Noted and agreed!Hizo za 300km/hr hazipiti maporini kwenye mbunga. Zinapita kwenye mega cities kuunganisha hubs, na zina miundombinu ya bei mbaya. Kwanza ni ama ziwe kwa ndani au zijengewe reli ya daraja. Sasa imagine ujenge reli ya juu kuanzia City Center mpaka Dodoma. Kwa bajeti ipi