johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
ASP 😀Tena yule Nyerere sijuwi kwnini hajaiwacha TANU? Kwanini alituletea CCM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ASP 😀Tena yule Nyerere sijuwi kwnini hajaiwacha TANU? Kwanini alituletea CCM?
NakaziaCCM imeharibu kabisa taifa letu
Ukiondoa zile mbwa za dpw.mengine yote ameupiga sana mwingiSamia ni zao la kazi ya Mungu haina makosa.
Usiniambieee?Mama Samia kishasema, ukiuwa shirika, ufe nalo.
Hao wapo njiani kukukmbana na Mkumbo.
Wafanyakazi wa TRC wamezoea kula hela ya kokoto.kweli kabisa ayo mataruma ayana kokoto yaani yamechakaa TRC ovyo kabisa
Anasubiri mpaka life kwanini asichukue hatua likiwa linaumwa na kumwacha afe anayetaka kuliuaMama Samia kishasema, ukiuwa shirika, ufe nalo.
Hao wapo njiani kukukmbana na Mkumbo.
Watu wamejichotea kwenda kujengea.Mataruma yanaonekana hayana kokoto, uzembe.
Hiyo ni kazi ya Mkumbo kwa sasa, muulize yeye.Anasubiri mpaka life kwanini asichukue hatua likiwa linaumwa na kumwacha afe anayetaka kuliua
Aah waendelee tu wenyeji kuendesha, tatizo nini kwani?Kama vile ulivyotaka dpw ichukue bandari,kinachofuata ni serikali tukabidhi wageni waiendeshe.
Naam.CCM imeharibu kabisa taifa letu
Huyo ndio chanzo cha ualibifuTena yule Nyerere sijuwi kwanini hajaiwacha TANU? Kwanini alituletea CCM?
Si vizuri kuingiza udini kwenye mijadala isiyohusiana na dini. Ni ushauri tu lakini.Waarabu hapana, watafaidika waislam.
Tuwache iendelee kuwa chini ya TEC.
Shida ya muarabu huwezi mtenganisha na dini yake kwenye ajiraTuwape waarab wa Dp watusaidie
Tupo wengi tu hadi wataliiHivi kuna watu bado wanapanda huo uchafu!!
Hivi kuna watu bado wanapanda huo uchafu!!
Watanzania hatuwezi kufanya chochote bila kusimamiwa na watu wa nje.
Utumwa upo ndani ya damu ya Watanzania.