Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Makalioni ndo wapi nyie watu WA dar?Inshort TRC ni wanavuta bangi mbichi mpaka akili zinahamia makalioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makalioni ndo wapi nyie watu WA dar?Inshort TRC ni wanavuta bangi mbichi mpaka akili zinahamia makalioni
Watanzania ni walalamishi tu. Reli imewekwa fence route nzima na wameacha sehemu maalum za kuvuka aidha juu au chini ya reli. Hawa waungwana wanataka wavuke popote pale halafu wakigongwa na hio treni watalaumu kama wanavyogongwa na mabasi ya mwendokasi.Picha ili kuongezea uhalisia katika maelezo yako mazuri, TRC watambue changamoto inayowakabili wakaazi wa Dar es Salaam reli mpya SGR inapikatiza maeneo hayo.
Malalamiko yote hayo mtu hataki kwenda kuvuka sehemu maalum wanataka wavuke popote pale anapojisikia. Ndio maana viongozi wanawapuuza ni kulalamika tu kila kitu kinachofanywa.Watanzania kwa kulalamika tu
Una issue inakusumbua sio bure.Inshort TRC ni wanavuta bangi mbichi mpaka akili zinahamia makalioni
Mkuu hakuna hata pa kuvukaWatanzania ni walalamishi tu. Reli imewekwa fence route nzima na wameacha sehemu maalum za kuvuka aidha juu au chini ya reli. Hawa waungwana wanataka wavuke popote pale halafu wakigongwa na hio treni watalaumu kama wanavyogongwa na mabasi ya mwendokasi.
Hakuna sehem ya kuvuka, kote kumezibwa no optionMalalamiko yote hayo mtu hataki kwenda kuvuka sehemu maalum wanataka wavuke popote pale anapojisikia. Ndio maana viongozi wanawapuuza ni kulalamika tu kila kitu kinachofanywa.
Hakuna sehem wameacha ya kuvuka kwa miguu, na MADARAJA hayajakamilika, lakin Wana force watu wapite! Ni kero kubwaWatanzania ni walalamishi tu. Reli imewekwa fence route nzima na wameacha sehemu maalum za kuvuka aidha juu au chini ya reli. Hawa waungwana wanataka wavuke popote pale halafu wakigongwa na hio treni watalaumu kama wanavyogongwa na mabasi ya mwendokasi.
Si suala la mashindano hili, tunaangalia kutatua tatizoLeta picha wewe, gari haliendeshwi na madereva wawili.
Kwahiyo tushuhudie jambo ambalo hatujaliona angalau kwenye picha! Weka picha ili nasi tuone unachokiongelea.Si suala la mashindano hili, tunaangalia kutatua tatizo
Hama huko kama unaona tabu kuzunguka.TRC - shirika la reli Tanzania kwakweli mmekuwa kero Kubwa sana kwasasa! Tunaheshim sana kazi mnayofanya lakini nyie hamtuheshimu WANANCHI wa Tanzania.
1. Mmeziba Barabara zoote za waenda kwa miguu, mkilazimisha watu wapite juu ya MADARAJA ambayo kiuhalisia bado hayajakamilika kujengwa. Hakuna alama ya wapita kwa miguu hakuna alama za barabarani! Hata fence juu ya MADARAJA hazijakamilika mnataka watu wadondoke wafe ndo akili iwakae sawa. Au mnataka ajali zitokee ndo mrekebishe
2. Mmeziba Njia zoote za wapita kwa miguu mnawalazimisha wapite kwenye matobo ya chini kabisa! Huu si ubinadamu Wala ustarabu mmezingua kinoooma yaani apo
3. Mmezingatia na watu wenye ulemavu au mnajifikiria nyie tu kuziba hizo njia, wajawazito je? Wazee je? Kwani nyie mnamatatizo gani mbona hamsomeki
Solution: wekeni utaratibu mzuri toweni uzio huo woote, tengenezeni Railway cross nzuri,
Tuache hayo Mambo ya kizaman bhna hata Kama treni ni jipya haimaanishi mfanye mnavyotaka
Maeneo: Majumba sita, Airport, mpaka gongo la mboto na maeneo mengine ambyo siyajui
ASANTEN
Hii si bure ni zile plate number za kijani kwenye magari,mnajiona mpo ubaloziniUnatufundisha kazi
Wabongo na ustaarabu ni maji na mafutaWatanzania ni walalamishi tu. Reli imewekwa fence route nzima na wameacha sehemu maalum za kuvuka aidha juu au chini ya reli. Hawa waungwana wanataka wavuke popote pale halafu wakigongwa na hio treni watalaumu kama wanavyogongwa na mabasi ya mwendokasi.
Mkuu hii ID yako..imenikumbusha jana nimetoka kucheki chuma ya Jason statham Beekeeper aisee ni balaaa..jamaa anajua sana.Unatufundisha kazi
Wewe ungekuwa ndiyo TRC, na unaishi nchi yenye wananchi ma-nyumbu kama yetu, kazi yao ni kulalamika tu ungefanya vingine? Nachotaka kusema ni kuwa wananachi wa Tanzania hatuelewi kikwazo chetu ni nini. Kkwazo ni sisi wananchi wenyewe. BTW kulingana na maelezo yako, mimi naona tatizo ni kutokamilika kwa hayo madaraja na siyo utaratibu wa kufunga vivuko visivyo rasmi. Kwenye madaraja wanatakiwa kukamilisha, na kuweka lift kwa ajili ya walemavu, wagonjwa na wazee. Sehemu nyingine zote zifungwe. Hii ndiyo standard ya dunia nzima.Hawajali chochote kikubwa wanaangalia mishahara Yao tuu
Kwahio tujiwekee wenyewe hivyo vivuko mkuu.. wakati mwingne tusikae kimya eti kwasababu hatuishi hukoWewe ungekuwa ndiyo TRC, na unaishi nchi yenye wananchi ma-nyumbu kama yetu, kazi yao ni kulalamika tu ungefanya vingine? Nachotaka kusema ni kuwa wananachi wa Tanzania hatuelewi kikwazo chetu ni nini. Kkwazo ni sisi wananchi wenyewe. BTW kulingana na maelezo yako, mimi naona tatizo ni kutokamilika kwa hayo madaraja na siyo utaratibu wa kufunga vivuko visivyo rasmi. Kwenye madaraja wanatakiwa kukamilisha, na kuweka lift kwa ajili ya walemavu, wagonjwa na wazee. Sehemu nyingine zote zifungwe. Hii ndiyo standard ya dunia nzima.
Hii ni kero kwa WANANCHI wote, Watanzania tuwe na upendo jaman hata kidogo tuu!! Kuhama sio suluhu ya TatizoHama huko kama unaona tabu kuzunguka.
Nchi zingine, hata barabara za magari (highways) zimewekwa uzio ambao una sehemu za kutoka kila kilomita 10 tu, tena hiyo ni karibu ya miji au vijiji, ambako hakuna mji au kijiji unaweza kwenda hata kilomita 100 hakuna njia za matokeo au hata kugeuza gari.
Tembea uyaone.
Suluhu ya tatizo wafanye unavyotaka wewe?Hii ni kero kwa WANANCHI wote, Watanzania tuwe na upendo jaman hata kidogo tuu!! Kuhama sio suluhu ya Tatizo