Baada ya kugombana na Tatu hajaweka muendelezo bali ameanza kwa mzee mapengo directKuna muunganiko umekosekana kutoka 152 mpaka 154 nahis 153 haipo sijui
Samahani lakini kaka
Alizimia week mbili hujasoma vzrBaada ya kugombana na Tatu hajaweka muendelezo bali ameanza kwa mzee mapengo direct
Duuh kweli hako ka Yunge kanataka kakupande kichwa bhaghoshaaa161
Nilijikuta naanza kuchukizwa na maswali yake sasa, nilimuona anataka kunicontroo, nilikaa kimya nisimjibu.
Kwahio umekua mtu wa tamaa kiasi hiki mpaka kupelekea kila msichana unaeonana naye umtake kimapenzi sio? Naanza kuamini maneno ya tatu sasa, aliongea yunge mkubwa huku akinyoosha mkono wake na kunifinya kwa nguvu mkononi mwangu, ajabu aliniachia haraka sana utafikiri mtu alieshika mkaa wa moto.
Alisimama na kuniangalia kwa macho ya chuki, aliondoka kwa unyonge tena bila kuaga akisema, sitokubali kuchezewa akili hata kidogo, nitawakomesha lazima, aliongea akiishilizia nyuma ya nyumba kubwa ya babu mahali ilipokuwepo njia ya kwenda makwao.
Umemsikia alivyosema? Aliuliza babu akiwa kasimama mlangoni.
Hawa wanataka kutuchezea hawa, tumewalea sana hawa, muda umefika tuwanyooshe sasa, alisema babu huku akiwa tayari amenifikia na kuutwaa mkono wangu akiniangalia nilipofinywa na yunge mkubwa.
Mhh? Inamaana babu kaona yote? Niliwaza huku nikitupa jicho pale nilipofinywa, niliona mikia miwili ya..!
Hatakama ungekua wewe lazima uchukie tu, kwawakati ule nilihisi kama hakuwa na hakai ya kuniganda vile, ila kwa sasa, naelewa mapenzi yanavyoweza kumfanya mtu akatenda mambo ya ajabu.Duuh kweli hako ka Yunge kanataka kakupande kichwa bhaghoshaaa
Poa mwanangu kesho hamna noma story tamuInatosha kwa leo, usikose muendelezo kesho ujue mazito niliyokutana nayo ndani ya kijiji hiki chenye wasichana wengi walozi kupindukia.
Daaah! Huko kijijini hapafai hata kwenda kwa kweli!Hatakama ungekua wewe lazima uchukie tu, kwawakati ule nilihisi kama hakuwa na hakai ya kuniganda vile, ila kwa sasa, naelewa mapenzi yanavyoweza kumfanya mtu akatenda mambo ya ajabu.
Shukrani mkuu.Poa mwanangu kesho hamna noma story tamu
Nakwambia kunavijana kule wamezaliwa na kukulia pale lakini mambo yanayofanyika hawajui kabisa na hata ukijaribu kuwaambia wanakataa eti kijiji cheo hakina mambo ya ulozi.Daaah! Huko kijijini hapafai hata kwenda kwa kweli!
Jigo.Dahh manyanda zogoshii