Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Wewe ni pumba.Pole mkuu,but Dhamira ya kuleta huu uzi tafadhali,au una'report tu ili na sisi tufahamu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni pumba.Pole mkuu,but Dhamira ya kuleta huu uzi tafadhali,au una'report tu ili na sisi tufahamu..
Kabla hujaandika ujinga kama ulioandika awali pamoja na huu ungefikiria kwanza.Usinipangie cha kuandika kama treni linawachelewesha mabasi yapo we kama una jambo lako kesho Dodoma basi leo mapema tu panda kimbinyiko unafika leo hii kesho mapema unafanya mishe zako
Kabisa yani watu wamelipia na wanaruhusu muda wao kuchezewa ila wanashindwa kuwawajibisha wahusika.1. Yaani uko eneo la tukio hujui kwanini mmekwama?...Watanzania tuna akili kweli?
Mmeshindwa kukiwasha?
2. Serikali ya Tanzania haiwezi biashara wala huduma, nchi hii yafaa wasimamizi wakodishwe hadi wabunge
Mimi ni mmoja wa Wasafiri wa Treni ya SGR, nilikata tiketi ya kuondoka asubuhi ya Saa 12:00 leo Januari 8, 2025 lakini ulipofika muda huo safari ikasogezwa mbele kwa nusu saa.
Safari yangu ni kuelekea Dodoma, matarajia ya kuwasili yalikuwa Saa 3:30 asubuhi baada ya hapo ilikuwa nielekee kwenye kikao sehemu fulani ambacho kilipangwa kuanza Saan ne kamili asubuhi.
Safari ilianza vizuri tu na kwa mwendo wa kasi, ilipofika maeneo fulani ambayo siyakumbuki kasi ikaanza kupungua.
Tulipofika Morogoro tukasimama hapo muda mrefu, hadi muda huu saa tano bado tupo Morogoro na hatujui nini kinaendelea.
Safari iliyotarajiwa kufikia tamati saa tatu na nusu, hadi sasa nis aa tano bado tupo Morogoro.
"Kuweni na subira vichwa vya dizeli vipo njiani vinakuja kumaliza tatizo la treni ya umeme, na kwa hili nipende kumshukuru mama" in kadogosa voiceMimi ni mmoja wa Wasafiri wa Treni ya SGR, nilikata tiketi ya kuondoka asubuhi ya Saa 12:00 leo Januari 8, 2025 lakini ulipofika muda huo safari ikasogezwa mbele kwa nusu saa.
Safari yangu ni kuelekea Dodoma, matarajia ya kuwasili yalikuwa Saa 3:30 asubuhi baada ya hapo ilikuwa nielekee kwenye kikao sehemu fulani ambacho kilipangwa kuanza Saan ne kamili asubuhi.
Safari ilianza vizuri tu na kwa mwendo wa kasi, ilipofika maeneo fulani ambayo siyakumbuki kasi ikaanza kupungua.
Tulipofika Morogoro tukasimama hapo muda mrefu, hadi muda huu saa tano bado tupo Morogoro na hatujui nini kinaendelea.
Safari iliyotarajiwa kufikia tamati saa tatu na nusu, hadi sasa nis aa tano bado tupo Morogoro.
Kadogosa yupo busy huko kijijini kwao akimuandalia misa za kumuimbea mama abdul na kumshukuru kwa maendeleoSiyo Kwa Mabaya Lakini Mazuri
Mzilankende Angeshamfyatua Kungu Kadogosa Zamani Sana
Mmeondoka?Mimi ni mmoja wa Wasafiri wa Treni ya SGR, nilikata tiketi ya kuondoka asubuhi ya Saa 12:00 leo Januari 8, 2025 lakini ulipofika muda huo safari ikasogezwa mbele kwa nusu saa.
Safari yangu ni kuelekea Dodoma, matarajia ya kuwasili yalikuwa Saa 3:30 asubuhi baada ya hapo ilikuwa nielekee kwenye kikao sehemu fulani ambacho kilipangwa kuanza Saan ne kamili asubuhi.
Safari ilianza vizuri tu na kwa mwendo wa kasi, ilipofika maeneo fulani ambayo siyakumbuki kasi ikaanza kupungua.
Tulipofika Morogoro tukasimama hapo muda mrefu, hadi muda huu saa tano bado tupo Morogoro na hatujui nini kinaendelea.
Safari iliyotarajiwa kufikia tamati saa tatu na nusu, hadi sasa nis aa tano bado tupo Morogoro.
Atupe Mrejesho ChapMmeondoka?
😄😃😃😃😃😃Ukizingatia awaruhusu msosi, mchana itawakuta hapohapo.
Ndio maana mimi huwa napanda na vitumbua vyangu nakula sina habari na mtu.
Tumpelekee dinnerAtupe Mrejesho Chap
SahihiTumpelekee dinner
Waliopo Dodoma watupe taarifa vizuri. Kwa tetesi ni kwamba, wale abiria wa ile treni inayotoka Dom - Dar Mapema asubuhi Kila siku (ambayo Leo pia ilichelewa sana) wamepanda treni Marshalling na sio kule kituo Cha Samia.
Kule ndio kulikotokea hitilafu
Anyway, 🤐🤐🤐🤐🤐