.....21
Jamani mimi ni mkubwa kwako bwana, alisema yunge!
Mimi: labda kama unatafta njia ya kunikataa tu, maana naona hunipendi na hujaridhika mimi kuwa mchumba wako, najua siwezi kulazimisha mambo! Tulale tu wala sikufanyi chochote, miaka hii 19 sijawahi kufanya leo hii nikubake mtoto wa watu? Siwezi bwana, nilipama kina cha maji!
Yunge: umechukia?
Mimi: kwani nmefoka?
Yunge: haya tulale usiku mkubwa huu
Mimi: poa,
Nikazima radio nakujigubika ghubighubi! Tulipitiwa usingizi mpaka yunge aliponistua kwamba kumekucha na anataka ondoke! Basi saa 11 na dakika 37 ile nikamsindikiza mpaka karibia na nyumbani kwao, kabla sijaanza kurudi akasema, mhh! Nmeamini wewe ni mchumba wangu kweli! Naomba usirudi nyumbani kwenu leo, baki nitakurinda na mafisi na hao wachawi wachawi! Alisema,
Pia ukibaki ntaamini unanipenda kweli, usiku ntakuletea zawadi ambayo hutoisahau! Sawa nzehe? Aliuliza! Sawa ntaona!
So kuona baki bwana!