Bora matatuu siyo hizo ujinga...
Afadhali by far kuliko hizi zenu zinakaa Handwork ya watoto wa Grade 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora matatuu siyo hizo ujinga...
Kulikuwa na engine ikiitwa "kipsigis" zile za kuchochea kuni enzi za east africa railways.Safi sana bro, hebu tupiamo ile picha ya gari ya moshi ya wenzetu ambayo hutumia kuni!, miti imeisha miombo woodlands huko tz,itanipa faraja sana jioni hii[emoji2] [emoji2]
Pwahahaaaaaaa atareeee[emoji2] [emoji2] [emoji2] nipo hoiiii....afu cheki huyu mgambo hapo pembeni anavofurahia huo moshi!!Hahahaha..... Ipi? Hiyo?
View attachment 478706
Pwahahaaaaaaa atareeee[emoji2] [emoji2] [emoji2] nipo hoiiii....afu cheki huyu mgambo hapo pembeni anavofurahia huo moshi!!
Its matatu and we like it ..the same way we are going to embrace sgr ..yenyu ya stima iko wapi?...leta picha tuone ..bado kwa makaratasi na uko na balls za kukuja kuandika shit hapa ..vitoto vya tanzania ...you don't deserve the word Mr.Bora matatuu siyo hizo ujinga...
Oh Mygash that thing is burning?Hahahaha..... Ipi? Hiyo?
View attachment 478706
Hongereni wakenya kwa SGR lakini kama mabehewa yenu ndo hayo kwenye picha pamoja na madaraja (classes) yake, bado mtahitaji maboresho zaidi. Mabehewa yetu ya Tanzania ni makuukuu lakini daraja la pili kulala (Sleeping coach) watu sita kwa kila chumba na daraja la kwa ni la kulala likiwa na vyumba vya watu wanne kila chumba.People are taking selfies, and pictures and right now on twitter pictures are flowing. I think people who criticized this things are learning the reality the hard way.
I Learnt today also that the coaches will have
1. Business class
2. 1st Class
3. Economy class
Check out the look in the three categories especially the Business class
View attachment 478643
Na hizi zenu ni nini. Hii ukionyesha mtoto mdogo atalia usiku wote kwa mshtuko
View attachment 478720
Hahahaha..... Hajawahi ona Treni...
View attachment 478738 hii ndio tunaiiita kuisoma nambaa!! Karibuni nairobeee watz!!!!![emoji3] [emoji3]
Kutakuwa na treni mbili, moja express, lingine la kusimamaVery fast. But I doubt zitakuwa express. So maybe 4 h 30 minutes in the future??
Mnapatiwa vitanda kwa vile tazara inachukua siku tatu kufika Zambia, masaa manne hauhitaji kitanda ndugu yanguHongereni wakenya kwa SGR lakini kama mabehewa yenu ndo hayo kwenye picha pamoja na madaraja (classes) yake, bado mtahitaji maboresho zaidi. Mabehewa yetu ya Tanzania ni makuukuu lakini daraja la pili kulala (Sleeping coach) watu sita kwa kila chumba na daraja la kwa ni la kulala likiwa na vyumba vya watu wanne kila chumba.
Sasa huko kwenu mabehewa ni mapya lakini daraja la pili ni kama daraja la tatu kwa mabehewa yetu ya express coaches za treni zetu za kizamani.
ohh sasawaKutakuwa na treni mbili, moja express, lingine la kusimama
Not always but tunajaribu. Serikali haijatimiza ahadi nyingi, they lied in 2013Kenyan are always serious sisi ni makelele tu Kwa jukwaa
Hayo mapimbi ya kupuuza tu, leo nchi yao yote wanajadili vyeti vya Makonda. Yaani Magufuli ana kazi sio haba maana yeye anawaza viwanda halafu watu wake wote wamekomalia kujadili vyeti vya mtu mmoja.Pwahahahaa.... Swissme foot soldiers.... Mmefukuzwa huko kwenyejukwaa la siasa mmekuja huku kama nzi za chooni
Hongereni wakenya kwa SGR lakini kama mabehewa yenu ndo hayo kwenye picha pamoja na madaraja (classes) yake, bado mtahitaji maboresho zaidi. Mabehewa yetu ya Tanzania ni makuukuu lakini daraja la pili kulala (Sleeping coach) watu sita kwa kila chumba na daraja la kwa ni la kulala likiwa na vyumba vya watu wanne kila chumba.
Sasa huko kwenu mabehewa ni mapya lakini daraja la pili ni kama daraja la tatu kwa mabehewa yetu ya express coaches za treni zetu za kizamani.
Depay, huwa unatoa wapi hizi picha za treni ya Tanzania?? Hata kwa google kupata ni taabWatadhani hiyo mchoro.... Aise vijana wa Bashite wako na maneno