Hela ilishatolewa ya behewa za kisasa kipindi wanaleta vile vichwa wananchi wakapiga kelele wakasingzia contractor wa mwanzo alishindwa kuleta vichwa vyote kwa wakati kwahio tender wameihamishia kwengine. Nilipoona vile nilijua hili ndio lingefuataSasa yakiwa ya safari ndefu ndio yawe ya kizamani? Hayo mabehewa ni ya enzi za mkoloni.
Ebu acheni ujinga ,rudisheni hizo takataka mlipotoa ,ndio maana wakenya wanatudharau sana.
Hiyo mitakataka si kama ile ya zamani? Hivi utatofautishaje hayo mabehewa na treni ya mwakyembe?
Hela ilishatolewa ya behewa za kisasa kipindi wanaleta vile vichwa wananchi wakapiga kelele wakasingzia contractor wa mwanzo alishindwa kuleta vichwa vyote kwa wakati kwahio tender wameihamishia kwengine. Nilipoona vile nilijua hili ndio lingefuata
Behewa za kubebea mbuzi indiaAiseee ni bora wasilete kabisa na mradi ufe tutumie mabasi tu ,haiwezekani tuwekeze matrilioni kwenye miundombinu ya SGR halafu watuletee behewa za mkoloni enzi za hitler.
Hawa jamaa ni waongo sana, mbona huko china zinapiga maelfu ya KM na ni zile nzuri balaa. Hasa huyo PM ni muongo na mjanja mjanja sana, chifu Hangaya naye kapotelea jikoni.Mbona haya ya wenzetu ya safari ndefu yako tofauti na yetuView attachment 2426491
Maajabu haya reli ipo morogoro halafu yanaletwa mabehewa ya kwenda kigomaWa kigoma (mbali) mabehewa yenu yamekuja๐๐๐๐
Tena inaishia Kingorwila Jordan University hahahaaa.Maajabu haya reli ipo morogoro halafu yanaletwa mabehewa ya kwenda kigoma
Reli itafika lini kigoma? Hayo mabehewa yatakuwa na Hali gani mpaka kufika huko..
Duh au Morogoro ni route ndefu?๐๐๐๐๐
Hayo mabehewa kwa ukweli ni modeli ya kitambo sanaAiseee ni bora wasilete kabisa na mradi ufe tutumie mabasi tu ,haiwezekani tuwekeze matrilioni kwenye miundombinu ya SGR halafu watuletee behewa za mkoloni enzi za hitler.
China ni kubwa sana lakini treni zao zote ni zaki sasa na zina safiri umbali mrefu mfano kutoka dar mpaka Zimbabwe, mbona wao hawaja tumia behewa giza za kizamaniHahahahahaha.
Wakumbuke tu hii dunia ya sasa sio ile ya Mwalimu Nyerere ambayo watu hawako well informed, dunia ya sasa upatikanaji wa information na uelewa wa watu ni mkubwa sana, unapotoa taarifa yeyote au hata kama unataka kudanganya unapaswa kutumia akili nyingi saana vinginevyo utaona raia wako wakorofi sana.
Tofauti ya mabehewa ya safari ndefu na fupi ni nini?.... kilichoonekana na wananchi bandarini na kuanza kupiga kelelel ni muonekano wa nje wa mabehewa ndio unaonyesha its old ages, repaired used etc.
Behewa la safari ndefu na fupi utofauti wake ni kwenye technicality ambazo mtu wa kawaida hawawezi kuziona labda technical oriented personnaly.
tofauti la behewa la safari ndefu na fupi lipo kwenye engineering design hasa tires and rims, brakes system, rollers, suspensions and spring etc, SIO KWENYE MUONEKANO WA NJE, TUACHE USANII WA KIZAMANI DUNIA IMEBADIRIKA KIDOGO.
Hiyo ndiyo changamoto kubwa iliyopo, ndani ya muda mfupi hayatotamanika humo ndani. Wengine watachana hivyo viti kwa nyembebaada ya wiki, wabongo watang'oa taa zote izo , watang'oa izo pads nyuma ya siti, watang'oa usb ports zote
wabongo wanachostahili ni mabehewa ya gari moshi
wabongo wamelaaniwa
Magufuli hasinge nunua mabehewa yaki jinga na yeye anavyo penda vitu vipya lazima angenunua treni yaki sasa tena kwa cash kutoka kiwandani kama ndege za Dreamliner na waswahili wajinga waka walalamika kwanini kanunua ndege kwa kulipa cash badala ya kukopa kwa mali kauli, Tatizo Rais wetu wa sasa katokea Zanzibar na wazanzibari wana penda bidhaa used, Yani wazanzibari vitu vyao ni used kuanzia vyombo vya jikoni, Tv, radio, fridge, magari , mpaka wanawake wanapenda used, tofauti na watu kutoka bara wao wana penda vitu vipya kuanzia nguo, Tv, fridge, redio nk.Hawana jipya hawa tayari pumzi imekata, wameona waishie hapo.
Magufuli alikua anatumia uchawi gani kufanya mambo? Mungu amrehemu yule mzee aisee.
Nia Hasa ni usielewe๐๐Mbona sielewi.
Mkuu ina maanisha yatakaa store mpaka reli ifike kigoma1. Yametangulia ya safari ndefu yafanye nini wakati reli haijafika hata Dom?
2. Ya safari fupi yatakuja Juni 2023, hii safari fupi ya Dar Moro inayoanza Feb 2023 itatumia mabehewa gani wakati treni yake haijafika?
3. Wewe unavyoona, train ipi ilipaswa kutangulia?
We jamaa acha ujinga basi...Yaani yametangulia mabehewa ya safari ndefu wakati reli haijafika hata hapo Dom.
Halafu safari fupi ya Moro inayoanza Feb 2023 behewa zake zitakuja Juni 2023.
๐๐๐Wa kigoma (mbali) mabehewa yenu yamekuja๐๐๐๐
Yaani nimeona hii taarifa kwa kiingereza nikawa sielewi nimekuja huku nako sielewi,Yaani yametangulia mabehewa ya safari ndefu wakati reli haijafika hata hapo Dom.
Halafu safari fupi ya Moro inayoanza Feb 2023 behewa zake zitakuja Juni 2023.
Hapo juu barua ya TRC inasema mabehewa yanatengenezwa ujeruman lkn watayapokea yakitoka korea !!1. Yametangulia ya safari ndefu yafanye nini wakati reli haijafika hata Dom?
2. Ya safari fupi yatakuja Juni 2023, hii safari fupi ya Dar Moro inayoanza Feb 2023 itatumia mabehewa gani wakati treni yake haijafika?
3. Wewe unavyoona, train ipi ilipaswa kutangulia?
Mkuu mimi nimeona kwa macho yangu Reli ya SGR ikiwa imefika Kintinku Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida.Yaani yametangulia mabehewa ya safari ndefu wakati reli haijafika hata hapo Dom