cheeter
JF-Expert Member
- Apr 19, 2011
- 475
- 155
Huyu Mama tushamchokaa...Hana Jipyaaa.akitumbuliwa siku hyo nitafanya shereheNdalichako awe wakwanza kutumbuliwa!
Wizara imemshinda kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mama tushamchokaa...Hana Jipyaaa.akitumbuliwa siku hyo nitafanya shereheNdalichako awe wakwanza kutumbuliwa!
Wizara imemshinda kabisa
Kabudi ni Mgogo sio wa kanda ile mkuuHii haihitaji utabiri inaeleweka wazi kabisa, zamu ya Kanda fulani hii tulieni
Palamagamba anahatarisha kibarua cha Mahiga au Mwakyembe.Maghembe, Mwijage, January, Dr. Mahiga hawaponi
kama anataka mabadiliko kweli huyu mazaa hafai kabisa katika elimu yetuHawezi kumtoa huyo.
Mkuu fuatilia matamko yake na utendaji uone unavyoathiri elimu.thubutu wee. mtu ametumbua vyeti feki hadi wenyewe kukimbia ofisi. mikopo hewa wanafunzi hewa etc. labda kama wewe ni cheti hewa au mwanafunzi hewa ndio utamchukia.
Bulembo anaandaliwa kisaikolojia kung'olewa wazazi. Amefilisi taasisi zilizo chini yakeNasubiri nione Bulembo atachukua nafasi ya nani
Hahaha.... wewe usije ukawa na cheti fake!!!Ndalichako awe wakwanza kutumbuliwa!
Wizara imemshinda kabisa
Mahiga ni mchapaKazi hawezi kuondoka!Palamagamba anahatarisha kibarua cha Mahiga au Mwakyembe.
Ningekua na cheti feki ningetumbuliwa muda saaana!Hahaha.... wewe usije ukawa na cheti fake!!!
kwani wajuu hawezi kubadilishwa???Ndalichako awe wakwanza kutumbuliwa!
Wizara imemshinda kabisa