Treni ya umeme naona imeanza kazi

Treni ya umeme naona imeanza kazi

Tatizo bei za nauli walizopropose TRC ni mara mbili ya mabasi...Latra wawaokoe maana zikipita hizo bei hiyo Reli itakufa kabla haijaanza labda waforce kuwaondoa mabasi kama mwendo kasi.
Hata baada ya kufufua meli na vivuko nauli zimekuwa mara 2 ya basi lkn hizo meli na vivuko vinajaa kuliko kawaida, mwanzoni tulidhani meli zitakosa wateja lkn kumbe mweeee.Nauli hata kama ni mara 3 ya basi siwezi kupanda basi
 
Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...

Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...

MAMA ANAUPIGA MWINGI.

View attachment 2442562
Nchi yenye tatizo kubwa la umeme inwezaje kuwa na treni za umeme?
 
Hata baada ya kufufua meli na vivuko nauli zimekuwa mara 2 ya basi lkn hizo meli na vivuko vinajaa kuliko kawaida, mwanzoni tulidhani meli zitakosa wateja lkn kumbe mweeee.Nauli hata kama ni mara 3 ya basi siwezi kupanda basi
Sawa umeongea point sana maana tusipopanda vivuko tutapiga mbizi kuongezea tu meli mfano kutoka Mwanza kwenda Bukoba ni nafuu mara nyingi kuliko bus hivyo hivyo kwa treni kutoka Dar kwenda Kigoma.
 
Tunawabaniwa kupunguziwa kodi mnapata laana ya kuuziwa vitu chakavu...punguzeni kodi za magari Watanzania wanajiweza kununua magari bora ya miaka ya karibuni wajisafirishe wenyewe kuliko hizo Mali chakavu mnazoleta kila kukicha na maelezo juu...
 
Yesu tuokowe baba[emoji2299][emoji2299][emoji2299]

Hili taifa linahitaji maombi makali sana kama hii ndo tren ya umeme basi tumekwisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii video imenifanya nicheke sana na nisikitike pia

Watz wakicheka na kuzomea walivyoiona hiyo tren inayodaiwa ni ya umeme

Tuweni serious hii ndo tren ya umeme ya trilioni 20 kweli?
 
Hivi nyie watu mna nini? mlitaka hayo mabehewa yapelekwe sehemu husika kwa kutumia matoroli ama?.
 
TRC wamechoka kutoa ufafanuzi ndio maana sasa wapo kimya
Mawaziri pia
Wizara pia na washika dau wengine wote! Maana kila walipojaribu kufafanua hii kadhia ya mabehewa na treni ya umeme fafanuzi zao zilipishana ama ziligongana ama zilijichanganya na kuchanganyikiwa kabisa kuanzia
Aina
Bei
Mwonekano
Idadi
Upya
Uchakavu
Yalikotengenezwa
Yalikonunuliwa nknk
 
Back
Top Bottom