Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Hii ipo kwenye njia ya zamani tangu IjumaaHaya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ipo kwenye njia ya zamani tangu IjumaaHaya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Hicho kichwa kinachovuta ni cha mgr na sio sgrWalikuwa wanayasogeza hayo mabehewa mapya kutoka kule bandarini...
Behewa za SGR zinaweza kuvutwa na kichwa hata cha Diesel...
Sawa...Sijui kusoma nisomee
Huhuhuhu wajinga sanaTatizo bei za nauli walizopropose TRC ni mara mbili ya mabasi...Latra wawaokoe maana zikipita hizo bei hiyo Reli itakufa kabla haijaanza labda waforce kuwaondoa mabasi kama mwendo kasi.
Hizo behewa ni za meter gauge au standard gauge? Mbona zimatumika kwenye meter gauge?
Wanajitetea eti zinaweza kupanuliwa
Hatari mkuu....!!Watu na bills za kulipa.
Kama ndio hiyo ni Treni ya Mwenda wa KasiHaya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
View attachment 2442562
Hii nchi bhana...Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
Umeme huu ni wa kichina hainasi watu, ng'ombe kwato zinamsevu.Watakufa wavuka kwa miguu wote na ng'ombe zao hapo Morogoro.