Wangeweza vipi kuindoa hapo wakati haitumii mafuta?Huo waweza kuwa ndiyo ujinga na uzembe wenyewe.
Wanajiandaa kwa tukio lingine leoHii nchi sijui nikipi kitakuja kifanyike kwa unyoofu pasipo kutokea visingizio wallah....
Angekuwepo John, hapo lazima kuna mtu angewajibika qudadadeqi....☹️
Njoo unywe bia hapa mazimbuUSIANDIKE SHUTUMA KUBWA KAMA HII BILA KUWA NA USHAHIDI,TUKIKUOMBA MAHAKAMANI UTASIMAMAA KUTETEA KAULI YAKO?
sawa Mr John SinSisi sio hao tumbili tutajuaje?🙀
Na watanzania 85% wameanini hivyoNilishasema, ukiamini tumbili na bundi ndio tatizo, inawezekana una akili ya kiwango cha tumbili au bundi!
Moja ya ujinga wa Watanzania ni kutowajibika wenyewe na kutafuta sababu ya kumsukumia mwengine kwa kila baya.najiuliza sana hivi tumbili na Bundi wanawezaje kukata umeme ?View attachment 3058458
Serikali ilitafuta scapegoat tu hapa..
Mwambie basi shangazi yako amtumbue kama jipuMoja ya ujinga wa Watanzania ni kutowajibika wenyewe na kutafuta sababu ya kumsukumia mwengine kwa kila baya.
Hapo ilitakiwa kadogosa awajibike kwa kutufanya wote wajinga.
Bora kujitetea.Maana uongo ukidumu muda mrefu hugeuka kuwa ukweli.Ni vema Kadogosa awatake radhi.Nimepokea text mda mfupi baada ya kutuhumiwa, niseme tu sisi hatyhusiki na matatizo ya binaadam.