Uchaguzi 2020 TRIANGLE ATTACK: Lazaro Nyalandu atikisa Singida Kaskazini, ni kama anasubiri kuapishwa tu

Uchaguzi 2020 TRIANGLE ATTACK: Lazaro Nyalandu atikisa Singida Kaskazini, ni kama anasubiri kuapishwa tu

Hiyo siyo habari tena...swali langu ni vipi elimu ya Lema na Sugu...

Wewe kweli ni Zero-brain!
Unazungumzia elimu ya Sugu na Lema nami nimekujibu tena kwa Ushahidi kuhusu elimu ya Wabunge wa CCM....!!!! Usichoelewa nn?
 
Wewe kweli ni Zero-brain!
Unazungumzia elimu ya Sugu na Lema nami nimekujibu tena kwa Ushahidi kuhusu elimu ya Wabunge wa CCM....!!!! Usichoelewa nn?
Hilo la Zero brain umedhihirisha uanaChadema wako...maana ukitaka kujua huyu ni mtu wa upande wewe check lugha yake...Chadema wengi au wote hawajui lugha ya mjadala...wengi utawasikia wewe ni zero braini..wewe hujitambui...wewe hujasoma...wewe ni masikini...wewe ni mjinga na kadhalika...yaani wao ni uanaharakatiwa lugha za udhalilishaji, matusi kejeli na kadhalika..
 
Ighondu ndo alimuua Dk Mvungi, eti wamewatoa kafara wale vijana

Uko sahihi kabsaaa!
MAUAJI YA DR. MVUNGI YALIHUSISHWA NA MSIMAMO WAKE THABITI KUHUSU KATIBA MPYA WAKTI WA BUNGE LA KATIBA....Kwa lugha nyingine mauaji ya Dr. Mvungi yalikuwa ya Kisiasa yaliyotekelezwa na Wahafidhina wa CCM....!!!
 
Hilo la Zero brain umedhihirisha uanaChadema wako...maana ukitaka kujua huyu ni mtu wa upande wewe check lugha yake...Chadema wengi au wote hawajui lugha ya mjadala...wengi utawasikia wewe ni zero braini..wewe hujitambui...wewe hujasoma...wewe ni masikini...wewe ni mjinga na kadhalika...yaani wao ni uanaharakatiwa lugha za udhalilishaji, matusi kejeli na kadhalika..

Niambie maneno haya na Nani aliyeyatamka:

"......Wale wanaoishi Kama Malaika ntawashusha chini waishi kama Mashetani....!!
Tawala zilizopita mtu mwene pesa alikuwa na uwezo wa kufanya lolote.....!Kwenye Utawala wangu mtu mwenye Fedha anaweza kufanywa lolote!
Watumishi wa Umma sitawaongezea MISHAHARA mpaka nimelize Kujenga SGR, Stieglers Gorge, Flyover etc....!
Wewe Mkurugenzi ulipokuwa Marekani ndiyo ulikuwa unasomea upumbavu huu....!!!
Mimi Sitaki kushauriwa na mtu ukinishauri ndiyo unapoteza kabisa..."
John Pombe MAGUFULI...Mwenyekiti CCM(T)
 
Lazaro Nyalandu ni kama ameiua CCM Mkoa mzima wa Singida maana hata wakati Lissu akiwa nje ya nchi kwa matibabu, Mh Nyalandu aliendelea kuifyeka CCM bila huruma.

Mpinzani wake wa CCM anaitwa Ramadhan Ighondu, mtu anayetajwa bila kukanusha kuhusika na kumteka na kumtesa kinyama kiongozi wa chama cha Madaktari Tanzania, Dr. Ulimboka kwa lengo la kumuua.

Hata wana Singida wangekuwa wamelogwa na kufanywa misukule wasingeweza kuchagua mbunge wa aina ya Ighondu.

Pichani ni Mh Nyalandu akiwa kwenye kampeni jimboni kwake.

Twiga oyeee
 
Kwa hiyo
Niambie maneno haya na Nani aliyeyatamka:

"......Wale wanaoishi Kama Malaika ntawashusha chini waishi kama Mashetani....!!
Tawala zilizopita mtu mwene pesa alikuwa na uwezo wa kufanya lolote.....!Kwenye Utawala wangu mtu mwenye Fedha anaweza kufanywa lolote!
Watumishi wa Umma sitawaongezea MISHAHARA mpaka nimelize Kujenga SGR, Stieglers Gorge, Flyover etc....!
Wewe Mkurugenzi ulipokuwa Marekani ndiyo ulikuwa unasomea upumbavu huu....!!!
Mimi Sitaki kushauriwa na mtu ukinishauri ndiyo unapoteza kabisa..."
John Pombe MAGUFULI...Mwenyekiti CCM(T)
Kwa hiyo what is the problem na maneno haya? Yametolewa katika context ipi?!
 
Chadema chama changu.. Mungu ibariki chadema Mungu wabariki viongozi wangu wa CHADEMA.. ✌🏽✌🏽✌🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
#NIYEYE #LISSURAIS2020
 
Lazaro Nyalandu ni kama ameiua CCM Mkoa mzima wa Singida maana hata wakati Lissu akiwa nje ya nchi kwa matibabu, Mh Nyalandu aliendelea kuifyeka CCM bila huruma.

Mpinzani wake wa CCM anaitwa Ramadhan Ighondu, mtu anayetajwa bila kukanusha kuhusika na kumteka na kumtesa kinyama kiongozi wa chama cha Madaktari Tanzania, Dr. Ulimboka kwa lengo la kumuua.

Hata wana Singida wangekuwa wamelogwa na kufanywa misukule wasingeweza kuchagua mbunge wa aina ya Ighondu.

Pichani ni Mh Nyalandu akiwa kwenye kampeni jimboni kwake.

Sasa yule mkabaji na kibaka ighodu,sijui anafanya nini huko jimboni heri afanye biashara ya kuuza punda kwa wachina
 
Back
Top Bottom