Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo iliyopoteza Masaa 2 njiani ni ile yenye taa kubwa ktkt kama jicho la shetani au na hata hii naona ileile tu hilo libulbu sijui la nini naona mchina kawafanya vby sana
[emoji1] [emoji1] [emoji1] saidi kuitwa side,selemani kuitwa sule472 km treni ya SGR imetumia masaa 6 na dakika 30, nikifikiria treni ya tazara kutoka dar es salaam hadi mbeya 1440 kms, inabeba behewa zaidi ya 20 na inatumia 18 to 20 hours, na inapita milimani, sasa hii ya SGR naona kwa huo umbali nayo ingetumia zaid ya masaa 20, naona ni yale yale abdalah kaitwa dulla, anyway hongereni majirani kwa kufikia hapo
nchi ya viwanda hasa vya machinga na silipo.Hahahaha..... Ipi? Hiyo?
wewe hujasoma taarifa ,ama labda huelewi kiingereza?472 km treni ya SGR imetumia masaa 6 na dakika 30, nikifikiria treni ya tazara kutoka dar es salaam hadi mbeya 1440 kms, inabeba behewa zaidi ya 20 na inatumia 18 to 20 hours, na inapita milimani, sasa hii ya SGR naona kwa huo umbali nayo ingetumia zaid ya masaa 20, naona ni yale yale abdalah kaitwa dulla, anyway hongereni majirani kwa kufikia hapo
Masaa 6 dakika 30 umetoa wapi??? Mbona nyinyi huota mambo tu na kukurupuka??? Ni tsetse fly za miombo ama ni viroba vya tandale?? 3hrs 50 min472 km treni ya SGR imetumia masaa 6 na dakika 30, nikifikiria treni ya tazara kutoka dar es salaam hadi mbeya 1440 kms, inabeba behewa zaidi ya 20 na inatumia 18 to 20 hours, na inapita milimani, sasa hii ya SGR naona kwa huo umbali nayo ingetumia zaid ya masaa 20, naona ni yale yale abdalah kaitwa dulla, anyway hongereni majirani kwa kufikia hapo
kweli kichwa kikubwa kisicho na akili ni adhabu kwa miguu, rudia tena hiyo hesabu yako, treni iliondoka 9:30am imefika 4:00pm, ni 6hrs & 30 min, ikasimama 2hrs & 5 minutes, kwahyo muda kamili ni 4hrs & 25min. ila kama ninasafari yangu nahesabu nimepoteza 6hrs & 30min kwa 472kms kwa usafiri wa SGR, au wakenya nyie kwenu ni usiku na mchana tu saa ni za wazungu so muda siyo tatizo!?Masaa 6 dakika 30 umetoa wapi??? Mbona nyinyi huota mambo tu na kukurupuka??? Ni tsetse fly za miombo ama ni viroba vya tandale?? 3hrs 50 min
hiyo ni test run , bado reli haijakamilika mpaka mwezi july.kweli kichwa kikubwa kisicho na akili ni adhabu kwa miguu, rudia tena hiyo hesabu yako, treni iliondoka 9:30am imefika 4:00pm, ni 6hrs & 30 min, ikasimama 2hrs & 5 minutes, kwahyo muda kamili ni 4hrs & 25min. ila kama ninasafari yangu nahesabu nimepoteza 6hrs & 30min kwa 472kms kwa usafiri wa SGR, au wakenya nyie kwenu ni usiku na mchana tu saa ni za wazungu so muda siyo tatizo!?
Mbona wapovuka... Kutangulia si kufika.. Au umeforget..Its matatu and we like it ..the same way we are going to embrace sgr ..yenyu ya stima iko wapi?...leta picha tuone ..bado kwa makaratasi na uko na balls za kukuja kuandika shit hapa ..vitoto vya tanzania ...you don't deserve the word Mr.
Wakenya mnapenda sana mapicha... Hiyo train ina very poor interior finishings...matatu have luxury interior than that Chuma chakavu...pictures from the first test run of passenger service,only officials and experts from Kenya Railways and CRBC were on board
.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
I can tell u, these Tz trains (older than yours) are way better than Kenya's.pictures from the first test run of passenger service,only officials and experts from Kenya Railways and CRBC were on board
.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wakenya mnapenda sana mapicha... Hiyo train ina very poor interior finishings...matatu have luxury interior than that Chuma chakavu...
I can tell u, these Tz trains (older than yours) are way better than Kenya's.
Hizo zenu ni vyuma chakavu. Everybody knows!
Have a close look over these Tz trains. We purchased years back.
View attachment 478829View attachment 478830View attachment 478831View attachment 478832View attachment 478833View attachment 478834View attachment 478835View attachment 478836View attachment 478838View attachment 478839View attachment 478840View attachment 478841
Peleka huko hizo vyuma zenu chakavu,
What Chinese did to Kenya is unforgivable