Treni ya umeme naona imeanza kazi

Treni ya umeme naona imeanza kazi

TRC wamechoka kutoa ufafanuzi ndio maana sasa wapo kimya
Mawaziri pia
Wizara pia na washika dau wengine wote! Maana kila walipojaribu kufafanua hii kadhia ya mabehewa na treni ya umeme fafanuzi zao zilipishana ama ziligongana ama zilijichanganya na kuchanganyikiwa kabisa kuanzia
Aina
Bei
Mwonekano
Idadi
Upya
Uchakavu
Yalikotengenezwa
Yalikonunuliwa nknk
CC Pascal Mayalla
 
TRC wamechoka kutoa ufafanuzi ndio maana sasa wapo kimya
Mawaziri pia
Wizara pia na washika dau wengine wote! Maana kila walipojaribu kufafanua hii kadhia ya mabehewa na treni ya umeme fafanuzi zao zilipishana ama ziligongana ama zilijichanganya na kuchanganyikiwa kabisa kuanzia
Aina
Bei
Mwonekano
Idadi
Upya
Uchakavu
Yalikotengenezwa
Yalikonunuliwa nknk
Wamekanyagana mpaka wameamua kukaa kimya.
 
Sahivi viongozi ndo wataanza kuona kwamba wananchi washawazoea na wanawaona magumashi tu kwenye kila kitu, And trust me watabadilika tu, hamna kitu kinauma kama ugundue watu washakujua michezo yako ila wanakutazama tu ufanye unavyojisikia ila still wakawa wanakuponda ki-design fulani.... Utandawazi umekuja kuwa njia ya kuumbua haya yote imagine watu wana-share upuuzi wako hadi majirani na wasio majirani wanaona😁😁😁
 
Walamba asali wakijua sehemu lilipotelekezwa hili wanaweza kwenda kuliokota walikarabati ili mradi lina sura iliyochongoka mbele
FB_IMG_1670667863482.jpg
 
Kama tumeamua kujenga reli mpya tena ya kisasa, Kama tumeamua hata kukopa kwa lengo hilo na ujenzi wenye gharama kiasi hicho na baadae turudishe mkopo kwa kodi zetu, Kwa nini tunasita kununua mabehewa na injini zenye kasi? .... Kwa ukubwa wa Tanzania tulipaswa kuwa na treni inayosafiri kati ya Dar es salaam na Kigoma/Mwanza kwa masaa manne tu, Hivi tunakwama wapi??.
Hawa wenzetu wanawezaje kujipanga na kupata mafanikio... Sisi tuna mikosi gani?? 😳

 
Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...

Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...

MAMA ANAUPIGA MWINGI.

View attachment 2442562
Na yana mwendo si wa kawaida, ni vicheko tu kwa furaha waliyonayo!
 
Back
Top Bottom