TRC yatolea ufanunuzi kuzimika kwa treni ya SGR Julai 30, 2024 katikati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete

TRC yatolea ufanunuzi kuzimika kwa treni ya SGR Julai 30, 2024 katikati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete

View attachment 3057277

TAARIFA KWA UMMA
HITILAFU YA UMEME KATI YA KILOSA NA KIDETE

Dar es Salaam, Tarehe 31 Julai 2024

Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaomba radhi kufuatia hitilafu ya umeme iliyojitokeza kati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete na kusababisha treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kusimama kwa muda wa saa mbili (2) siku ya tarehe 30 Julai 2024.

Pia soma: Morogoro: Treni ya SGR (Dar-Dodoma) yakwama Kidete Kilosa kwa zaidi ya saa 4, sababu Hitilafu ya Umeme

Taarifa za awali zinaonesha kuwa hitilafu za aina hiyo husababishwa na wanyama (ngedere) au ndege (bundi) wanapogusa nyaya za umeme zilizotandazwa juu ya reli (overhead catenary system). Hitilafu ilisababisha umeme kukatika kituo cha kupoozea umeme namba 7 (Godegode) ambayo kitaalamu hujulikana kama (Instanteneous Overcurrent Protection Trip) majira ya saa 4:20 usiku.

Mafundi wa TRC walifanikiwa kutatua changamoto na kurejesha umeme saa 6:30 usiku na treni kuendelea na safari kuelekea Dodoma, na kuwasili Dodoma majira ya saa 7:57 usiku.
Shirika la Reli Tanzania linaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.

Jamila Mbarouk
MKUU WA KITENGO CHA UHUSIANO

View attachment 3057277

TAARIFA KWA UMMA
HITILAFU YA UMEME KATI YA KILOSA NA KIDETE

Dar es Salaam, Tarehe 31 Julai 2024

Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaomba radhi kufuatia hitilafu ya umeme iliyojitokeza kati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete na kusababisha treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kusimama kwa muda wa saa mbili (2) siku ya tarehe 30 Julai 2024.

Pia soma: Morogoro: Treni ya SGR (Dar-Dodoma) yakwama Kidete Kilosa kwa zaidi ya saa 4, sababu Hitilafu ya Umeme

Taarifa za awali zinaonesha kuwa hitilafu za aina hiyo husababishwa na wanyama (ngedere) au ndege (bundi) wanapogusa nyaya za umeme zilizotandazwa juu ya reli (overhead catenary system). Hitilafu ilisababisha umeme kukatika kituo cha kupoozea umeme namba 7 (Godegode) ambayo kitaalamu hujulikana kama (Instanteneous Overcurrent Protection Trip) majira ya saa 4:20 usiku.

Mafundi wa TRC walifanikiwa kutatua changamoto na kurejesha umeme saa 6:30 usiku na treni kuendelea na safari kuelekea Dodoma, na kuwasili Dodoma majira ya saa 7:57 usiku.
Shirika la Reli Tanzania linaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.

Jamila Mbarouk
MKUU WA KITENGO CHA UHUSIANO
Mbona mapema sana?
 
Kweli kabisa, hata mimi nakumbuka walisema zina engine za diesel za backup ikitokea hitilafu ya umeme.

Watanzania hatuwezi kitu, tunajuwa majungu na umbea tu.
Hata majungu na umbea hatuwezi...hatuwezi kitu

Kwa hii nchi unaweza kualikwa kuzindua mradi mfano kama ni huduma ya maji, unafungua koki huku unawasiwasi kama kweli maji yatatoka.
 
Kweli kabisa, hata mimi nakumbuka walisema zina engine za diesel za backup ikitokea hitilafu ya umeme.

Watanzania hatuwezi kitu, tunajuwa majungu na umbea tu.
Power 🔋 backup nafikili ni kuweka watu kwenye mabehewa wasikae Giza, ila sio locomotive kuwa na nguvu ya kuvuta mabehewa.

Mimi nilijua tuu battery 🔋 gani lenye nguvu la kuvuta mabehewa ya treni
IMG_3248.jpeg
 
Mkuu battery ndo hizo kuweka mabehewa taa kuwaka.
Sawa, lakini to me, kulitakiwa kuwe na battery banks ambazo zinakuwa charged all the time na rectifiers wakati umeme upo. Umeme ukikatika, the DC current zitoke kwenye batteries, ziwe inverted to AC then zikaendeshe machines zinazoendeshwa na hizo overhead catenary system. Ni kama hiyo desktop computer yako na UPS uliyonayo..!!
Hatukutakiwa kuishia kwenye lighting system pekee..!!
 
View attachment 3057277

TAARIFA KWA UMMA
HITILAFU YA UMEME KATI YA KILOSA NA KIDETE

Dar es Salaam, Tarehe 31 Julai 2024

Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaomba radhi kufuatia hitilafu ya umeme iliyojitokeza kati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete na kusababisha treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kusimama kwa muda wa saa mbili (2) siku ya tarehe 30 Julai 2024.

Pia soma: Morogoro: Treni ya SGR (Dar-Dodoma) yakwama Kidete Kilosa kwa zaidi ya saa 4, sababu Hitilafu ya Umeme

Taarifa za awali zinaonesha kuwa hitilafu za aina hiyo husababishwa na wanyama (ngedere) au ndege (bundi) wanapogusa nyaya za umeme zilizotandazwa juu ya reli (overhead catenary system). Hitilafu ilisababisha umeme kukatika kituo cha kupoozea umeme namba 7 (Godegode) ambayo kitaalamu hujulikana kama (Instanteneous Overcurrent Protection Trip) majira ya saa 4:20 usiku.

Mafundi wa TRC walifanikiwa kutatua changamoto na kurejesha umeme saa 6:30 usiku na treni kuendelea na safari kuelekea Dodoma, na kuwasili Dodoma majira ya saa 7:57 usiku.
Shirika la Reli Tanzania linaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.

Jamila Mbarouk
MKUU WA KITENGO CHA UHUSIANO
. .Treni ya Kimataifa ?.. Treni Kimataifa umeishasikia ikikaa porini Kwa SAA MBI Kwa Mgawo wa Umeme ?
SI Watu wilisema hili mkatoa Maelezo marefu ya kujishaiu ?
Kiko wapi !!
 
Inatumia power bank kwa ajili ya kuwasha taa na kuchaji simu mkikwamaa sio Kuendesha train kijanaa..!
Nimecheka hapo kwenye kijanaaa...!! Ni kweli, lakini my point is, why tusihame huko kwenye ku-charge simu na kuwasha taa pekee??
 
Nimecheka hapo kwenye kijanaaa...!! Ni kweli, lakini my point is, why tusihame huko kwenye ku-charge simu na kuwasha taa pekee??
😀 😀 😀sababu umeme wa kuendesha ile engine ni kubwa sanaa huwezi uzalisha kwa kutegemea betri labda waweke na engine ya kutumia mafuta kama back up.
 
Back
Top Bottom