Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Sawa Sasa Hivi Ipo Dar Inaoshwa Na Maji Ya BahariUPDATE
23:00 hrs
Chuma imeanza kutembea tena,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Sasa Hivi Ipo Dar Inaoshwa Na Maji Ya BahariUPDATE
23:00 hrs
Chuma imeanza kutembea tena,
Tumechoka SasaWapigwe tu
Kwa Mbinde Sana SanaHii vita wenye mabasi wanaweza kushinda
Na huu mradi tumeupa Xmas kadhaa wasipokuwa makini chaliiiCheap is expensive,ni haraka ila uhakika wa kufika ni mdogo tofauti na Mabasi.
Bila shaka Kwa Sasa wenge la watu kukimbilia Sgr taratibu linaanza kupungua 🤪🤪
Hii taarifa ni uongo.Muda huu Kuna Watanzania wenzetu walioondoka Dar saa 10 jioni na treni ya SGR wamekwama maeneo fulani mkoa wa Morogoro.
Kwa muda wote huo abiria wamefungiwa ndani ya mabehewa, hawaruhusiwi kutoka nje. Hali ni mbaya sana watu wazima ma watoto wanateseka na joto plus njaa.
Lakini wahudumu wanagoma kufungua mipango kwa lengo la kuzuia taarifa za kuowama kwa treni hiyo kusambaa.
Hakuna tatizo katika hizo locomotives.Cheap is expensive,ni haraka ila uhakika wa kufika ni mdogo tofauti na Mabasi.
Bila shaka Kwa Sasa wenge la watu kukimbilia Sgr taratibu linaanza kupungua 🤪🤪
Matatizo kwenye usafiri wa treni ni jambo lisiloepukika.Hakuna tatizo katika hizo locomotives.
Na changamoto inasemekana haikuwa ya kiufundi,bali ilikua ikingojea treni yenzake ipite.
Ilikuwa inangoja treni kwa masaa saba?😂😂Hakuna tatizo katika hizo locomotives.
Na changamoto inasemekana haikuwa ya kiufundi,bali ilikua ikingojea treni yenzake ipite.
Ni kweli hayo mavitu uliyoyataja wanaweza kuyafanya tena kwa umakini na ustadi wa hali ya juu!Kukata mauno huoni kila kijana na dada anacheza komasava,
Umbea,udaku pia,kubishana usimbayanga inatosha
Ova
Mkata iko wapi na Ngerengere iko wapi, mwenye SGR map tafadhalibiria wa treni ya umeme (SGR) ambao walikuwa wanasafiri kutoka Dar es salaam kwenda Morogoro wameishia kukwama eneo la Ngerengere kuanzia saa 11 jioni na hadi sasa saa 4 usiku huu hakuna taarifa yoyote rasmi kusema wataondoka saa ngapi. Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi.
💩💩💩💩💩💩Ilikuwa inangoja treni kwa masala saba?😂😂
Ngerengere ipo Pwani haipo Morogoro.Mkata iko wapi na Ngerengere iko wapi, mwenye SGR map tafadhali
Hapo umeongea mkuu.Matatizo kwenye usafiri wa treni ni jambo lisiloepukika.
Sweden moja ya Nchi zilizopiga hatua kubwa kwenye usafiri wa treni na mawasiliano huwa hizi changamoto zinatokea.Mara nyingi huwa zinasababishwa na signal failure au treni kupishana.
Tumekuwa Taifa la kulalamika tu bila kutafiti tatizo ni nini?
Tulalamike panapopaswa kulalamika not only for the sake ya kulalamika.
ThanksNgerengere ipo Pwani haipo Morogoro.
Mkata kuna njia ya kuelekea Dodoma nadhani usawa wa Kilosa inaitwa Mkata na ipo Morogoro.
Hv hakuna za kupishana tunategemea nnBila shaka itakua yupo katika dakika 45 ya itv. Hii ni shida kubwa upande wa uwajibishwaji na kupinga makosa.
Kuna siku chuma lile kuna moja linakua limechelewa kutoka kwa wakati hivo inabidi treni iliyowahi. isubiri chuma nyingine katika sehemu ya kupishana.
ratiba ifwatwe according.
Saving costHv hakuna za kupishana tunategemea nn