Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vyote hivyo sio tatizo kwani vinapatikana ndani ya TreniHuduma za kijamii kama chakula, vyoo, na huduma ya kwanza zipo?
BTW poleni.
Yap, chuma ipo full, ila changamoto kama hizi hii ndiyo mara ya kwanza na mwisho.Vp lakini mkuu chuma limejaa ?
Kadogosa yupo ITV anapinga kauli hizi. Anasema wanaotoa taarifa hizo ndipo walipofikia ulewa wao.kama kichwa cha habari kinavyosema,
tunasubili mrejesho tuendelee na safari..
Ni saa la pili sasa inasemekana Kuna mbele mbele huko.View attachment 3091869
Yaaani ni kweli Serikali ya CCM imeshindwa kuwamata hao Wahalifu au ni danganya Toto Tu???kama kichwa cha habari kinavyosema,
tunasubili mrejesho tuendelee na safari..
Ni saa la pili sasa inasemekana Kuna marekebisho mbele huko.View attachment 3091869
Hapana mkuu🤣. Changamoto ya kawaida hiyo wataendelea kuboresha zisiwe zinajitokeza.Yap, chuma ipo full, ila changamoto kama hizi hii ndiyo mara ya kwanza na mwisho.
Bila shaka itakua yupo katika dakika 45 ya itv. Hii ni shida kubwa upande wa uwajibishwaji na kupinga makosa.Kadogosa yupo ITV anapinga kauli hizi. Anasema wanaotoa taarifa hizo ndipo walipofikia ulewa wao.
.Yupo anabisha kila swali analouliza
Huyo analiwa kichwa kabla ya mwaka huu kuisha.Kadogosa yupo ITV anapinga kauli hizi. Anasema wanaotoa taarifa hizo ndipo walipofikia ulewa wao.
.Yupo anabisha kila swali analouliza
🤣🤣🤣Nyie mnachoweza kiufasaha ni kuteka
Wewe usipande tena,wengine hata mseme inazimika njiani tutapanda tu.Yap, chuma ipo full, ila changamoto kama hizi hii ndiyo mara ya kwanza na mwisho.
Au umeme umekatakama kichwa cha habari kinavyosema,
tunasubili mrejesho tuendelee na safari..
Ni saa la pili sasa inasemekana Kuna marekebisho mbele huko.View attachment 3091869
=====
UPDATES: 2200HRS
======
TRC: Hii Treni haijakwama bali ilikua ikisubiria kupishana na treni nyingine. Abiria walitangaziwa.
UPDATES 2
crowntvtzBreaking: Abiria wa treni ya umeme (SGR) ambao walikuwa wanasafiri kutoka Dar es salaam kwenda Morogoro wameishia kukwama eneo la Ngerengere kuanzia saa 11 jioni na hadi sasa saa 4 usiku huu hakuna taarifa yoyote rasmi kusema wataondoka saa ngapi. Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi.
View attachment 3091950
Kumbuka kuna nyani Watu 😂😂Au nyani wamerudia tena uharibifu wao?
Yaani mtu akwame saa moja jioni aje kupost saa tatu na nusu usiku?Mkifanikiwa kuamsha update
Hitilafu kwa treni jipya na reli mpya??Hitilafu ni jambo la kawaida inategema inaweza kua hitilafu kubwa au ndogo na utatuzi wake ukawa mkubwa au mdgo vumilieni hapo ndo mnapojua umuhimu wa Technicians manake siku izi kila mtu anajidai fundi
Video inaongeza uzito sana. Hata wahudumu hawaonekani🤣kama kichwa cha habari kinavyosema,
tunasubili mrejesho tuendelee na safari..
Ni saa la pili sasa inasemekana Kuna marekebisho mbele huko.View attachment 3091869
=====
UPDATES: 2200HRS
======
TRC: Hii Treni haijakwama bali ilikua ikisubiria kupishana na treni nyingine. Abiria walitangaziwa.
UPDATES 2
crowntvtzBreaking: Abiria wa treni ya umeme (SGR) ambao walikuwa wanasafiri kutoka Dar es salaam kwenda Morogoro wameishia kukwama eneo la Ngerengere kuanzia saa 11 jioni na hadi sasa saa 4 usiku huu hakuna taarifa yoyote rasmi kusema wataondoka saa ngapi. Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi.
View attachment 3091950