Noted and agreed!Hizo za 300km/hr hazipiti maporini kwenye mbunga. Zinapita kwenye mega cities kuunganisha hubs, na zina miundombinu ya bei mbaya. Kwanza ni ama ziwe kwa ndani au zijengewe reli ya daraja. Sasa imagine ujenge reli ya juu kuanzia City Center mpaka Dodoma. Kwa bajeti ipi
notedKuna treni za umeme aina nyingi. Ukitaka ya km 200/hr zipo, ukitaka km 300/hr zipo. Sisi ni Km 150/hr hadi 180km/hr. Sababu ni aina ya treni tulizo oda ni za KM chini ya 200, pia dizaini ya Miundombinu kwenye reli ni ya Km 200 tu. Tukitaka km 200 hadi 300 inawezekana kwa kuoda bullet treni kutoka Ulaya, China au Japan, pia kubadili Vitu vichache kwenye miundimbinu ya reli.
Hapa alizingua jamaa yetu Lissu ila nna uhakika lissu anatakiwa kuangaliwa kiwango chake cha Akili kama bado kiko sawa baada ya lile shambulio la Risasi.Lisu : mradi wa SGR ni wa hovyo ni wa Magufuli na familia yake , hauna faida kwa taifa.
Bas 13,000.10,000
Hizi ni kampeni jomba sisi sio vichwa panziSafari ilianza Saa 12:01 na kufika Morogoro Saa 1:55
Hongera Rais Samia
Hongera Dr Mpango
RIP Shujaa Magufuli
Credit; Mwananchi
Huu ni ukweli wengi hawataki kuusikiaHapa alizingua jamaa yetu Lissu ila nna uhakika lissu anatakiwa kuangaliwa kiwango chake cha Akili kama bado kiko sawa baada ya lile shambulio la Risasi.
Hizo ni za bas za njia ya reli ni km 220+.Km 194
Mbona km umepiga hovyo hesabu?Njia ya Treni na bus ni tofauti. Kwa Barabara toka Dar hadi Morogoro (Msamvu) ni Km 200(194). Kwa njia ya Treni Dar hadi Morogoro ni Km 300. Treni hukwepa sana miinuko ndio maana njia yake ni ni fupi.
kwenda zako mama ana vision gani? hii ni vision za magufuli na aliyekua waziri wake wa fedha ndio huyo sasa makamu wa rais . Mtu mwenye akili kuruhusu watendaji wa umma wale kwa refu wa kamba zao nini cha umma anaweza kufanikisha zaidi ya kupeleka mablioni ya umma mikoani yakaliwe na watendaji fisadi.Pongezi kwa mama tu.
Masaa mangapi to moro from dar kwa bus?Bas 13,000.
Hakuna bas la 10,000 sasa hivi kwenda Morogoro hakuna.
Masaa 5 ama 6 kasoro.Masaa mangapi to moro from dar kwa bus?
Huyu marehemu japo alikua na madhaifu yake ila alikua mtu mwenye maono sana.Asante Mwenyezi Mungu Kwa Kutuletea kiumbe JPM Tanzania na kumpa maono yale uliyompa na yeye akakutii na kutekeleza japo sio yote.
RIP JPM.
Hongera Watanzania woote Kwa kulipa Kodi.
Ha ha...ndefu
13000Kwa bus ni bei gab huwa??
Sawa mkuu tunaeza kujua itapiga trip ngapi kwa siku Dar to Moro mji kasoro bahari makao ya Mbaraka Mwinshehe soloist National ?Hizo ni za bas za njia ya reli ni km 220+.
Maana Treni itasimamia Mkundi sio Msamvu ambapo ndio hizo 194kms.
Mbili asubuhi mbili jioni.Sawa mkuu tunaeza kujua itapiga trip ngapi kwa siku Dar to Moro mji kasoro bahari makao ya Mbaraka Mwinshehe soloist National ?