Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
- Thread starter
-
- #41
Hahaa! mkuu! utamu wote kesho! naomba nijipumzishe! ndugu zangu! Kesho wikend ntatupia vipande 15 saa 11 alfajiri! 10 mchana na 10 jioni!Yamwisho bwana mpk unapewa zawadi
Dah ! Umezingua mwamba umemuacha mtoto yunge bila kumtia umeyeyusha.....21
Jamani mimi ni mkubwa kwako bwana, alisema yunge!
Mimi: labda kama unatafta njia ya kunikataa tu, maana naona hunipendi na hujaridhika mimi kuwa mchumba wako, najua siwezi kulazimisha mambo! Tulale tu wala sikufanyi chochote, miaka hii 19 sijawahi kufanya leo hii nikubake mtoto wa watu? Siwezi bwana, nilipama kina cha maji!
Yunge: umechukia?
Mimi: kwani nmefoka?
Yunge: haya tulale usiku mkubwa huu
Mimi: poa,
Nikazima radio nakujigubika ghubighubi! Tulipitiwa usingizi mpaka yunge aliponistua kwamba kumekucha na anataka ondoke! Basi saa 11 na dakika 37 ile nikamsindikiza mpaka karibia na nyumbani kwao, kabla sijaanza kurudi akasema, mhh! Nmeamini wewe ni mchumba wangu kweli! Naomba usirudi nyumbani kwenu leo, baki nitakurinda na mafisi na hao wachawi wachawi! Alisema,
Pia ukibaki ntaamini unanipenda kweli, usiku ntakuletea zawadi ambayo hutoisahau! Sawa nzehe? Aliuliza! Sawa ntaona!
So kuona baki bwana!
Pamoja mwanaKesho wana tutaendelea! Ntazimwaga nyingi kama mchanga hapa!
Mwamba nilitaka nimjengee kuniamini zaidi! pia nilitaka kumwonesha sina haraka nae! aaf pia sikuwa nimewahi kufanya mnyanduano mpaka umri huo! dah! hatari sana.Pamoja mwana
ila umezingua umemuacha mtoto kakuletea mwenyewe PAPUCHI
Baada uichakate unalembelemba
utoto mkuu! Na mikwara alokua ananipiga mwanzo nikataka nimwoneshe kwamba sina pupa nae, kingine nilitaka kumjua zaidi maana mtu anakwambia nitakurinda dhidi ya wachawi na hali ni msichana mdogo vile, au nikubali nilizingu kweli.Dah ! Umezingua mwamba umemuacha mtoto yunge bila kumtia umeyeyusha
Hv alikuwa na shanga mkuu!?? Pisi za usukumani ndio mambo yaoMwamba nilitaka nimjengee kuniamini zaidi! pia nilitaka kumwonesha sina haraka nae! aaf pia sikuwa nimewahi kufanya mnyanduano mpaka umri huo! dah! hatari sana.
Mkuu, ni neno rasmi kabisa kule.. Mimi nimeishi sehemu kadhaa kanda ya ziwa kule.. Ingawa sio mzawa wa kule.Neno senta naliona sana kwa story za kanda ya kaskazini zinazoandikwa huku
Bukoli kuna wanga pale noma sanaMkuu, Bukoli kuna vichotara uchwara vya kiarabu! Pia Bukoli pale ngono inatembea sana! wakishakula vibambala basi shughuli inaanza.