Treni ya umeme naona imeanza kazi

Treni ya umeme naona imeanza kazi

Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...

Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...

MAMA ANAUPIGA MWINGI.

View attachment 2442562
Inasikitisha sana. Sasa kulikuwa na haja gani ya kuteketeza matrillion wakati tulikuwa na reli ya kati na tazara.

Dah nigger so saaaaddd!
 
Mabehewa ya mjusi si matako kila mtu anayo,kuweni wavumilivu hata mbuyu huwanza kama mchicha
 
Hebu tuwe serious kidogo,hivi hii treni ina chanzo chake cha umeme?au ni huu wa Kipara na Maharage🤣🤣.
Hii treni sitapanda maana Kuna siku kichwa cha Umeme kitayaacha aya mabewa na abiria Pugu alafu chenyewe kikatangulia Morogoro🤣🤣.
Wanzanzibara hapo tumepigwa aisee!
 
Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...

Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...

MAMA ANAUPIGA MWINGI.

View attachment 2442562
Hayo sio ya umeme wamewaletea wachaga kwa ajili ya mwezi huu wa 12
 
Walikuwa wanayasogeza hayo mabehewa mapya kutoka kule bandarini...

Behewa za SGR zinaweza kuvutwa na kichwa hata cha Diesel...
 
Back
Top Bottom