johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
" Mjusi" wa Shujaa Magufulibaada ya wiki, wabongo watang'oa taa zote izo , watang'oa izo pads nyuma ya siti, watang'oa usb ports zote
wabongo wanachostahili ni mabehewa ya gari moshi
wabongo wamelaaniwa
Wewe Bado mdogo ukikua utajuaHiki nacho ni kitu kingine kizito chenye ncha kali wamepigwa nacho wabongo.Kheee mimi nilipoona katelephone kaenda kule korea nikajua basi tena kazi imeisha , kuna majitu maongo jamani, loh sijapata kuona , tangia jamaa atuambie jiwe mzima aliongea naye kwenye simu kumbe moto ulishakata siku mingiii, nikajua kazi hapa tunayo.
Kama ndio hivyo,kwanini asingesema ni mgonjwa?Wewe Bado mdogo ukikua utajua
Kuna siku nilimpeleka rafiki yangu hospital kumuona baba yake tulipofika tukaambiwa Mzee amefariki tulipotoka nje tukakutana na mama yake pamoja na dada zake kama kama 4 hivi na rafiki zao wote ni wa kike
Yule rafiki yangu akamwambia mama yake na wale dada zake kuwa baba alizidiwa amepelekwa icu doctor amesema hatuwezi kumuona Leo Hadi kesho asubuhi nendeni nyumbani mi nipo hapa kuweka mambo mengine sawa
Walipotoka nje wanaondoka tukaa sehemu tukaagiza maji tukawa tunakunywa huku jamaa anatafakari baada ya mda akawauliza kama wameshafika nyumbani wakamjibu ndio akawambia baba amefariki
Angekuwa poyoyo kama wewe ungewambia pale pale alafu ingekupata kazi ya kulinda usalama wao na kuwafikisha nyumbani
We changia tu kuhusu mabehewa hayo mengine akili yako ikikomaa utayajua
Kwa hiyo yakiwa ya safari ndefu, ndio yanakuwa tofauti na picha walizotoa wenyewe?Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema mabehewa yote yaliyoainishwa kuletwa kwa ajili ya treni ya Reli ya Kisasa (SGR) yatakuja na kwamba yaliyoanza kuingia nchini ni ya safari ndefu.
View attachment 2426194
Wiki hii katika mitandao ya jamii kumekuwa na picha zikionyesha mabehewa yaliyoletwa sio yale yaliyoahidiwa kuletwa nchini kutokana na tofauti ya muonekano wake.
Leo Alhamis Novemba 24, 2022, Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa amezungumza hayo wakati Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipotembelea ujenzi wa SGR katika eneo la Kikuyu jijini hapa.
“Tayari tumeanza kupokea mabehewa 14 ya abiria kwa ajili ya uendeshaji wa kipande cha kwanza kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro,”amesema.
Amesema picha zinazosambaa katika mitandao ya jamii zinaonyesha mabehewa hayo ambayo yatapokelewa rasmi kesho Ijumaa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa.
Kadogosa amesema picha ya mchongoko zinazoonyeshwa katika mitandao hiyo ni za treni ambazo zitatumika kwenye safari za mda mfupi na kwamba treni hizo zitawasili Juni 2023.
Amesema safari za treni ya SGR kati ya Dar es Salaam hadi Morogoro zitaanza Februari 2023.
Aidha, Kadogosa amesema taarifa kuwa kuna mabehewa yatapigwa mnada sio za kweli na kwamba TRC haihusiki na hilo.
Naye Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita imelenga kuimarisha sekta ya usafirishaji ili kupanua uchumi wa mtu mmoja na Taifa kwa kuwezesha watu wanaofanya shughuli zozote za kiuchumi kupata usafiri.
“Hapa Dodoma kutajengwa bandari kavu kubwa sana, eneo la kuweka mizigo kutoka bandarini litakuwa hapo…nataka niwahakikishie usimamizi huu wenye maelekezo ya mkuu wa nchi, sisi tuliopewa dhamana ni kufikia malengo,” alisema.
Mauzauza hoyee!!!Yaani yametangulia mabehewa ya safari ndefu wakati reli haijafika hata hapo Dom.
Halafu safari fupi ya Moro inayoanza Feb 2023 behewa zake zitakuja Juni 2023.
Kuna sgr huko?Wanamaanisha haya ni ya Dar - Moshi - Arusha
Imeisha hiyo... mtapanda haya haya yaliyokuja🤣🤣Yaani yametangulia mabehewa ya safari ndefu wakati reli haijafika hata hapo Dom.
Halafu safari fupi ya Moro inayoanza Feb 2023 behewa zake zitakuja Juni 2023.
Popote anapokuwepo waziri mkuu!UONGO NI DHAMBI KUBWA SANA.
UNAWATAFUNA WATU BILA KUJIJUA.
Uchawi na Mungu, wapi na wapi?Hawana jipya hawa tayari pumzi imekata, wameona waishie hapo.
Magufuli alikua anatumia uchawi gani kufanya mambo? Mungu amrehemu yule mzee aisee.
Tatizo la hawa watu, ni kujiona wana akili nyingi kuliko wananchi wanao waongoza! Kumbe kinyume chake, ndiyo ukweli wenyewe.Yaani yametangulia mabehewa ya safari ndefu wakati reli haijafika hata hapo Dom.
Halafu safari fupi ya Moro inayoanza Feb 2023 behewa zake zitakuja Juni 2023.
Viongozi wa hii nchi wapinwe afya ya akili walah🤣🤣🤣Yaani yametangulia mabehewa ya safari ndefu wakati reli haijafika hata hapo Dom.
Halafu safari fupi ya Moro inayoanza Feb 2023 behewa zake zitakuja Juni 2023.
Mmi nilijua zimetangulia power bank kumbe ndio mabehewa yenyewe! DahShirika la Reli Tanzania (TRC) limesema mabehewa yote yaliyoainishwa kuletwa kwa ajili ya treni ya Reli ya Kisasa (SGR) yatakuja na kwamba yaliyoanza kuingia nchini ni ya safari ndefu.
View attachment 2426194
Wiki hii katika mitandao ya jamii kumekuwa na picha zikionyesha mabehewa yaliyoletwa sio yale yaliyoahidiwa kuletwa nchini kutokana na tofauti ya muonekano wake.
Leo Alhamis Novemba 24, 2022, Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa amezungumza hayo wakati Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipotembelea ujenzi wa SGR katika eneo la Kikuyu jijini hapa.
“Tayari tumeanza kupokea mabehewa 14 ya abiria kwa ajili ya uendeshaji wa kipande cha kwanza kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro,”amesema.
Amesema picha zinazosambaa katika mitandao ya jamii zinaonyesha mabehewa hayo ambayo yatapokelewa rasmi kesho Ijumaa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa.
Kadogosa amesema picha ya mchongoko zinazoonyeshwa katika mitandao hiyo ni za treni ambazo zitatumika kwenye safari za mda mfupi na kwamba treni hizo zitawasili Juni 2023.
Amesema safari za treni ya SGR kati ya Dar es Salaam hadi Morogoro zitaanza Februari 2023.
Aidha, Kadogosa amesema taarifa kuwa kuna mabehewa yatapigwa mnada sio za kweli na kwamba TRC haihusiki na hilo.
Naye Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita imelenga kuimarisha sekta ya usafirishaji ili kupanua uchumi wa mtu mmoja na Taifa kwa kuwezesha watu wanaofanya shughuli zozote za kiuchumi kupata usafiri.
“Hapa Dodoma kutajengwa bandari kavu kubwa sana, eneo la kuweka mizigo kutoka bandarini litakuwa hapo…nataka niwahakikishie usimamizi huu wenye maelekezo ya mkuu wa nchi, sisi tuliopewa dhamana ni kufikia malengo,” alisema.