Treni ya umeme naona imeanza kazi

Treni ya umeme naona imeanza kazi

Hivi tumemkosea nini mungu sisi watanzania? CCM na watu wake ni tatizo kubwa sana nchi hii kuliko chochte! Kiukweli inaumiza sana na hakuna chakufanya
 
Tatizo bei za nauli walizopropose TRC ni mara mbili ya mabasi...Latra wawaokoe maana zikipita hizo bei hiyo Reli itakufa kabla haijaanza labda waforce kuwaondoa mabasi kama mwendo kasi.
Huhuhuhu wajinga sana
 
Ina maana mabehewa SGR hata kwenye MGR yanapeta tu.

Hiyo siyo reli ya SGR ila mabehewa ndiyo yale ya 2B each.

Halafu nilifikiri miundombinu itakuwa rafiki hadi kwa wenye ulemavu.

Mwenye wheelchair anatoboa kweli kwa hizo ngazi za milango?
 
Hizo behewa ni za meter gauge au standard gauge? Mbona zimatumika kwenye meter gauge?
Screenshot_2022_1211_141209.jpg
 
Wangesema hivi mbona isingeleta shida Kama Sasa.Mambo yakishaingiliwa na siasa inakuwa shida Kwa kweli [emoji3]
 
Serikali bora ingeleta mabasi tu kama [emoji116] kuliko zile Train. Ziko very slow motion.

Nini maoni yako? Achana na pisi ya hapo pembeni [emoji3].
IMG_20221211_062440.jpg
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] zile bna ziko slow sana alafu tumepigwa pale.
 
Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...

Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...



View attachment 2442562
Kama ndio hiyo ni Treni ya Mwenda wa Kasi
MAMA ANAUPIGA MWINGI.Kazi iendelee........Lohhhhhh....... Wa-Tanzania mumewazidi hata Wa-Kenya kwa Treni yenu nzuri tena ya Mwendo waKasi....hongera sana.
 
Back
Top Bottom