TRC mnazua taharuki na madaraja yenu! Kwa hili mmetukosea sana wananchi

TRC mnazua taharuki na madaraja yenu! Kwa hili mmetukosea sana wananchi

Addons

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2023
Posts
393
Reaction score
571
TRC - shirika la reli Tanzania kwakweli mmekuwa kero Kubwa sana kwasasa! Tunaheshim sana kazi mnayofanya lakini nyie hamtuheshimu WANANCHI wa Tanzania.

1. Mmeziba Barabara zoote za waenda kwa miguu, mkilazimisha watu wapite juu ya MADARAJA ambayo kiuhalisia bado hayajakamilika kujengwa. Hakuna alama ya wapita kwa miguu hakuna alama za barabarani! Hata fence juu ya MADARAJA hazijakamilika mnataka watu wadondoke wafe ndo akili iwakae sawa. Au mnataka ajali zitokee ndo mrekebishe.

2. Mmeziba Njia zoote za wapita kwa miguu mnawalazimisha wapite kwenye matobo ya chini kabisa! Huu si ubinadamu Wala ustarabu mmezingua kinoooma yaani apo.

3. Mmezingatia na watu wenye ulemavu au mnajifikiria nyie tu kuziba hizo njia, wajawazito je? Wazee je? Kwani nyie mnamatatizo gani mbona hamsomeki.

Solution: wekeni utaratibu mzuri toweni uzio huo woote, tengenezeni Railway cross nzuri.

Tuache hayo Mambo ya kizaman bhna hata Kama treni ni jipya haimaanishi mfanye mnavyotaka.

Maeneo: Majumba sita, Airport, mpaka gongo la mboto na maeneo mengine ambyo siyajui.

ASANTEN
 
TRC - shirika la reli Tanzania kwakweli mmekuwa kero Kubwa sana kwasasa! Tunaheshim sana kazi mnayofanya lakini nyie hamtuheshimu WANANCHI wa Tanzania.
1. Mmeziba Barabara zoote za waenda kwa miguu, mkilazimisha watu wapite juu ya MADARAJA ambayo kiuhalisia bado hayajakamilika kujengwa. Hakuna alama ya wapita kwa miguu hakuna alama za barabarani! Hata fence juu ya MADARAJA hazijakamilika mnataka watu wadondoke wafe ndo akili iwakae sawa. Au mnataka ajali zitokee ndo mrekebishe

2. Mmeziba Njia zoote za wapita kwa miguu mnawalazimisha wapite kwenye matobo ya chini kabisa! Huu si ubinadamu Wala ustarabu mmezingua kinoooma yaani apo

3. Mmezingatia na watu wenye ulemavu au mnajifikiria nyie tu kuziba hizo njia, wajawazito je? Wazee je? Kwani nyie mnamatatizo gani mbona hamsomeki

Solution: wekeni utaratibu mzuri toweni uzio huo woote, tengenezeni Railway cross nzuri,
Tuache hayo Mambo ya kizaman bhna hata Kama treni ni jipya haimaanishi mfanye mnavyotaka

Maeneo: Majumba sita, Airport, mpaka gongo la mboto na maeneo mengine ambyo siyajui
ASANTEN
Inshort TRC ni wanavuta bangi mbichi mpaka akili zinahamia makalioni
 
TRC - shirika la reli Tanzania kwakweli mmekuwa kero Kubwa sana kwasasa! Tunaheshim sana kazi mnayofanya lakini nyie hamtuheshimu WANANCHI wa Tanzania.
1. Mmeziba Barabara zoote za waenda kwa miguu, mkilazimisha watu wapite juu ya MADARAJA ambayo kiuhalisia bado hayajakamilika kujengwa. Hakuna alama ya wapita kwa miguu hakuna alama za barabarani! Hata fence juu ya MADARAJA hazijakamilika mnataka watu wadondoke wafe ndo akili iwakae sawa. Au mnataka ajali zitokee ndo mrekebishe

2. Mmeziba Njia zoote za wapita kwa miguu mnawalazimisha wapite kwenye matobo ya chini kabisa! Huu si ubinadamu Wala ustarabu mmezingua kinoooma yaani apo

3. Mmezingatia na watu wenye ulemavu au mnajifikiria nyie tu kuziba hizo njia, wajawazito je? Wazee je? Kwani nyie mnamatatizo gani mbona hamsomeki

Solution: wekeni utaratibu mzuri toweni uzio huo woote, tengenezeni Railway cross nzuri,
Tuache hayo Mambo ya kizaman bhna hata Kama treni ni jipya haimaanishi mfanye mnavyotaka

Maeneo: Majumba sita, Airport, mpaka gongo la mboto na maeneo mengine ambyo siyajui
ASANTEN

Picha ili kuongezea uhalisia katika maelezo yako mazuri, TRC watambue changamoto inayowakabili wakaazi wa Dar es Salaam reli mpya SGR inapikatiza maeneo hayo.
 
Ni ngumu kutoa uzio kwenye hii reli, mtazoea tuu kupanda na kushuka vivuko, ni safe zaidi kuliko kuiacha wazi
Kwani haya matreni yameanza mwaka huu kaka, mbona sis ndo wamwisho mwisho tena tunatumia old version kabisa
 
TRC - shirika la reli Tanzania kwakweli mmekuwa kero Kubwa sana kwasasa! Tunaheshim sana kazi mnayofanya lakini nyie hamtuheshimu WANANCHI wa Tanzania.
1. Mmeziba Barabara zoote za waenda kwa miguu, mkilazimisha watu wapite juu ya MADARAJA ambayo kiuhalisia bado hayajakamilika kujengwa. Hakuna alama ya wapita kwa miguu hakuna alama za barabarani! Hata fence juu ya MADARAJA hazijakamilika mnataka watu wadondoke wafe ndo akili iwakae sawa. Au mnataka ajali zitokee ndo mrekebishe

2. Mmeziba Njia zoote za wapita kwa miguu mnawalazimisha wapite kwenye matobo ya chini kabisa! Huu si ubinadamu Wala ustarabu mmezingua kinoooma yaani apo

3. Mmezingatia na watu wenye ulemavu au mnajifikiria nyie tu kuziba hizo njia, wajawazito je? Wazee je? Kwani nyie mnamatatizo gani mbona hamsomeki

Solution: wekeni utaratibu mzuri toweni uzio huo woote, tengenezeni Railway cross nzuri,
Tuache hayo Mambo ya kizaman bhna hata Kama treni ni jipya haimaanishi mfanye mnavyotaka

Maeneo: Majumba sita, Airport, mpaka gongo la mboto na maeneo mengine ambyo siyajui
ASANTEN
Kwahiyo waruhusu mvuke popote na mfanye biashara juu ya reli kama pale Buguruni wanavyofanya, wakiona treni wanaondoa ikipita wanarudisha. Vivuko vya chini ya reli Mbagala vipo hawalalamiki, Iringa kipo Ipogolo chini ya mlima, hawalalamiki ila nyie vijana wa visungura mkipita mnasikia kizunguzungu.
 
Back
Top Bottom