Hahahahahaha.
Wakumbuke tu hii dunia ya sasa sio ile ya Mwalimu Nyerere ambayo watu hawako well informed, dunia ya sasa upatikanaji wa information na uelewa wa watu ni mkubwa sana, unapotoa taarifa yeyote au hata kama unataka kudanganya unapaswa kutumia akili nyingi saana vinginevyo utaona raia wako wakorofi sana.
Tofauti ya mabehewa ya safari ndefu na fupi ni nini?.... kilichoonekana na wananchi bandarini na kuanza kupiga kelelel ni muonekano wa nje wa mabehewa ndio unaonyesha its old ages, repaired used etc.
Behewa la safari ndefu na fupi utofauti wake ni kwenye technicality ambazo mtu wa kawaida hawawezi kuziona labda technical oriented personnaly.
tofauti la behewa la safari ndefu na fupi lipo kwenye engineering design hasa tires and rims, brakes system, rollers, suspensions and spring etc, SIO KWENYE MUONEKANO WA NJE, TUACHE USANII WA KIZAMANI DUNIA IMEBADIRIKA KIDOGO.