Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Haha 😂Vijana wapewe ajira ya kulinda Ngedere na Bundi kwenye nyanya au sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha 😂Vijana wapewe ajira ya kulinda Ngedere na Bundi kwenye nyanya au sio?
Dar es Salaam, Tarehe 31 Julai 2024
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaomba radhi kufuatia hitilafu ya umeme iliyojitokeza kati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete na kusababisha treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kusimama kwa muda wa saa mbili (2) siku ya tarehe 30 Julai 2024.
Pia soma: Morogoro: Treni ya SGR (Dar-Dodoma) yakwama Kidete Kilosa kwa zaidi ya saa 4, sababu Hitilafu ya Umeme
Taarifa za awali zinaonesha kuwa hitilafu za aina hiyo husababishwa na wanyama (ngedere) au ndege (bundi) wanapogusa nyaya za umeme zilizotandazwa juu ya reli (overhead catenary system). Hitilafu ilisababisha umeme kukatika kituo cha kupoozea umeme namba 7 (Godegode) ambayo kitaalamu hujulikana kama (Instanteneous Overcurrent Protection Trip) majira ya saa 4:20 usiku.
Mafundi wa TRC walifanikiwa kutatua changamoto na kurejesha umeme saa 6:30 usiku na treni kuendelea na safari kuelekea Dodoma, na kuwasili Dodoma majira ya saa 7:57 usiku.
Shirika la Reli Tanzania linaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Jamila Mbarouk
MKUU WA KITENGO CHA UHUSIANO
Mbona mapema sana?
Dar es Salaam, Tarehe 31 Julai 2024
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaomba radhi kufuatia hitilafu ya umeme iliyojitokeza kati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete na kusababisha treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kusimama kwa muda wa saa mbili (2) siku ya tarehe 30 Julai 2024.
Pia soma: Morogoro: Treni ya SGR (Dar-Dodoma) yakwama Kidete Kilosa kwa zaidi ya saa 4, sababu Hitilafu ya Umeme
Taarifa za awali zinaonesha kuwa hitilafu za aina hiyo husababishwa na wanyama (ngedere) au ndege (bundi) wanapogusa nyaya za umeme zilizotandazwa juu ya reli (overhead catenary system). Hitilafu ilisababisha umeme kukatika kituo cha kupoozea umeme namba 7 (Godegode) ambayo kitaalamu hujulikana kama (Instanteneous Overcurrent Protection Trip) majira ya saa 4:20 usiku.
Mafundi wa TRC walifanikiwa kutatua changamoto na kurejesha umeme saa 6:30 usiku na treni kuendelea na safari kuelekea Dodoma, na kuwasili Dodoma majira ya saa 7:57 usiku.
Shirika la Reli Tanzania linaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Jamila Mbarouk
MKUU WA KITENGO CHA UHUSIANO
Kweli kabisa, hata mimi nakumbuka walisema zina engine za diesel za backup ikitokea hitilafu ya umeme.Kwani si walisema train yenyewe, moja ya mabehewa ina power backup system?
Nafikiri Kwa maendeleo ya technolojia na ubunifu wa zama hizi wanawezakufanya kitu Bora zaidi.Vijana wapewe ajira ya kulinda Ngedere na Bundi kwenye nyanya au sio?
Hata majungu na umbea hatuwezi...hatuwezi kituKweli kabisa, hata mimi nakumbuka walisema zina engine za diesel za backup ikitokea hitilafu ya umeme.
Watanzania hatuwezi kitu, tunajuwa majungu na umbea tu.
Naunga mkono hojaMwendokasi umewashinda itakuwa mradi mkubwa Kama huo.
Power 🔋 backup nafikili ni kuweka watu kwenye mabehewa wasikae Giza, ila sio locomotive kuwa na nguvu ya kuvuta mabehewa.Kweli kabisa, hata mimi nakumbuka walisema zina engine za diesel za backup ikitokea hitilafu ya umeme.
Watanzania hatuwezi kitu, tunajuwa majungu na umbea tu.
Zipo ndugu yanguView attachment 3057288
Power 🔋 backup nafikili ni kuweka watu kwenye mabehewa wasikae Giza, ila sio locomotive kuwa na nguvu ya kuvuta mabehewa.
Mimi nilijua tuu battery 🔋 gani lenye nguvu la kuvuta mabehewa ya treni
Mkuu battery ndo hizo kuweka mabehewa taa kuwaka.Zipo ndugu yangu
Sawa, lakini to me, kulitakiwa kuwe na battery banks ambazo zinakuwa charged all the time na rectifiers wakati umeme upo. Umeme ukikatika, the DC current zitoke kwenye batteries, ziwe inverted to AC then zikaendeshe machines zinazoendeshwa na hizo overhead catenary system. Ni kama hiyo desktop computer yako na UPS uliyonayo..!!Mkuu battery ndo hizo kuweka mabehewa taa kuwaka.
Zipo ndugu yangu
. .Treni ya Kimataifa ?.. Treni Kimataifa umeishasikia ikikaa porini Kwa SAA MBI Kwa Mgawo wa Umeme ?
Dar es Salaam, Tarehe 31 Julai 2024
Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaomba radhi kufuatia hitilafu ya umeme iliyojitokeza kati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete na kusababisha treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kusimama kwa muda wa saa mbili (2) siku ya tarehe 30 Julai 2024.
Pia soma: Morogoro: Treni ya SGR (Dar-Dodoma) yakwama Kidete Kilosa kwa zaidi ya saa 4, sababu Hitilafu ya Umeme
Taarifa za awali zinaonesha kuwa hitilafu za aina hiyo husababishwa na wanyama (ngedere) au ndege (bundi) wanapogusa nyaya za umeme zilizotandazwa juu ya reli (overhead catenary system). Hitilafu ilisababisha umeme kukatika kituo cha kupoozea umeme namba 7 (Godegode) ambayo kitaalamu hujulikana kama (Instanteneous Overcurrent Protection Trip) majira ya saa 4:20 usiku.
Mafundi wa TRC walifanikiwa kutatua changamoto na kurejesha umeme saa 6:30 usiku na treni kuendelea na safari kuelekea Dodoma, na kuwasili Dodoma majira ya saa 7:57 usiku.
Shirika la Reli Tanzania linaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza.
Jamila Mbarouk
MKUU WA KITENGO CHA UHUSIANO
Inatumia power bank kwa ajili ya kuwasha taa na kuchaji simu mkikwamaa sio Kuendesha train kijanaa..!Kwani si walisema train yenyewe, moja ya mabehewa ina power backup system?
Nimecheka hapo kwenye kijanaaa...!! Ni kweli, lakini my point is, why tusihame huko kwenye ku-charge simu na kuwasha taa pekee??Inatumia power bank kwa ajili ya kuwasha taa na kuchaji simu mkikwamaa sio Kuendesha train kijanaa..!
😀 😀 😀sababu umeme wa kuendesha ile engine ni kubwa sanaa huwezi uzalisha kwa kutegemea betri labda waweke na engine ya kutumia mafuta kama back up.Nimecheka hapo kwenye kijanaaa...!! Ni kweli, lakini my point is, why tusihame huko kwenye ku-charge simu na kuwasha taa pekee??