TRC yatangaza kurejesha huduma za treni ya abiria kutoka Dar kwenda Moshi

Train hapo zamani zilikua zinandoka saa kumi jion pale Stesheni na huingia moshi asubuh ya saa mbili na nusu kama dereva ni mzuri...kipind hicho kulikua na dereva mtata sana wakuitwa Yona alikua anarifuluusha train acha tu moshi mnaingia asubuhi mapema kabisa....zile bata za buffet acha tu
 
Ufipa watagoma watawaambia watu wao wapande mabasi[emoji1][emoji1]
Mawazo yako ni ya kipumbavu. Ni mawazo yasiyojua kuwa haya mambo hufanyika kwa kodi za wananchi kwa hiyo hayapaswi kuwa SIASA kila yanapozungumzwa.

Hakuna mtu timamu wa akili mwenye kuyakataa maendeleo. Lakini haimaanishi kwa kuwa unajenga njia ya reli basi ukidhulumu fidia ya mali za watu unazozibomoa kwa ajili ya ujenzi unapata uhalali kwa kuwa reli ni maendeleo. Tufikie sehemu tuwe tunatumia akili zetu kabla ya kuropokaropoka na kubwatuka kama wehu.
 
Hapo kwenye kulala sijaelewa ....
kwa hivyo unaweza kununua kiji room kabisa!?
Behewa moja huwa na vyumba vitatu. Kila chumba kina vitanda 6 vyembamba kama vile vya hospitali za serikali. Kama una novel yako, unanyoosha tu mgongo unakula novo huku chombo kinakata mwitu.

Treni ni tamu sana kwa wanaopenda starehe.
 
Yaani reli iuliwe na CCM halafu tuishobokee CCM kwa kuitengeneza? Tusionane mafala.
Kaka mnyukano huu ni kati ya CCM ya awamu ya 5 na CCM ya awamu za 2, 3 na 4, we tulia haikuhusu.
 
Kweli kaka, itabidi ticket zianze kuuzwa sasa ili kila mhitaji na hata TRC wajuwe mapema ni lini nani atasafiri. Hii itasaidia abiria kujitambua mapema kama amekosa au amepata nafasi ya kusafiri lini kwakutumia treni. Hii itamsaidia abiria kutafuta mapema njia nyingine za kusafiri kwenda anakokwenda.

TRC ni rahisi kusema ticket za tarehe fulani zipo au zimekwisha.
 
JPM akijikita kwenye usafiri wa treni, hakika nchi itapiga hatua kubwa sana kimaendeleo. Treni ni usafiri bora na nafuu sana kote duniani, nchi nyingi zilizoendelea zina mtandao mkubwa wa njia za treni. Katika hili kafanya Jambo jema sana, wale tunaoitwa "walalahoi" tunaangukia kwenye kundi hili sasa, wa juu yetu wataendelea kutumia "dreamliners"!!
 
Umesahau kuwaambia hao wachagga kuwa wasijakufanyiwa majaribio kwenye hizo treni waanzie kubeba mizigo kwanza baadae tutafikiria kama huo usafiri ni salama kwa afya zao mm nikienda kwa wakwe zangu ni bora basi bado familia inanihitaji mno
Wameweka mabehewa ya aina gani?
Je safari itatumia masaa mangapi?
HAWA JAMAA ZETU HUWA WANAJALI SANA UBORA,SIO SAWA NA WALE WANAOSAFIRI NA MAJIKO YAO NA KUANZA KUPIKIA HUMO HUMO.
 
Kaka usafiri huu utakuwepo muda wote, duniani kote kuna usafiri wa barabara, train, ndege, na majini kutokana na unafuu wa bei, usalama, uharahaka wa kufika, upatikanaji, na utashi wa mtumiaji. Hivyo hata hata hapo kwetu watakaopenda usafiri wa treni, mabasi, ndege, meli, na hata fisi na farasi wapo na watakuwepo.
 
Daraja la 2 kukaa. Nadhani Daraja la 1 litakuwa kusimama au kuchuchumaa maana la 3 ni kulala.



 
Umesahau kuwaambia hao wachagga kuwa wasijakufanyiwa majaribio kwenye hizo treni waanzie kubeba mizigo kwanza baadae tutafikiria kama huo usafiri ni salama kwa afya zao mm nikienda kwa wakwe zangu ni bora basi bado familia inanihitaji mno
sema "nita...." sio "tuta...." maana kuna watu walioteseka sana kwa muda mrefu na usafiri wa mabasi ambao hawezi kuendelea kusubiri kama unavyotaka iwe hapa. Hivi barabara ikishatengenezwa na kupitishwa na engineers wa ujenzi yanaruhusiwa malori tu kwanza yapite kabla ya mabasi. Watanzania tumejaa vituko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…