Treni ya kwanza ya SGR yakamilisha jaribio la safari kwa masaa 6

Treni ya kwanza ya SGR yakamilisha jaribio la safari kwa masaa 6

Nimepitia threads nyingi hasa zinazohusu maendeleo ya nchi za East Africa.Katika kupitapita huko nimekutana na comments zinazodhihirisha kuwa wakazi hasa wa kutoka Kenya na/au Tanzania wakitoa maneno ya kashfa na wakati mwingine hata matusi.Mimi silaumu upande wowote iwe Wakenya,Watz au nchi yoyote isipokuwa nashangaa ni kwanin inakuwa hivi wakati sisi sote ni wakazi wa eneo hili!!!..Hebu kwa mfano Kenya imeweza kujenga reli ya kisasa ya SG na tayari treni imeanza safari ya majaribio,je kwanini tusipongeze kwa hili??!!...
Pia hili swala la kukashifu mwenzako kwanini lipo??!!,tren inatumia almost 3hrs and 50' from Nai to Mombasa na bado unaona ni bure!!??...Na mtu mwingine eti unamtusi mwenzako tena kwa kumfananisha na tsetse fly au Toilet fly!!?? Hii siyo vyema hata kidogo ndugu zangu.Pia isitoshe unamwambia eti unaita wenzako wasiofaham kiingereza!!,huu ni ujinga ndugu zangu coz lugha hizi zimeletwa tu, leo hii wewe unayejifanya wajua zaid kiingereza mfano nenda Mozambique tu au Congo sijui hicho kiingereza utaongea na nani...Sio tu Kiswahili kinazungumzwa sana nchini Tanzania bali sasa Kiswahili ni lugha inayokuwa kua sana Duniani..Ukienda Uganda,kiswahili uzungumzwa sana na wasomi na ndivyo inavyofahamika huko kuwa Ukizungumza kiswahili basi wewe ni msomi...Swala hili la lugha siyo kwamba ndo linaleta maendeleo ya nchi,na kuzungumza kiingereza ndiyo kungeleta maendeleo basi leo Nchi ya CHINA isengelikuwa kama ilivyo katika maendeleo.
Nimalizie kwa kusema maendeleo hayapingwa isipokuwa yanaigwa tu.
Nasisitiza tuwe pamoja katika swala la maendeleo ya nchi zetu,mwenzako akifanikiwa mpongeze na huo ndo urafiki wa kweli.Ila huu mwendo wa kusengenyana na kutukanana wala hautatusaidia kabisa.
Jamani nasema hivi kwa sababu mimi nilipotembea nchi fulani 2 nilikuwa nashangaa jins Wakenya na Watz ambavyo hatupendan but wazawa wa nchi hizo 2 wanapenda sana Watz kuliko Wakenya and I didn't know why? but nitalifuatilia hili badae kwa kuwa nazo sababu mbalimbali na kuzilinganisha na zile za matokeo.

"Maendeleo hayana lugha wala ukanda,tumeamua kushikamana kusukuma hili gurudumu basi tushikamane kweli kweli"
Very true.

I keep asking myself the same question kila wakati. Imagine if people here instead spent the same time and energy used for insulting each other to actually discuss and exchange ideas on matters that affect the people, this would be one of the most fruitful forums of all times.

I also noticed that Kenya and Tanzania are similar in so many ways, such that this D*ck measuring contest becomes a total waste of time.
 
Brother no different btn the two regarding the design, fashion and specification.
The only different is on painting.... one is recently painted the other is old.
. Hehehe... Hiyo ya Tz bana eeeh. That one is extremely scary. Imagine showing that to a baby vile atakunja uso na kilio atatoa... mmh usiseme
 
Very true.

I keep asking myself the same question kila wakati. Imagine if people here instead spent the same time and energy used for insulting each other to actually discuss and exchange ideas on matters that affect the people, this would be one of the most fruitful forums of all times.

I also noticed that Kenya and Tanzania are similar in so many ways, such that this D*ck measuring contest becomes a total waste of time.
Exactly
 
pictures from the first test run of passenger service,only officials and experts from Kenya Railways and CRBC were on board

.
17103459_1442481895803756_8004741821081459279_n.jpg

PszxdCm.jpg
17201302_1442485969136682_6763898009102011684_n.jpg
17202873_1442554512463161_788768275253682603_n.jpg
y35UFOL.jpg
17156279_1442644372454175_5408754242188831338_n.jpg
17190429_1464688266897218_8189720139966563021_n.jpg
17191491_1442644989120780_5485130351909299640_n.jpg
17203240_1442645999120679_6652238220257518381_n.jpg
17190576_1264300796938623_8263886900809991380_n.jpg
17191384_1264300843605285_8536804856691198074_n.jpg
17190875_1442761992442413_794818675789794696_n.jpg
17156098_1442762189109060_1471843222903554117_n.jpg
17190748_1442681869117092_5727792056381051297_n.jpg
17098617_1442651059120173_5250239423224451418_n.jpg
17201237_1442767369108542_6912907418753841741_n.jpg
16996419_1442767465775199_7799353229396507464_n.jpg
Yule wa chato akifikia kufanya haya, kuna watu atatuhamisha nchi,
 
Hiyo iliyopoteza Masaa 2 njiani ni ile yenye taa kubwa ktkt kama jicho la shetani au na hata hii naona ileile tu hilo libalbu sijui la nini naona mchina kawafanya vby sana
😀
 
I can tell u, these Tz trains (older than yours) are way better than Kenya's.
Hizo zenu ni vyuma chakavu. Everybody knows!

Have a close look over these Tz trains. We purchased years back.
View attachment 478829View attachment 478830View attachment 478831View attachment 478832View attachment 478833View attachment 478834View attachment 478835View attachment 478836View attachment 478838View attachment 478839View attachment 478840View attachment 478841
Peleka huko hizo vyuma zenu chakavu,
What Chinese did to Kenya is unforgivable
Hizi ndizo za umeme,taratibu kaka jaribu kuficha ujinga.😀
 
I can tell u, these Tz trains (older than yours) are way better than Kenya's.
Hizo zenu ni vyuma chakavu. Everybody knows!

Have a close look over these Tz trains. We purchased years back.
View attachment 478829View attachment 478830View attachment 478831View attachment 478832View attachment 478833View attachment 478834View attachment 478835View attachment 478836View attachment 478838View attachment 478839View attachment 478840View attachment 478841
Peleka huko hizo vyuma zenu chakavu,
What Chinese did to Kenya is unforgivable

Lakini naona we punguani, ulitaka za Nairobi ziwekwe vitanda???

Hizo zenu za wekwa vitanda maana engine ni za kuni miaka ndo ifike dodoma toka Dar.

Hapa ni masaa matatu dakika Hamsini umetoka Nairobi umefika Mombasa, utatafuta vitanda???
 
Lakini naona we punguani, ulitaka za Nairobi ziwekwe vitanda???

Hizo zenu za wekwa vitanda maana engine ni za kuni miaka ndo ifike dodoma toka Dar.

Hapa ni masaa matatu dakika Hamsini umetoka Nairobi umefika Mombasa, utatafuta vitanda???
Vipi kuhusu quality ya hizo boards,
Despite the being older, Tzs are better than Kenya's. (U know it)
 
120km/hr is a very normal speed. At least 250km/hr can be called fast
 
Back
Top Bottom