mfate42
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 4,034
- 4,792
Dah poleni...UPDATE
23:00 hrs
Chuma imeanza kutembea tena,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah poleni...UPDATE
23:00 hrs
Chuma imeanza kutembea tena,
kama kichwa cha habari kinavyosema,
tunasubili mrejesho tuendelee na safari..
Ni saa la pili sasa inasemekana Kuna marekebisho mbele huko.View attachment 3091869
=====
UPDATES: 2200HRS
======
TRC: Hii Treni haijakwama bali ilikua ikisubiria kupishana na treni nyingine. Abiria walitangaziwa.
UPDATES 2
crowntvtzBreaking: Abiria wa treni ya umeme (SGR) ambao walikuwa wanasafiri kutoka Dar es salaam kwenda Morogoro wameishia kukwama eneo la Ngerengere kuanzia saa 11 jioni na hadi sasa saa 4 usiku huu hakuna taarifa yoyote rasmi kusema wataondoka saa ngapi. Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaid
Serikalini hakuna uwajibikaji....nobody cares....ngoja tuone!kama kichwa cha habari kinavyosema,
tunasubili mrejesho tuendelee na safari..
Ni saa la pili sasa inasemekana Kuna marekebisho mbele huko.View attachment 3091869
=====
UPDATES: 2200HRS
======
TRC: Hii Treni haijakwama bali ilikua ikisubiria kupishana na treni nyingine. Abiria walitangaziwa.
UPDATES 2
crowntvtzBreaking: Abiria wa treni ya umeme (SGR) ambao walikuwa wanasafiri kutoka Dar es salaam kwenda Morogoro wameishia kukwama eneo la Ngerengere kuanzia saa 11 jioni na hadi sasa saa 4 usiku huu hakuna taarifa yoyote rasmi kusema wataondoka saa ngapi. Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi.
View attachment 3091950
Mkuu hii comment yako imenifanya niwahi pale youtube kucheki stream ya kipindi. Kwa aina ile ya majibu na yule ndo mkuu. Hii nchi labda itokee zali la mentali.Kadogosa yupo ITV anapinga kauli hizi. Anasema wanaotoa taarifa hizo ndipo walipofikia ulewa wao.
.Yupo anabisha kila swali analouliza
Si ndo hapo sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂Tanzania na treni ya umeme wapi na wapi!
SGR Train ya kijinga sana
Hii mbona ishaletwa zamani?Muda huu Kuna Watanzania wenzetu walioondoka Dar saa 10 jioni na treni ya SGR wamekwama maeneo fulani mkoa wa Morogoro.
Kwa muda wote huo abiria wamefungiwa ndani ya mabehewa, hawaruhusiwi kutoka nje. Hali ni mbaya sana watu wazima ma watoto wanateseka na joto plus njaa.
Lakini wahudumu wanagoma kufungua mipango kwa lengo la kuzuia taarifa za kuowama kwa treni hiyo kusambaa.