True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

Ninarudi sasa, hunijui, sikujui, sikudai, hunidai ukiona uwongo futa, kwanza najua haters wote mnafuatilia stori hii na ndosababu mnachungulia hapa kila mara, sasa nasemaje? Nimerudii.
Sawa karibu
 
Bora urudi maana wazalendo tulikuwa tunakosa kitu roho inataka, hata hao wengine walikuwa wako arosto ila ndo hivyo walikuwa wanakula jeuri yao.
Ninarudi sasa, hunijui, sikujui, sikudai, hunidai ukiona uwongo futa, kwanza najua haters wote mnafuatilia stori hii na ndosababu mnachungulia hapa kila mara, sasa nasemaje? Nimerudii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…