kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,965
Kuweni serious basi hii ni tren ya umeme? Mbona kama ile ya dar to mlimba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii TRC watatoa ufafanuzi mpaka wachoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuokota makopo kuna jalala jipya Msamvu.
Happ full. Huoni na mabehewa ya umeme full. Ndani 2*2 full AC full WiFi full USB full service cafeteria toilets sauna massage room.. Dar to Moro dk 60 yaani Mechi ya Morocco vs Frace haijaisha tushafika Msamvu.Subiri lianze safari kwanza tuone linavyotembea kichwa chá tren ndio hicho?
Haya kata tiketi tuwe wa kwanza kupandaHapp full. Huoni na mabehewa ya umeme full. Ndani 2*2 full AC full WiFi full USB full service cafeteria toilets sauna massage room.. Dar to Moro dk 60 yaani Mechi ya Morocco vs Frace haijaisha tushafika Msamvu.
Escape from SobiboHaya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
Zinapelekwa kituo cha kaziHizo behewa ni za meter gauge au standard gauge? Mbona zimatumika kwenye meter gauge?
Kwa kweli inachekeshaYaan nimecheka tusubiri ufafanuzi
Hii TRC watatoa ufafanuzi mpaka wachoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mwendo huu inaweza isifike hata hapo Buguruni, maana kama hii ni ya umeme kama zile tunazoziona kwenye video basi hii bila shaka itakuwa imeyaona mengi na inakaribia kuumaliza mwendoKuna kipande umeme ulikatika hapo katikati ya Soga na Moro ikabidi wawashe injini ya diesel ndiyo maana linajikongoja🤣🤣🤣
Likifika Buguruni litatumia umeme msiwaze
Nimeangalia hii video inachukua muda kugain top speed ila ni hili la kwenye video [emoji23]Naona ni kama inajikongoja au umeme hautoshi ?[emoji205]
Duh!Bei lazma iwe juu maana treni hii itakuwa inaendeshwa kwa diesel na SIO umeme kama wanavyojinasibu.
Dar to Dom ni 71kAisee!,kwa mwendo huo na nauli zilizopo zitapata wateja kweli?