Tetesi: Trend Reading: Mabadiliko Madogo ya Baraza la Mawaziri Yananukia!. Head-hunting Imeishaanza!.

Tetesi: Trend Reading: Mabadiliko Madogo ya Baraza la Mawaziri Yananukia!. Head-hunting Imeishaanza!.

bulembo kuwa Waziri....aisee hii serekali ya hawamu hii ni zaidi ya Komedi.
 
NACHUKIA SANA WATU WANAOFUATILIA KILA TEUZI ZA RAIS NA KUUSEMEA UKANDA, KUNAKOSA GANI HATA MAWAZIRI WOTE WAKITOKA KANDA HIYO? MBONA KAMA VIROHO VINAWAUMA? KAMA KUNA KANDA INAONELEWA KISA IMEKOSA MWAKILISHI HEBU ITAJENI HAPA. KAMA HAMNA PLS MWACHENI RAIS AFANYE KAZI YAKE MUMPIME 2020.
 
wasomi wanaharibiwa sana na wanasiasa na kuingizwa kwenye siasa. usije shangaa huyu akapelekwa puta na kina lissu bungeni.....
 
Huyo Palamagamba kuna wizara atapewa,

Kitaaluma yuko vizuri ila kwenye case ya Mtikila 2 & 1 aliniangusha sana.
 
thubutu wee. mtu ametumbua vyeti feki hadi wenyewe kukimbia ofisi. mikopo hewa wanafunzi hewa etc. labda kama wewe ni cheti hewa au mwanafunzi hewa ndio utamchukia.
Mkuu fuatilia matamko yake na utendaji uone unavyoathiri elimu.

Majoho
GpA
wanafunzi wa UDOM
field kwa mwaka wa kwanza
elimu msingi darasa la sita

Na mengne mengi yasiyo na msingi na maana katika kuendeleza elimu
 
pasco we ni mtu hatari sana tena pandikizi la ccm uliyekuja kwa mlango wa kuvaa koti la upinzani na uandishi wewe ni usalama wa taifa mtu hatari sana kwa wanajamiiforums mnafiki mungu hamfichi
 
Mwakyembe... Maghembe..... Nape... January.... Loading....,!
 
Back
Top Bottom