Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Finaly nimeupata, shukrani na tarajia mambo kujipa muda si muda.
Miyeyusho we jamaaFinaly nimeupata, shukrani na tarajia mambo kujipa muda si muda.
Wapanick tu,akati ukweli uko wazi!!Ukiwaambia ukweli kama hivi wanapanick mfyuuuuu
Isitoshe mwanamke um bikiri kisha uendelee kum pump mpk wazungu watoke! Hmm bikra ya wap hii isokuwa na maumivu yale nnayoyakumbuka hadi leo..!WAJUAJI WAKIJA WATAKUULUZA
Mpaka sasa huyu bwana hajafikisha masaa 24 hapo ugenini kwa Babu yake kifupi alifika saa 12 na mpaka Sasa n saa nane mchana lakini sasa
👉Ameshajua kuku huwa wanakaa WAP mchana?
👉Kaonana na msichana jion nayeye akiwa mgen lakin usiku alimfungulia geto?
👉Saa 11 asubuh unasindika mtu ambae hujui kwao n wap na vp heshima yako kwenye mji husika ipoje?
👉Inakuaje we n mgen tena mjukuu ulipewa jina lababu alafu wote wanakuacha walijua we n mgen bila hata chakula Cha mchana?
👉Hukuwah kulala na msichana Ila mpaka sasa umeshalala nae na bado una shauku ya kupata mwingine.(mkojo wa kwanza kutoka kwa Mara ya kwanza huwa unakuchukua akili kwa aliyekukojolesha)
👉Unapata ujasiri gani kutoa nguo zako na shuka la Bibi yako liende kwenye mji usioufahamu ili Hali ulishataadhirishwa na Mambo ya ushirikina?
👉Muda n mchache Mambo n mengi.
Jamani achen mihemko hapa tupite Kama kuburudika na kuongeza kitu kichwan tusiwe serious Sana.
MajuqumPettymagambo nini kimefanya utelekeeze uzi??
Alipigwa mikwara na wachawi anatoa siriPettymagambo nini kimefanya utelekeeze uzi??
hilo tako kwa avatar ni weweAlipigwa mikwara na wachawi anatoa siri
Karibu sana leta storySamahani kwa usumbufu ulojitokeza, nilishindwa kuendeleza stori kutokana na changamoto za kibinadamu, japo nilikuwa natamani nipate muda wa kumaliza stori yangu, ila changamoto zilikuwa nyingi hivyo sikuwa na namna, naweza kuendelea na stori hii mpaka mwisho endapo mtaendeleza sapot zenu katika kisa changu hiki, asanteni sana.
Story za ndumba tamu sana, shusha vitu tuburudike tupunguze ukali wa maishaKaribu sana leta story
Endelea mzeeSamahani kwa usumbufu ulojitokeza, nilishindwa kuendeleza stori kutokana na changamoto za kibinadamu, japo nilikuwa natamani nipate muda wa kumaliza stori yangu, ila changamoto zilikuwa nyingi hivyo sikuwa na namna, naweza kuendelea na stori hii mpaka mwisho endapo mtaendeleza sapot zenu katika kisa changu hiki, asanteni sana.
kama unaendelea we endelea hakuna mtu aliekuwa busy kukusubiri wewe na story zako za mchongoSamahani kwa usumbufu ulojitokeza, nilishindwa kuendeleza stori kutokana na changamoto za kibinadamu, japo nilikuwa natamani nipate muda wa kumaliza stori yangu, ila changamoto zilikuwa nyingi hivyo sikuwa na namna, naweza kuendelea na stori hii mpaka mwisho endapo mtaendeleza sapot zenu katika kisa changu hiki, asanteni sana.
Umeitwa?kama unaendelea we endelea hakuna mtu aliekuwa busy kukusubiri wewe na story zako za mchongo
Acha upoyoyo sisi tunasubili kwa hamu sana tukama unaendelea we endelea hakuna mtu aliekuwa busy kukusubiri wewe na story zako za mchongo