True story: Babu yangu kama mshikaji wangu

umeona eeehhh..... jamaa anadhani anasimulia watoto wenzie. mara babu yake alimtuma kisimani mara anaenda bombani anajichanganya tu. na uandishi wake dogo anaweka maneno ya kitoto tu hajui hata kusimulia.
We unajua kusimulia?? Acheni kujikuta
 
Umenena vyema
 
Ngoja nisome nitacomment badae
 
Mahali nilipo siyo rafiki, naona kufikia saa 12 jioni nitakuwa nimefika sehemu yangu huru na nitaanza kuziweka kwa wingi.
Kwani hizi story huwa mnaandika na kuzificha mahali , mnakuwa mnadokoa tuepisode tumoja tumoja ama huwa mnaandika na kupost,??? Nawaza tu vile niko mvivu kutype siku nikileta story yangu nitakavyoshambuliwa na mitusi
 
Nakwenda kuzicheki, bila shaka arosto mtakuwa nayo nyie ambao mlianza kuisoma mapema.

Sasa nikushangaze hii title ya uzi ulionipa link hua naiona several times ila hua naikwepa wala sijawahi kuifungua.

Asante kwa ushirikiano mkuu.
 
Kuna kurudi nyumbani kweli au ndio tushazamia kwa babu kizaa baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…