Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
Japo nipo mbali na dodoma.. lakini malalamiko kuelea hii SGR ni mengi sana... sasa sijajua tatzo ni nini?Ndio kwasababu safari yake haikuwa na tatizo lolote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo nipo mbali na dodoma.. lakini malalamiko kuelea hii SGR ni mengi sana... sasa sijajua tatzo ni nini?Ndio kwasababu safari yake haikuwa na tatizo lolote.
Amekuambia yeye ni msafiri umemaind ye kutoa taarifa ya ubovu wa vichwa chakavu mlivyonunua eehKwaiyo wewe ni reporter au msafiri?
Mimi ni mmoja wa Wasafiri wa Treni ya SGR, nilikata tiketi ya kuondoka asubuhi ya Saa 12:00 leo Januari 8, 2025 lakini ulipofika muda huo safari ikasogezwa mbele kwa nusu saa.
Safari yangu ni kuelekea Dodoma, matarajia ya kuwasili yalikuwa Saa 3:30 asubuhi baada ya hapo ilikuwa nielekee kwenye kikao sehemu fulani ambacho kilipangwa kuanza Saan ne kamili asubuhi.
Safari ilianza vizuri tu na kwa mwendo wa kasi, ilipofika maeneo fulani ambayo siyakumbuki kasi ikaanza kupungua.
Tulipofika Morogoro tukasimama hapo muda mrefu, hadi muda huu saa tano bado tupo Morogoro na hatujui nini kinaendelea.
Safari iliyotarajiwa kufikia tamati saa tatu na nusu, hadi sasa nis aa tano bado tupo Morogoro.
===============
UPDATES...
IMESIMAMA TENA KABLA YA KUFIKA DODOMA
Ilipofika Saa tano na dakika 40 flani hivi Treni ikawashwa tukaendelea na safari, muda wa saa saba na nusu Mchana kabla ya kufika Dodoma, mzigo umezima tena, hatujajua hapa ni wapi ila ndio tunasikilizia kujua nini kinaendelea.
Abiria wote tumeambiwa tushuke kwenye Treni, hatujui nini kinachoendelea.
Imagine niliamka saa tisa ili niwahi Treni ya Saa kumi na mbili na saa tatu na nusu niwe nimefika, mpaka sasa saa saba na nusu mchana hatujafika Dodoma, si bora ningepanda basi nijue moja.
TUNASHUKA, TUNAPANDISHWA KWENYE MABASI
Abiria wote baada ya kuambiwa tushuke, tumeambiwa kuna mabasi ambayo yanakuja kutuchukua hapa tulipo kutupeleka Dodoma Mjini kwa kuwa inaonekana kuna kama Kilometa zaidi ya 20 kabla ya kufika Dodoma.
Mmmh kuna faida inapatikana hapo kweli??Inaonekana kuna kipande njia iba tatizo.wanawafikisha abiria hadi hapo halafu wanapanda bus kufika Dodoma. Wa Dodoma wanafikishwa hio sehemu kwa bus halafu wanapanda treni kuelekea Dar.
Tusubiri taarifa ya TRC.
Mtafika kesho.kesho nayo ni sikuDah yani tuko gapa tulikuwa tuondoke toka saa 14:15 hadi sasa wanasema wanatupeleka Ihumwa kwa mabasi.
Kweli kichwa chako kitakuwa chakavu hebu onyesha hapo mahali nilipomindAmekuambia yeye ni msafiri umemaind ye kutoa taarifa ya ubovu wa vichwa chakavu mlivyonunua eeh
Hizo ni changamoto ndogo ndogo zitaisha tu.Mimi ni mmoja wa Wasafiri wa Treni ya SGR, nilikata tiketi ya kuondoka asubuhi ya Saa 12:00 leo Januari 8, 2025 lakini ulipofika muda huo safari ikasogezwa mbele kwa nusu saa.
Safari yangu ni kuelekea Dodoma, matarajia ya kuwasili yalikuwa Saa 3:30 asubuhi baada ya hapo ilikuwa nielekee kwenye kikao sehemu fulani ambacho kilipangwa kuanza Saan ne kamili asubuhi.
Safari ilianza vizuri tu na kwa mwendo wa kasi, ilipofika maeneo fulani ambayo siyakumbuki kasi ikaanza kupungua.
Tulipofika Morogoro tukasimama hapo muda mrefu, hadi muda huu saa tano bado tupo Morogoro na hatujui nini kinaendelea.
Safari iliyotarajiwa kufikia tamati saa tatu na nusu, hadi sasa nis aa tano bado tupo Morogoro.
===============
UPDATES...
IMESIMAMA TENA KABLA YA KUFIKA DODOMA
Ilipofika Saa tano na dakika 40 flani hivi Treni ikawashwa tukaendelea na safari, muda wa saa saba na nusu Mchana kabla ya kufika Dodoma, mzigo umezima tena, hatujajua hapa ni wapi ila ndio tunasikilizia kujua nini kinaendelea.
Abiria wote tumeambiwa tushuke kwenye Treni, hatujui nini kinachoendelea.
Imagine niliamka saa tisa ili niwahi Treni ya Saa kumi na mbili na saa tatu na nusu niwe nimefika, mpaka sasa saa saba na nusu mchana hatujafika Dodoma, si bora ningepanda basi nijue moja.
TUNASHUKA, TUNAPANDISHWA KWENYE MABASI
Abiria wote baada ya kuambiwa tushuke, tumeambiwa kuna mabasi ambayo yanakuja kutuchukua hapa tulipo kutupeleka Dodoma Mjini kwa kuwa inaonekana kuna kama Kilometa zaidi ya 20 kabla ya kufika Dodoma.
Ni aibu kubwa sana hiiHizo ni changamoto ndogo ndogo zitaisha tu.
Kwa mshamba kama wewe kweli nakubali ni aibu.Ni aibu kubwa sana hii
Mnatetea ujinga wa mchanaKwa mshamba kama wewe kweli nakubali ni aibu.
Too pathetic quotation."Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.