Hawa wataalamu nishasoma nyuzi zao za kutosha labda nikakague tena kama kuna mpya
https://www.jamiiforums.com/threads/hadithi-madam-president.2082059/ soma hiyo achana naye huyoIwe oli mulalu[emoji23]
We unajua kusimulia?? Acheni kujikutaumeona eeehhh..... jamaa anadhani anasimulia watoto wenzie. mara babu yake alimtuma kisimani mara anaenda bombani anajichanganya tu. na uandishi wake dogo anaweka maneno ya kitoto tu hajui hata kusimulia.
Mkiona ni fiction piten hiv, wengine tunaenjoy kutoa stress na mifadhaikodogo muongo sana. halafu hatumii akili kudanganya maana hana.. anafikiri sisi wote madogo wenzie
Umenena vyemaUkitaka kujua humu kuna watu hawana akili hata ya kuvukia barabara siku moja njoo na story yako unayotamani kushare na jamii
Utasikia Muongo, umecopy sio wewe, chai hii dah
Mtu anakwambia nimelala na njaa wewe unamwambia "Muongo" ulikuwepo?
Kuna siku nilitamani kushare na jamii na kuwaelezea simulizi flani jinsi nilivyofanikiwa kumkamata mwizi wa mitandaoni na zile njia nilizotumia na wao wezi njia wanazotumia
Yanii mimi mwenyewe ndio nimemkamata huyo Mwizi ,
Na Rb ninayo mfukoni anatokea mtu humu hata hana anachokijua anakwambia tu chai hio Muongo, umecopy wewe
Mara nyingi tunakosa kupata taarifa mbali mabli kwa sababu ya watu wachache wenye Tabia za utoto utoto na za kijinga zinawakatisha tamaa wasimuliaji
Binafsi nikifunga hadith au simulizi humu nikiona alijanipendeza naondoka bila ya kuaga sio kucomment vimaneno vya kuwakera wengine wanaofatilia
AiseeHujatuambia harufu uliyomkuta nayo Tatu,maana wasichana wa kijijin ukimshitukiza game tena mchana hizo harufu utakazokutana nazo zitakuwa sio za kawaida
chaiNimejiunga Jamiii Forum kwa ajiri ya Yunge Mkubwa na mdogo 😁.
Embu lete mambo kila dakika nachungulia kama Kuna muendelezo.
Ngoja nisome nitacomment badae...77
Mbona umeharibu dawa yangu? Alinitupia swali babu, nilibaki kushangaa tu, nilikumbuka yunge alivyonibana mpaka nikakubali kwamba nimechanjwa chale na kupakwa dawa.
Nilisahau kukuambia sharti moja, nikwamba hukutakiwa kukubali hata kama amejua, hatakama amekuona, ili dawa isiharibika hukutakiwa kukubali, lakini imeshatokea na hiyo dawa imekufa hivyo tuangalia namna nyingine, alisema babu na kunitaka nibaki pale muda wote kwani wao wanakwenda msibani.
Kuna msiba wapi tena babu? Nimwuliza.
Ee kuna msiba tena umetokea, baba wa yule mtoto alieliwa na fisi amefariki ghafla asubuhi ya leo wakati jana alikuwa yu mzima wa afya, alijibu babu akimaanisha yule jamaa tuliekuwanae juu ya mti usiku na kumsikia akilia mama yake kumchinja mjuku wake.
Inamaana amekufa? Nilijiuliza.
Sawa babu mie nipo hapa.
Nilimwona bibi anatoka ndani, ila tulipokutanisha macho nilimwona kashtuka kidogo, nilimuwahi kwa kumsalimia na vijiutani kidogo, sikutaka ahisi kitu kama yunge alivyopa maelezo.
Kuna viazi na uji utakula mme wangu..!
Kwani hizi story huwa mnaandika na kuzificha mahali , mnakuwa mnadokoa tuepisode tumoja tumoja ama huwa mnaandika na kupost,??? Nawaza tu vile niko mvivu kutype siku nikileta story yangu nitakavyoshambuliwa na mitusiMahali nilipo siyo rafiki, naona kufikia saa 12 jioni nitakuwa nimefika sehemu yangu huru na nitaanza kuziweka kwa wingi.
Pita hivi sio lazima kufatilia,ovaHuyu muongo muongo unamwamini ? Hana anachojua kwenye uandishi haweki Aya Alama za uandishi hamna hakuna muunganiko uongo mwingi yaaani haieleweki
Nakwenda kuzicheki, bila shaka arosto mtakuwa nayo nyie ambao mlianza kuisoma mapema.Zipo mbili mkuu ila zina arosto ya kufa mtu
Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu
Na hiki ni kisa kama nilivyosimuliwa na Magreth Haule, mwanamke aliyewahi kuhudumia shule moja ya msingi (English Medium) kata ya Mbezi Juu, Dar es salaam...www.jamiiforums.com
Kuna kurudi nyumbani kweli au ndio tushazamia kwa babu kizaa baba158
Jifunge hii, alisema babu akinikabidhi nguo nyeusi ama kaniki, nilipokea na kujifunga kwa kuipitisha kwapani na kuizungusha nyuma ya shingo.
Sasa mwanangu nakukabidhi vitu hivi vikusaidie kukulinda mpaka atakaporudi mzee mapengo atupe utaratibu wa kufanya, alisema babu akinionesha ule upembe na mkia, kesho ukiamka vizuri nitakuelezea kila kitu kilchotokea na kwasasa twende nje mwenzio anakungoja akujulie hali, alisema babu kisha akatoka nje.
Niliziangalia zile zana pale kitandani nikajua mambo yamekwiva sasa, hizi siyo siraha za maangamizi kweli? Upembe wenye kuzungukwa mahirizi, vibuyu lundo vyenye mahirizi shingoni, mkia{usinga}wenye hirizi kadhaa na ngozi ya mnyama hatari sana, vyote vilikuwa eti mali yangu nisijue namna ya kuvitumia, ngoja tuone, nilijisemea na kuelekea nje ambako yunge mdogo alikuwa amekaa kuningoja.
Pole kwa majanga yaliyokukuta mchumba, alisema yunge mdogo huku akiniangalia machoni ambapo nilinamisha uso chini nisijibu.
Afadhali moyo umeanya kutulia kukuona katika hali hii.
Afisa, kwani unateseka !?Uzi inabidi ufutwe tu
Kuna watu wako fasta kurudisha majibu, yan fasta tu mtu anatulizwaHujaitwa huku
Dah! Nakuona shost uzi umekuenea huu.Kuna watu wako fasta kurudisha majibu, yan fasta tu mtu anatulizwa
Ipi hiyo?Katika episode zote hii ndo nimejipata nacheka kwa saut