Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Sikuwa safarini mkuu, nilikuwa eneo lililotokea tatizo ikaleta adha hii ya safari kukwama!Bado haujafika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwa safarini mkuu, nilikuwa eneo lililotokea tatizo ikaleta adha hii ya safari kukwama!Bado haujafika.
Bado hamjasema🤣🤣🤣🤣🤣"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Kwanini ?Wewe ni pumba.
Imeondoka?Sikuwa safarini mkuu, nilikuwa eneo lililotokea tatizo ikaleta adha hii ya safari kukwama!
Mjinga baba akoKabla hujaandika ujinga kama ulioandika awali pamoja na huu ungefikiria kwanza.
Kwa hiyo wewe ulitaka iwe siri au ni miongoni mwao?Kwaiyo wewe ni reporter au msafiri?
Miongoni mwa kina nani?Kwa hiyo wewe ulitaka iwe siri au ni miongoni mwao?
Sgr imeZidi nje huko hazitokei kwa kujirudia matatizo...Hitilafu za kiufundi hata USA zipo.
Ila treni yenu imezidi tofauti na Mabasi.
Wanaotaka kuzileta tren za diesel!mtu kina nani?
Inaonekana kuna kipande njia iba tatizo.wanawafikisha abiria hadi hapo halafu wanapanda bus kufika Dodoma. Wa Dodoma wanafikishwa hio sehemu kwa bus halafu wanapanda treni kuelekea Dar.Imeondoka?
SGR bado ipo kwenye majaribio itachukua muda kukaa sawa. Wame rush ilikuwa bado kukamilika kabisa. Nashukuru mara zote nilixopanda haikuwahi kuzingua.Sgr imeZidi nje huko hazitokei kwa kujirudia matatizo...
Ova
Hapo ndio mtapanda treni hadi Dar?Dah yani tuko gapa tulikuwa tuondoke toka saa 14:15 hadi sasa wanasema wanatupeleka Ihumwa kwa mabasi.
Nauli ya kupanda bus hapo hadi Dodoma wanawapa?Inaonekana kuna kipande njia iba tatizo.wanawafikisha abiria hadi hapo halafu wanapanda bus kufika Dodoma. Wa Dodoma wanafikishwa hio sehemu kwa bus halafu wanapanda treni kuelekea Dar.
Tusubiri taarifa ya TRC.
Ndio kwasababu safari yake haikuwa na tatizo lolote.Hivi balozi wa US s alisema kuwa SGR ya Tanzania ni bora kuliko zile alizopanda za mabara manne tofauti.?
Trc ndio wana arrange. Sio Dar-Dom kuna kipande kifupiNauli ya kupanda bus hapo hadi Dodoma wanawapa?