[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Pettymagambo hebu nipe jina na picha ya huo mti na sehemu unakopatikana.
Kuepuka usumbufu wa kina Chizi Maarifa njoo inbox.
Posho yako itakuwepo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Pettymagambo hebu nipe jina na picha ya huo mti na sehemu unakopatikana.
Kuepuka usumbufu wa kina Chizi Maarifa njoo inbox.
Posho yako itakuwepo.
Tutakuharibia swaumu wakaldayo shauri yako Mrs AbdoolNdiyo upeo wako ulipofikia. Uislam ni kwa kila mtu. Ni kwa kuwa hujielewi tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu hawataki story tena wanataka jina la mti [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]Nakupa masaa 72 uwe umeweka kisa kingine. Familia , familia... Kwani nani hana familia? Acha hizo habari. Wananchi wanataka uwape kisa kingine nakushauri ufanye hivyo NISIJE NIKAFANYA KAMA AMBAVYO NLIWAHI MFANYIA MEMBER MMOJA HUMU NDANI.
Wakawakomeshe watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu hawataki story tena wanataka jina la mti [emoji1787][emoji1787]
HahahaahaAchana na story leta jina la uo mti na picha yake bila kusahau maelekezo
Acha mkwara wa mchana kweupe wewe, kama nikuwa stori ya kipuuzi naiwe tu, sio kutegana vimitego vya kitoto kama hiki ulichotega hapa.Story itakua ya kipuuzi bila kuweka picha ya tukio lolote.. Mfano unaweza taja mti na ukaupiga picha
Hapa unadanganya Umma. Uislamu ni kwa baadhi ya watu pamoja na Majini.Ndiyo upeo wako ulipofikia. Uislam ni kwa kila mtu. Ni kwa kuwa hujielewi tu.
Aweke hapa nipige simu kuuliza ulipo ili kuthibitisha kwa manufaa ya wasomaji.Pettymagambo hebu nipe jina na picha ya huo mti na sehemu unakopatikana.
Kuepuka usumbufu wa kina Chizi Maarifa njoo inbox.
Posho yako itakuwepo.
Nafikiri hilo ndio jambo la msingi kwa sasaHaya, huo mti mizizi yake tunaipataje?
Hahaaaa, umemshtukia jamaa.Acha mkwara wa mchana kweupe wewe, kama nikuwa stori ya kipuuzi naiwe tu, sio kutegana vimitego vya kitoto kama hiki ulichotega hapa.
Twende pole pole mkuu wameanza kukwelewa hawa haters.😅😅😅Acha mkwara wa mchana kweupe wewe, kama nikuwa stori ya kipuuzi naiwe tu, sio kutegana vimitego vya kitoto kama hiki ulichotega hapa.
Bora mimi upeo wangu umefika hapo, maana wewe hata upeo wa kufikia popote huna.Ndiyo upeo wako ulipofikia. Uislam ni kwa kila mtu. Ni kwa kuwa hujielewi tu.