Treni ya Umeme yatumia dakika 114 Dar hadi Morogoro, Wananchi 600 wasafiri

ii ndiyo Tanzania yetu siku zijazo uenda tukaifulaia nchi yetu
 
Bado gharama za mizigo
 
Mbona ratiba imekaa kiduwanzi hivyo tuliambiwa tutakuwa tunaishi Dodoma na kufanya kazi Dodoma au Kuishi Dar kufanya kazi Dodoma Siasa ni ushatani
 
Pongezi kwa mama tu.
Ajabu gani hii? Huu uchawa wa nchi hii utatuweka pabaya. Anayestahili pongezi ni dereva wa hii treni ya umeme ambaye ameweka rekodi yake ya kwanza kwa kuendesha treni ya umeme kwa kasi ya kilometer 155 kwa saa, siamini kuwa hiyo treni imeendeshwa na samia siku ya leo. 🤔
 
Weka na gharama za manunuzi mpaka ilipofikia kuanza safari.

Haupigi hesabu ya mradi kwa gharama za kuuendesha safai moja tu.

Weka na hesabu ya Watanzaniawajinga walichoharibu na kuvunja katika hiyo safari.
Enh ushazeeka na meno huna eti
 



Treni imetumie pesa nyingi . Serikali msipoteze muda kila siku kupandisha watu wa PR na machawa kwenye treni hii ni biashara na wekezaji tayari ni mkubwa
 
Duh.. wajukuu wa Taqiyya hawa... hata ukitumia bodaboda hutumii masaa mengi kihivyo
We jamaa mbona unapendaga ubishani wa kitoto!?
Dar to Moro 194kms.
Gari inaruhusiwa kutembea speed ya 60km/hr hujajumlisha foleni pia hujajumlisha kusimama vituo vidogo kama Mlandizi,Chalinze,Kingolwira,Mikese.
Una ubishani wa kipumbavu sana.
Kwa bas Dar mpaka Moro ni masaa 5 ama 6 kasoro.
 
tulihitaji treni ya 300km/hr, hapo ndipo tungelikuwa tumefanya jambo la maana sana, ila always upeo wetu ni mdogo sana
 
Abiria 600 sawa na basi 10..utawala wa wale waarabu wa pale Morogoro unaenda kwisha..na ndio maana huu mradi ulikuwa unapigwa sana vita

Mkuu Hao waarabu wana hela za kutosha hawendi kuyamba kabisa, hivi sasa tayari wameshabuni miradi mengie ya ku replace huyi biashara
 

Huyo unaemwita mwenye akili alikuwa anajilia yeye tu na genge lake
 
Kwa hili la hii reli ya SGR hakika Serikali inahitaji PONGEZI, cha msingi sasa iwepo MANAGEMENT iliyo bora na thabiti ili MRADI huu ulete TIJA iliyokusudiwa..naamini wapo Watanzania wanaoweza kusimamia MRADI huu vizuri kabisa ILA ikishindikana sio vibaya tukaangalia hata nje

Ngoja sasa mwisho wa Mwezi huu, niwahi Ruvu chap, nikapate hata ekari 20, najua SOGA nimeshachelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…