahaha dada Maya Angelou tafuta ubavu wako dada anajua kuupata ni kazi yaan ile kuchambua chmbua mpk kuufikia inachukua muda kweli ila achana na mwenye ubavu wake mungu aliumba watu wawili tu wa watu hakumuweka na wewe angalia wako dya
 
Back
Top Bottom