Hassan Mambosasa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 3,359
- 4,528
Haya mambo mimi nawalaumu mods tu, wangekuwa wanafanyia malalamiko yote kuhusiana na kero nza usumbufu wa watu. Mbona kungekuwa shwari humu, JF siku hizi imeingiliwa na watoto moderationa inahitajika kuwa kubwa zaidiYaani Hawa watu natamani jf ingekuwa na sehemu ya VN Ila bahati yao
Huna lolote ujualo wewHaya mambo mimi nawalaumu mods tu, wangekuwa wanafanyia malalamiko yote kuhusiana na kero nza usumbufu wa watu. Mbona kungekuwa shwari humu, JF siku hizi imeingiliwa na watoto moderationa inahitajika kuwa kubwa zaidi
Naona umeweka kiungo kinachoweka akili zako kwenye avatar
Dad ako huyo kijna ....tulia shemejiNaona umeweka kiungo kinachoweka akili zako kwenye avatar
NakaziaaaAsithubutu kurudi kuleta uongo wake hapa akawasimulie mademu zake huko huko kwao hatutaki story za kijinga jinga huku kujaza seva bure
Dad kwann usisome kuruani ukweli mtupu kuliko Kuja hapa kulialia unajidhalilisha San bintAwe anatutumia pm nasi tunatumiana
Watu tumemkatisha tamaa wenyewe ujuaji mwingi,
Akafie mbali mpuuz tuNzehe Pettymagambo mume wao Yunge's hebu rudi, hii ni Jf ina kauli chafu na safi, hivyo usiangalie wanaokukosea heshima bali tuangalie sisi wengine tunaovutiwa na kujifunza kutokana na simulizi yako
Dad acha kuwachosha watu mleta story mwenyewe Ni magumashiMkuu Tayukwa usisahau kupita nahukuu
Kipaji gani bwanaa uzushi tuIla wakuu kuandika kipaji sana, tumwache tuu
Sawa karibuNinarudi sasa, hunijui, sikujui, sikudai, hunidai ukiona uwongo futa, kwanza najua haters wote mnafuatilia stori hii na ndosababu mnachungulia hapa kila mara, sasa nasemaje? Nimerudii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wegero kwetuNinarudi sasa, hunijui, sikujui, sikudai, hunidai ukiona uwongo futa, kwanza najua haters wote mnafuatilia stori hii na ndosababu mnachungulia hapa kila mara, sasa nasemaje? Nimerudii.
kanyaga twende baba yunge, mwendo mchibuyuNinarudi sasa, hunijui, sikujui, sikudai, hunidai ukiona uwongo futa, kwanza najua haters wote mnafuatilia stori, sasa nasemaje? Nimerudii.
Nipo hapa kumrekebisha sitaki kuona anadanganya Uma wa watanzaniaSasa kwanini huwa unausoma huo uongo
Na hapo utakuta umesubscribe hii thread
Kama ni uongo achana nao na potea kwenye huu uzi!!!!!
Ninarudi sasa, hunijui, sikujui, sikudai, hunidai ukiona uwongo futa, kwanza najua haters wote mnafuatilia stori hii na ndosababu mnachungulia hapa kila mara, sasa nasemaje? Nimerudii.
Hujui kutunga story bhana kuwa muwazi tuNinarudi sasa, hunijui, sikujui, sikudai, hunidai ukiona uwongo futa, kwanza najua haters wote mnafuatilia stori hii na ndosababu mnachungulia hapa kila mara, sasa nasemaje? Nimerudii.
Jamaa anaimba taarabu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wegero kwetu