Treni ya Umeme yatumia dakika 114 Dar hadi Morogoro, Wananchi 600 wasafiri

Treni ya Umeme yatumia dakika 114 Dar hadi Morogoro, Wananchi 600 wasafiri

Hizo za 300km/hr hazipiti maporini kwenye mbunga. Zinapita kwenye mega cities kuunganisha hubs, na zina miundombinu ya bei mbaya. Kwanza ni ama ziwe kwa ndani au zijengewe reli ya daraja. Sasa imagine ujenge reli ya juu kuanzia City Center mpaka Dodoma. Kwa bajeti ipi
Noted and agreed!
 
Kuna treni za umeme aina nyingi. Ukitaka ya km 200/hr zipo, ukitaka km 300/hr zipo. Sisi ni Km 150/hr hadi 180km/hr. Sababu ni aina ya treni tulizo oda ni za KM chini ya 200, pia dizaini ya Miundombinu kwenye reli ni ya Km 200 tu. Tukitaka km 200 hadi 300 inawezekana kwa kuoda bullet treni kutoka Ulaya, China au Japan, pia kubadili Vitu vichache kwenye miundimbinu ya reli.
noted
 
Njia ya Treni na bus ni tofauti. Kwa Barabara toka Dar hadi Morogoro (Msamvu) ni Km 200(194). Kwa njia ya Treni Dar hadi Morogoro ni Km 300. Treni hukwepa sana miinuko ndio maana njia yake ni ni fupi.
Mbona km umepiga hovyo hesabu?
Njia ya treni 300km na bas 200km ipi fupi!?
 
Pongezi kwa mama tu.
kwenda zako mama ana vision gani? hii ni vision za magufuli na aliyekua waziri wake wa fedha ndio huyo sasa makamu wa rais . Mtu mwenye akili kuruhusu watendaji wa umma wale kwa refu wa kamba zao nini cha umma anaweza kufanikisha zaidi ya kupeleka mablioni ya umma mikoani yakaliwe na watendaji fisadi.
 
Asante Mwenyezi Mungu Kwa Kutuletea kiumbe JPM Tanzania na kumpa maono yale uliyompa na yeye akakutii na kutekeleza japo sio yote.

RIP JPM.

Hongera Watanzania woote Kwa kulipa Kodi.
Huyu marehemu japo alikua na madhaifu yake ila alikua mtu mwenye maono sana.
Hili taifa lingezidi kupiga hatua kama angekua bado yuhai.
 
Back
Top Bottom