Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Hili la Sgr ni la muda gani? Mpaka ukamue wananchi? Kwani deni la taifa lazima ulipe kupitia nauli za wananchi? Huwezi kuuza dhahabu na kulipa?
Huna akili. Hiyo serikali yako inachimba Dhahabu wapi? Unajua hata TZ inazalisha kiasi gani Cha Dhahabu kwa mwaka? Unajua bei za uzalishaji na bei ya Dhahabu sokoni?