Treni ya SGR Dodoma kwenda Dar imekwama kituoni Mkata SGR station toka saa 1 jioni

Treni ya SGR Dodoma kwenda Dar imekwama kituoni Mkata SGR station toka saa 1 jioni

Yap, chuma ipo full, ila changamoto kama hizi hii ndiyo mara ya kwanza na mwisho.
Hapana mkuu🤣. Changamoto ya kawaida hiyo wataendelea kuboresha zisiwe zinajitokeza.

Kikubwa namna hii. Likikwama mahali watu waendelee kulipost kwenyw majukwaa kama haya.
Maana nchi hii bila lawama watu waliopo ofisini kati hawataki kufanya
 
Kadogosa yupo ITV anapinga kauli hizi. Anasema wanaotoa taarifa hizo ndipo walipofikia ulewa wao.
.Yupo anabisha kila swali analouliza
Bila shaka itakua yupo katika dakika 45 ya itv. Hii ni shida kubwa upande wa uwajibishwaji na kupinga makosa.
Kuna siku chuma lile kuna moja linakua limechelewa kutoka kwa wakati hivo inabidi treni iliyowahi. isubiri chuma nyingine katika sehemu ya kupishana.

ratiba ifwatwe according.
 
labda kuna watu wanatakiwa watekwe humo ndani?...wamewaambia wasimamishe hapo ili kazi iishie hapohapo?. Marekebisho walikuwa wanasubiria liondoke na abiria
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
kama kichwa cha habari kinavyosema,
tunasubili mrejesho tuendelee na safari..
Ni saa la pili sasa inasemekana Kuna marekebisho mbele huko.View attachment 3091869

=====

UPDATES: 2200HRS

======

TRC: Hii Treni haijakwama bali ilikua ikisubiria kupishana na treni nyingine. Abiria walitangaziwa.

UPDATES 2

crowntvtzBreaking
: Abiria wa treni ya umeme (SGR) ambao walikuwa wanasafiri kutoka Dar es salaam kwenda Morogoro wameishia kukwama eneo la Ngerengere kuanzia saa 11 jioni na hadi sasa saa 4 usiku huu hakuna taarifa yoyote rasmi kusema wataondoka saa ngapi. Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi.
View attachment 3091950
Au umeme umekata
 
Hitilafu ni jambo la kawaida inategema inaweza kua hitilafu kubwa au ndogo na utatuzi wake ukawa mkubwa au mdgo vumilieni hapo ndo mnapojua umuhimu wa Technicians manake siku izi kila mtu anajidai fundi
Hitilafu kwa treni jipya na reli mpya??
 
kama kichwa cha habari kinavyosema,
tunasubili mrejesho tuendelee na safari..
Ni saa la pili sasa inasemekana Kuna marekebisho mbele huko.View attachment 3091869

=====

UPDATES: 2200HRS

======

TRC: Hii Treni haijakwama bali ilikua ikisubiria kupishana na treni nyingine. Abiria walitangaziwa.

UPDATES 2

crowntvtzBreaking
: Abiria wa treni ya umeme (SGR) ambao walikuwa wanasafiri kutoka Dar es salaam kwenda Morogoro wameishia kukwama eneo la Ngerengere kuanzia saa 11 jioni na hadi sasa saa 4 usiku huu hakuna taarifa yoyote rasmi kusema wataondoka saa ngapi. Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi.
View attachment 3091950
Video inaongeza uzito sana. Hata wahudumu hawaonekani🤣
 
Back
Top Bottom