The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Haka kanchi bila kunyonga watu, hatuta elewana. Usikute kuna mpuuzi mmoja tu analeta uhujumu kwa maslai binafsi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali kitimoto apumzishwe kidogo sasaWameanza kuwasingizia ngedere tena?
Bundi na ngedere wahusika 😂😂😂😂😂Walisema umeme ukikatika Kuna Kuna umeme wa ziada hii nchi ni hovyo sana 😂😁😁
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeomba radhi kufuatia hitilafu ya umeme iliyojitokeza kati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete ambayo imesababisha Treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa inafanya safari zake kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea jijini Dodoma kusimama kwa muda wa saa mbili (2) Julai 30.2024
View attachment 3057279
Shida sio umeme Bali nyayaWalisema umeme ukikatika Kuna Kuna umeme wa ziada hii nchi ni hovyo sana 😂😁😁
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeomba radhi kufuatia hitilafu ya umeme iliyojitokeza kati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete ambayo imesababisha Treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa inafanya safari zake kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea jijini Dodoma kusimama kwa muda wa saa mbili (2) Julai 30.2024
View attachment 3057279
Acha tu ndugu yangu hii Tanzania hiiKumekucha!
Wameisha anza hujuma zao. Wanafikiri watanzania hawana akili na hawakumbuki kauli zao wanazoziongea mbele ya waandishi wa habari.
Tuliambiwa tren zetu zina mifumo miwili,
1) umeme
2) mafuta
Ukikatika umeme injini inapiga kazi kwa mafuta.
Na walisema haitakuja kutokea umeme ukakosekana kwenye tren hiyo. Ukikosekana maana yake inchi nzima iko gizani.
Sasa tunawauliza kwa nini wasitumie diesel baada ya umeme kukatwa?
Na je wamewalipa fidia abiria kwa hasara waliyoipata?
Hawa wanahujumu mradi kwa makusudi.
Huyo wasimguse kabisa hana baya chakula kitamuuAfadhali kitimoto apumzishwe kidogo sasa
Acha tu ndugu yangu hii Tanzania hii

Kabisa, waongeze range ya hizo backup, treni iweze kwenda mpaka Dar kwa kutumia backup tu. Au waweke vichwa vya hybrid, vinavyotumia mafuta na umemeKwani si walisema train yenye, moja ya mabehewa ina power backup system?
Sema hii nchi yaan mradi hata mwez hauna dahIlikuwa ni swala la Muda tu.
Yale Yale Ujanja UjanjaWameanza kuwasingizia ngedere tena?
😁😁Ngedere tu anazuia safari je binadamu akiwa na nia mbaya si ndo inakufa siku mbili tu waongeze ulinzi
Labisa na kwa Tanzania hiyo itatokea sana zaidi ya kawaidaHitilafu kwenye issue kama hizo ni jambo la kawaida,
Sometimes hitilafu hupelekea hatua sahihi kuchukuliwa ili jambo hilo lisijirudie tena.