Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Nahene nkoi!Nipo na familia mkuu pasaka hii na sidhani kama nitapata tyme ya kuandika ndani ya siku 3 hizi.
molemola gokaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahene nkoi!Nipo na familia mkuu pasaka hii na sidhani kama nitapata tyme ya kuandika ndani ya siku 3 hizi.
Sawa Mr Yunge. Pasaka njema kwako na familia yako.Nipo na familia mkuu pasaka hii na sidhani kama nitapata tyme ya kuandika ndani ya siku 3 hizi.
endelea kutunga wanaume unawadanganya na nini ww mwangaNipo na familia mkuu pasaka hii na sidhani kama nitapata tyme ya kuandika ndani ya siku 3 hizi.
Hiki ki fala kilishalewa sifa dadekiNipo na familia mkuu pasaka hii na sidhani kama nitapata tyme ya kuandika ndani ya siku 3 hizi.
[emoji23][emoji23] kweli ujue tena alikuwa anamwambia hakuna wa kukulipa humu fanya mambo yako taratibu ukimaliza post story[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio huyo tu hata Steve mollel yupo busy michezoni story katelekeza[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23] unajua mpenzi na mm ka arosto kameniingia sema tu naona soo kufos mambo[emoji28][emoji28]
namuona mwamba Pettymagambo yuko online kule michezoni sasa anasauje mashabiki zake.. sijui anacheza rede huko na Chizi Maarifa ??[emoji23][emoji23]
Mateso bila chuki[emoji24]Nipo na familia mkuu pasaka hii na sidhani kama nitapata tyme ya kuandika ndani ya siku 3 hizi.
@Shunie kwani Mollel ana story ingine? Ukiacha ile ya jirani, kama ndio naomba link pls.Sio huyo tu hata Steve mollel yupo busy michezoni story katelekeza
Hawa wataalamu nishasoma nyuzi zao za kutosha labda nikakague tena kama kuna mpya
shunie ninkwenda💞❣️Sio huyo tu hata Steve mollel yupo busy michezoni story katelekeza
Iwe oli mulalu[emoji23]shunie ninkwenda[emoji179][emoji3589]
Zipo mbili mkuu ila zina arosto ya kufa mtu@Shunie kwani Mollel ana story ingine? Ukiacha ile ya jirani, kama ndio naomba link pls.
Ukizingatia leo pasaka muda wa kusoma wa kutosha, pasaka njema mpendwa.
Njooeni huku hakuna arostoshunie ninkwenda[emoji179][emoji3589]