Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
2HRSSafari ilianza Saa 12:01 na kufika Morogoro Saa 1:55
Hongera Rais Samia
Hongera Dr Mpango
RIP Shujaa Magufuli
Credit; Mwananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2HRSSafari ilianza Saa 12:01 na kufika Morogoro Saa 1:55
Hongera Rais Samia
Hongera Dr Mpango
RIP Shujaa Magufuli
Credit; Mwananchi
Du safi sana, shukranMbili asubuhi mbili jioni.
Ingia website yao ambako ticket zinakatwa huko huko wameweka na muda wa safari.
Kina abood lazima waanze hujuma mkuuAbiria 600 sawa na basi 10..utawala wa wale waarabu wa pale Morogoro unaenda kwisha..na ndio maana huu mradi ulikuwa unapigwa sana vita
Watarusha sana majiniKina abood lazima waanze hujuma mkuu
Watakuwa wanawatumia wafanyakazi wa shirika
Bro miundombinu ya kujenga reli ya speed ya 300km/hr unayo!?Mradi ni mzuri ila wananchi tumepigwa. Huo ni mwendo wa kinyonga, kwani zile treni za China hawazioni? Dude linaenda kilomita 301 kwa saa.
jografia ya china na tanzania ni mbingu na aridhi nduguMradi ni mzuri ila wananchi tumepigwa. Huo ni mwendo wa kinyonga, kwani zile treni za China hawazioni? Dude linaenda kilomita 301 kwa saa.
Bro miundombinu ya kujenga reli ya speed ya 300km/hr unayo!?
Hatujapigwa bali tumejenga kinachoendana na sisi.
Miundombinu yetu inaruhusu speed mwisho ya 220km/hr.Ni sahihi usemavyo ila angalau wangeleta treni hadhi ya mradi husika.
Weka na gharama za manunuzi mpaka ilipofikia kuanza safari.Kwa nauli ya Tsh 13,000/= kwa kichwa, watu 600 inamaanisha wamepata Tsh Mil 7.8 kwa kwenda tu.
Kadogosa: Tumetumia umeme wa 336,000 kwenda na kurudi Dar - Morogoro
Kwa kusikiliza hii kauli, walitumia umeme wa Tsh Laki 3.5 kwenda na kurudi Dar to Moro. Tuweke factors zote, tu-assume watumie wa Laki 4 kwenda tu, inamaana Mil 7.4 faida.
Toa gharama zote za service, sijui itazidi Tsh ngapi ila najua kwakua chuma mpya haina matumizi makubwa kwenye service, na toa posho ya wafanyakazi.
Inamaana chuma inaingiza zaidi ya Mil 5 kwa safari.
Tusubiri waseme wanaendesha kwa hasara.
Wewe punguani kweli na hii ni matokea ya ushamba na kutosafiri.Vision ya Magufuli kweli tunahitaji rais mwingine mwenye vision ya Hali ya juu kuhusu Nchi.
Hasira za nini? 😂Wewe punguani kweli na hii ni matokea ya ushamba na kutosafiri.
Yaani kujenga Sgr sijui madaraja ndio visio? Unajua maana ya vision kweli wewe msukule wa Mwendazake?
Abiria 600 sawa na basi 10..utawala wa wale waarabu wa pale Morogoro unaenda kwisha..na ndio maana huu mradi ulikuwa unapigwa sana vita
Kwa treni kilometa zinazidi bwasheeKm 194
Ulianza vizuri ila kipengele hiki mwisho hukumaliza vizuri, soma kwa makini utajua umekosea wapiTreni hukwepa sana miinuko ndio maana njia yake ni ni fupi.
Badala tushukuru wananchi wetu aseeSafari ilianza Saa 12:01 na kufika Morogoro Saa 1:55
Hongera Rais Samia
Hongera Dr Mpango
RIP Shujaa Magufuli
Credit; Mwananchi
Nina uhakika hao ni WAGALATIA
Nauli zipo juu snKwa bus ni bei gab huwa??