Treni ya kwanza ya SGR yakamilisha jaribio la safari kwa masaa 6

Treni ya kwanza ya SGR yakamilisha jaribio la safari kwa masaa 6

Hiyo iliyopoteza Masaa 2 njiani ni ile yenye taa kubwa ktkt kama jicho la shetani au na hata hii naona ileile tu hilo libalbu sijui la nini naona mchina kawafanya vby sana
 
472 km treni ya SGR imetumia masaa 6 na dakika 30, nikifikiria treni ya tazara kutoka dar es salaam hadi mbeya 1440 kms, inabeba behewa zaidi ya 20 na inatumia 18 to 20 hours, na inapita milimani, sasa hii ya SGR naona kwa huo umbali nayo ingetumia zaid ya masaa 20, naona ni yale yale abdalah kaitwa dulla, anyway hongereni majirani kwa kufikia hapo
 
Hiyo iliyopoteza Masaa 2 njiani ni ile yenye taa kubwa ktkt kama jicho la shetani au na hata hii naona ileile tu hilo libulbu sijui la nini naona mchina kawafanya vby sana

Unaongea kisukuma ama nini... bulbul ni samaki wa aina gani?
 
472 km treni ya SGR imetumia masaa 6 na dakika 30, nikifikiria treni ya tazara kutoka dar es salaam hadi mbeya 1440 kms, inabeba behewa zaidi ya 20 na inatumia 18 to 20 hours, na inapita milimani, sasa hii ya SGR naona kwa huo umbali nayo ingetumia zaid ya masaa 20, naona ni yale yale abdalah kaitwa dulla, anyway hongereni majirani kwa kufikia hapo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] saidi kuitwa side,selemani kuitwa sule
 
Hahahaha..... Ipi? Hiyo?
nchi ya viwanda hasa vya machinga na silipo.
train-jpg.478706
 
472 km treni ya SGR imetumia masaa 6 na dakika 30, nikifikiria treni ya tazara kutoka dar es salaam hadi mbeya 1440 kms, inabeba behewa zaidi ya 20 na inatumia 18 to 20 hours, na inapita milimani, sasa hii ya SGR naona kwa huo umbali nayo ingetumia zaid ya masaa 20, naona ni yale yale abdalah kaitwa dulla, anyway hongereni majirani kwa kufikia hapo
wewe hujasoma taarifa ,ama labda huelewi kiingereza?

''There was a two hour stoppage at Mtito Andei, which is the mid point of the 472km "We were cruising at an average speed of 120km per hour from Nairobi up to Mtito Andei , where all the rail communication modern systems are in place, the journey took 2 hours" he said. But after Mtito Andei, it took longer for the train to cruise to mombasa since they opted to travel at much lower speeds since the signaling and communication system are yet to be complete.''
 
472 km treni ya SGR imetumia masaa 6 na dakika 30, nikifikiria treni ya tazara kutoka dar es salaam hadi mbeya 1440 kms, inabeba behewa zaidi ya 20 na inatumia 18 to 20 hours, na inapita milimani, sasa hii ya SGR naona kwa huo umbali nayo ingetumia zaid ya masaa 20, naona ni yale yale abdalah kaitwa dulla, anyway hongereni majirani kwa kufikia hapo
Masaa 6 dakika 30 umetoa wapi??? Mbona nyinyi huota mambo tu na kukurupuka??? Ni tsetse fly za miombo ama ni viroba vya tandale?? 3hrs 50 min
 
Masaa 6 dakika 30 umetoa wapi??? Mbona nyinyi huota mambo tu na kukurupuka??? Ni tsetse fly za miombo ama ni viroba vya tandale?? 3hrs 50 min
kweli kichwa kikubwa kisicho na akili ni adhabu kwa miguu, rudia tena hiyo hesabu yako, treni iliondoka 9:30am imefika 4:00pm, ni 6hrs & 30 min, ikasimama 2hrs & 5 minutes, kwahyo muda kamili ni 4hrs & 25min. ila kama ninasafari yangu nahesabu nimepoteza 6hrs & 30min kwa 472kms kwa usafiri wa SGR, au wakenya nyie kwenu ni usiku na mchana tu saa ni za wazungu so muda siyo tatizo!?
 
Nimepitia threads nyingi hasa zinazohusu maendeleo ya nchi za East Africa.Katika kupitapita huko nimekutana na comments zinazodhihirisha kuwa wakazi hasa wa kutoka Kenya na/au Tanzania wakitoa maneno ya kashfa na wakati mwingine hata matusi.Mimi silaumu upande wowote iwe Wakenya,Watz au nchi yoyote isipokuwa nashangaa ni kwanin inakuwa hivi wakati sisi sote ni wakazi wa eneo hili!!!..Hebu kwa mfano Kenya imeweza kujenga reli ya kisasa ya SG na tayari treni imeanza safari ya majaribio,je kwanini tusipongeze kwa hili??!!...
Pia hili swala la kukashifu mwenzako kwanini lipo??!!,tren inatumia almost 3hrs and 50' from Nai to Mombasa na bado unaona ni bure!!??...Na mtu mwingine eti unamtusi mwenzako tena kwa kumfananisha na tsetse fly au Toilet fly!!?? Hii siyo vyema hata kidogo ndugu zangu.Pia isitoshe unamwambia eti unaita wenzako wasiofaham kiingereza!!,huu ni ujinga ndugu zangu coz lugha hizi zimeletwa tu, leo hii wewe unayejifanya wajua zaid kiingereza mfano nenda Mozambique tu au Congo sijui hicho kiingereza utaongea na nani...Sio tu Kiswahili kinazungumzwa sana nchini Tanzania bali sasa Kiswahili ni lugha inayokuwa kua sana Duniani..Ukienda Uganda,kiswahili uzungumzwa sana na wasomi na ndivyo inavyofahamika huko kuwa Ukizungumza kiswahili basi wewe ni msomi...Swala hili la lugha siyo kwamba ndo linaleta maendeleo ya nchi,na kuzungumza kiingereza ndiyo kungeleta maendeleo basi leo Nchi ya CHINA isengelikuwa kama ilivyo katika maendeleo.
Nimalizie kwa kusema maendeleo hayapingwa isipokuwa yanaigwa tu.
Nasisitiza tuwe pamoja katika swala la maendeleo ya nchi zetu,mwenzako akifanikiwa mpongeze na huo ndo urafiki wa kweli.Ila huu mwendo wa kusengenyana na kutukanana wala hautatusaidia kabisa.
Jamani nasema hivi kwa sababu mimi nilipotembea nchi fulani 2 nilikuwa nashangaa jins Wakenya na Watz ambavyo hatupendan but wazawa wa nchi hizo 2 wanapenda sana Watz kuliko Wakenya and I didn't know why? but nitalifuatilia hili badae kwa kuwa nazo sababu mbalimbali na kuzilinganisha na zile za matokeo.

"Maendeleo hayana lugha wala ukanda,tumeamua kushikamana kusukuma hili gurudumu basi tushikamane kweli kweli"
 
kweli kichwa kikubwa kisicho na akili ni adhabu kwa miguu, rudia tena hiyo hesabu yako, treni iliondoka 9:30am imefika 4:00pm, ni 6hrs & 30 min, ikasimama 2hrs & 5 minutes, kwahyo muda kamili ni 4hrs & 25min. ila kama ninasafari yangu nahesabu nimepoteza 6hrs & 30min kwa 472kms kwa usafiri wa SGR, au wakenya nyie kwenu ni usiku na mchana tu saa ni za wazungu so muda siyo tatizo!?
hiyo ni test run , bado reli haijakamilika mpaka mwezi july.
treni express yenyewe itachukua 4 hours from nairobi to mombasa with maximum 30 min stop at mtito andei
kwa hivyo msafiri binafsi atachukua minimum of 4 hours 30 min when operations are officially launched
 
pictures from the first test run of passenger service,only officials and experts from Kenya Railways and CRBC were on board

.
17103459_1442481895803756_8004741821081459279_n.jpg

PszxdCm.jpg
17201302_1442485969136682_6763898009102011684_n.jpg
17202873_1442554512463161_788768275253682603_n.jpg
y35UFOL.jpg
17156279_1442644372454175_5408754242188831338_n.jpg
17190429_1464688266897218_8189720139966563021_n.jpg
17191491_1442644989120780_5485130351909299640_n.jpg
17203240_1442645999120679_6652238220257518381_n.jpg
17190576_1264300796938623_8263886900809991380_n.jpg
17191384_1264300843605285_8536804856691198074_n.jpg
17190875_1442761992442413_794818675789794696_n.jpg
17156098_1442762189109060_1471843222903554117_n.jpg
17190748_1442681869117092_5727792056381051297_n.jpg
17098617_1442651059120173_5250239423224451418_n.jpg
17201237_1442767369108542_6912907418753841741_n.jpg
16996419_1442767465775199_7799353229396507464_n.jpg
 
Mm, $3.8 bln zinakupa treni kama hizo. Nakumbuka trip ya kwanza jamaa alipiga Urusi, akataka kula cha Warusi, Warusi wakagoma. Akaona isiwe tabu break ya pili China, Wachina wakampokea na kumpa dili ya iliyoshiba, bila kuuliza akaomba chakwake cha juu mapema akarudi kuanzisha chama na watu wanapiga makofi huku wakiitikia na'am.
 
Its matatu and we like it ..the same way we are going to embrace sgr ..yenyu ya stima iko wapi?...leta picha tuone ..bado kwa makaratasi na uko na balls za kukuja kuandika shit hapa ..vitoto vya tanzania ...you don't deserve the word Mr.
Mbona wapovuka... Kutangulia si kufika.. Au umeforget..
 
pictures from the first test run of passenger service,only officials and experts from Kenya Railways and CRBC were on board

.
17103459_1442481895803756_8004741821081459279_n.jpg

PszxdCm.jpg
17201302_1442485969136682_6763898009102011684_n.jpg
17202873_1442554512463161_788768275253682603_n.jpg
y35UFOL.jpg
17156279_1442644372454175_5408754242188831338_n.jpg
17190429_1464688266897218_8189720139966563021_n.jpg
17191491_1442644989120780_5485130351909299640_n.jpg
17203240_1442645999120679_6652238220257518381_n.jpg
17190576_1264300796938623_8263886900809991380_n.jpg
17191384_1264300843605285_8536804856691198074_n.jpg
17190875_1442761992442413_794818675789794696_n.jpg
17156098_1442762189109060_1471843222903554117_n.jpg
17190748_1442681869117092_5727792056381051297_n.jpg
17098617_1442651059120173_5250239423224451418_n.jpg
17201237_1442767369108542_6912907418753841741_n.jpg
16996419_1442767465775199_7799353229396507464_n.jpg
Wakenya mnapenda sana mapicha... Hiyo train ina very poor interior finishings...matatu have luxury interior than that Chuma chakavu...
 
pictures from the first test run of passenger service,only officials and experts from Kenya Railways and CRBC were on board

.
17103459_1442481895803756_8004741821081459279_n.jpg

PszxdCm.jpg
17201302_1442485969136682_6763898009102011684_n.jpg
17202873_1442554512463161_788768275253682603_n.jpg
y35UFOL.jpg
17156279_1442644372454175_5408754242188831338_n.jpg
17190429_1464688266897218_8189720139966563021_n.jpg
17191491_1442644989120780_5485130351909299640_n.jpg
17203240_1442645999120679_6652238220257518381_n.jpg
17190576_1264300796938623_8263886900809991380_n.jpg
17191384_1264300843605285_8536804856691198074_n.jpg
17190875_1442761992442413_794818675789794696_n.jpg
17156098_1442762189109060_1471843222903554117_n.jpg
17190748_1442681869117092_5727792056381051297_n.jpg
17098617_1442651059120173_5250239423224451418_n.jpg
17201237_1442767369108542_6912907418753841741_n.jpg
16996419_1442767465775199_7799353229396507464_n.jpg
I can tell u, these Tz trains (older than yours) are way better than Kenya's.
Hizo zenu ni vyuma chakavu. Everybody knows!

Have a close look over these Tz trains. We purchased years back.
IMG_20170310_071332_075.JPG
IMG_20170310_071559_873.JPG
IMG_20170310_071545_440.JPG
IMG_20170310_071532_305.JPG
IMG_20170310_071519_854.JPG
IMG_20170310_071506_846.JPG
IMG_20170310_071453_422.JPG
IMG_20170310_071439_419.JPG
IMG_20170310_071414_025.JPG
IMG_20170310_071400_319.JPG
IMG_20170310_071347_338.JPG
IMG_20170310_071332_075.JPG

Peleka huko hizo vyuma zenu chakavu,
What Chinese did to Kenya is unforgivable
 
Wakenya mnapenda sana mapicha... Hiyo train ina very poor interior finishings...matatu have luxury interior than that Chuma chakavu...

Mwenyewe hauna hata baisikeli ya Mbao..... Duh!! Midanganyika... .
 
I can tell u, these Tz trains (older than yours) are way better than Kenya's.
Hizo zenu ni vyuma chakavu. Everybody knows!

Have a close look over these Tz trains. We purchased years back.
View attachment 478829View attachment 478830View attachment 478831View attachment 478832View attachment 478833View attachment 478834View attachment 478835View attachment 478836View attachment 478838View attachment 478839View attachment 478840View attachment 478841
Peleka huko hizo vyuma zenu chakavu,
What Chinese did to Kenya is unforgivable

The same ones? ??
unnamed.jpga.jpg

maxresdefault-1.jpg
 
The wagon that was equipped for testing.... It was taking thousands of pictures of the rail itself, measuring speed vs vibration vs stability....

1264306570271379.jpg
1264306773604692.jpg
1264298650272171.jpg
1264298683605501.jpg
1264298580272178.jpg
 
Back
Top Bottom