Tribute to William Ole Nasha: Alikuwa Miongoni Mwa Viongozi Wachache Bonafide Genuine Wazalendo wa Kweli waTaifa Hili. RIP Comred William Ole Nasha!

Tribute to William Ole Nasha: Alikuwa Miongoni Mwa Viongozi Wachache Bonafide Genuine Wazalendo wa Kweli waTaifa Hili. RIP Comred William Ole Nasha!

Wanabodi,
Sisi waandishi wa habari, na watangazaji tuna specialization zetu kutokana na vipaji tofauti na uwezo tofauti tofauti, ndio maana wengine wanasoma habari, wengine wanatangaza mpira, wengine kazi yao ni kuripoti tuu yaani maripota na wengine huweza kufanya story za uchunguzi yaani IJ. Mimi kwa upande wangu nime specialize kwenye talk shows na kufanya mahojiano.

Kufuatia long experience ya uzoefu wa muda mrefu kwenye kufanya mahojiano, nimekuja kupata uwezo wa kutofautisha fake from genuine, hivyo kwenye kuuliza maswali, kuna viongozi wanatoa majibu fake ili just to pay lip services tuu za kutokelezea, they don't real mean what they say or preach, ndio maana Tanzania tumeletewa chanjo 1,450, 000 corona, viongozi wetu wanatuhamasisha tuchanje na kutuhubiria kuchanja, lakini mpaka leo, tunakwenda miezi mitatu, zile chanjo 450,000 hazijaisha, achilia hizo chanjo zaidi ya milioni ambazo hazijachanjwa, na mind well, chanjo zote duniani zina expire date!.

Huyu Mhe. William Ole Nasha, ni miongoni mwa viongozi wachache, bonafide genuine ambao ni wazalendo wa kweli wa inchi hii.

Uwezo wa kuwatofautisha viongozi walipa lip services na bonafide genuine ni ukiwasikiliza kwa makini baada ya mahojiano, utabaini tuu.



Rip Comred William Ole Nasha.

Paskali

Kitendo cha kutoka ccm tu inatosha kum-disqualify! Familia ya panya tupu!
 
Hata siku akienda Mtemi Chenge utasema hivi hivi mpk tunajiuliza hao wezi walio CCM ni akina nani
P
 
Nimewahi kukaa naye hata kupata naye kinywaji kabla ya kuwa mbunge lakini hata alipokuwa mbunge na kupata uwaziri hakubadili stahili yake ya maisha ukiacha tu zile protokal za serikali. Huyu alikuwa hazina ya taifa na wala hakujishugulisha na makundi ya ovyo ya ccm.
 
Nimewahi kukaa naye hata kupata naye kinywaji kabla ya kuwa mbunge lakini hata alipokuwa mbunge na kupata uwaziri hakubadili stahili yake ya maisha ukiacha tu zile protokal za serikali. Huyu alikuwa hazina ya taifa na wala hakujishugulisha na makundi ya ovyo ya ccm.
Kuchafua uchaguzi si kujiunga na kundi la ovyo kuliko yote?
 
Kwa hali hii basi nchi Yetu ina kaz kubwa kuja kuwa na viongozi watakaotatua shida za Wananchi kwa kuwaletea maendeleo.Sasa kiongozi anaulizwa kuhusu sheria ya gesi na mafuta yeye anajibu kuhusu wanyama.
Sorry marehemu hasemwi vibaya lakin.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paskali,

Ili uipende nchi yako kwa ninyi mnachokisadifu kama 'Uzalendo' lazima kwanza uipende familia yako. Uzalendo unaanzia kwenye 'boma' lako mwenyewe.

Ole Nasha hakuwa anaipenda familia yake haswa mamaye, Nasha. Yupo kwenye hali mbaya. Kwenye umaskini wa kutukuka.

Huo unaouita uzalendo ulikuwa kwa ajili ni kwa manufaa ya tumbo na anasa zake tu.
Ila wamasai orijino siyo wezi na hawapendi kulimbikiza mali, ukiacha mifugo...
 
Tuache unafiki kwa kutoa sifa za uongo pale mtu anapokufa tukafikiri hiyo itamsaidia aliyekufa kwa muumba wake Mungu anajua matendo yetu yote tuliyotenda hapa duniani yawe ya heri au shari hata tukiigiza vipi hauwezi kumshawishi au kumlaghai chochote Mungu.
 
Ungemjibu swali lake je aligomea kura za magumashi??
Mkuu igogondwa, hakuna kitu kama hicho cha kura za magumashi, uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, japo kasoro ndogo ndogo hazikosekani, ni jambo la kawaida kwa chaguzi zote, lakini matokeo ni matokeo halali.
P
 
Back
Top Bottom