Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
CC Pascal MayallaTRC wamechoka kutoa ufafanuzi ndio maana sasa wapo kimya
Mawaziri pia
Wizara pia na washika dau wengine wote! Maana kila walipojaribu kufafanua hii kadhia ya mabehewa na treni ya umeme fafanuzi zao zilipishana ama ziligongana ama zilijichanganya na kuchanganyikiwa kabisa kuanzia
Aina
Bei
Mwonekano
Idadi
Upya
Uchakavu
Yalikotengenezwa
Yalikonunuliwa nknk
We utakuwa ndo muagizaji wa mabehewa..!!!mods peleka hii takataka kwenye jukwaa la uzushi
Wamekanyagana mpaka wameamua kukaa kimya.TRC wamechoka kutoa ufafanuzi ndio maana sasa wapo kimya
Mawaziri pia
Wizara pia na washika dau wengine wote! Maana kila walipojaribu kufafanua hii kadhia ya mabehewa na treni ya umeme fafanuzi zao zilipishana ama ziligongana ama zilijichanganya na kuchanganyikiwa kabisa kuanzia
Aina
Bei
Mwonekano
Idadi
Upya
Uchakavu
Yalikotengenezwa
Yalikonunuliwa nknk
Labda la mizigo siyo raia ??Tususeni tusipande😁😁😁😁
Hii TRC watatoa ufafanuzi mpaka wachoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Escort from Sobibor
Hahahahah kweli watu wamechokaWalamba asali wakijua sehemu lilipotelekezwa hili wanaweza kwenda kuliokota walikarabati ili mradi lina sura iliyochongoka mbeleView attachment 2443818
Hii treni kheeeeeeHaya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
Na yana mwendo si wa kawaida, ni vicheko tu kwa furaha waliyonayo!Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562