True story!! Kwenye mapenzi tuwe makini kabla ya kuingia kwenye mahusiano

Asiendee na uhusiano amshukuru Mungu.Ndugu wa damu kuoana mnazaa viumbe dhaifu
 
Mtoto wa shangazi au mjomba wanaoana vizuri tu na hata kisheria gaina shida.
Huo ni undugu wa mbali,angekuwa dada wa Mama mdogo au Mama mkubwa ndio kidogo utaina soo.
 
Ni kweli mkuu
Kwahyo kwa upande wako utamshaurije? Afanye maamuzi gani
yeye umeona analichukuliaje?

kuna ile aibu fulani ya kumchungulia ndugu bahati mbaya ile,

ameogopa au amechukia kuzuiwa penzi lake?
 
Hapo wewe vuta goma hilo weka ndani.!!
Km huwezi weka namba wanaume wenzio wa hapa JF wakusaidie kumshauri madhara ya kuwa na mahusiano na kaka yake.!!
 
yeye umeona analichukuliaje?

kuna ile aibu fulani ya kumchungulia ndugu bahati mbaya ile,

ameogopa au amechukia kuzuiwa penzi lake?
Anasema Bado anampenda
Anaongea kwa kilio kabisa. Yupo tayari km mzazi anabariki kuendelea nae hatomuacha
 
Hapo wewe vuta goma hilo weka ndani.!!
Km huwezi weka namba wanaume wenzio wa hapa JF wakusaidie kumshauri madhara ya kuwa na mahusiano na kaka yake.!!
Nina goma langu tayari
Alaf si unajua, sii kila ukiona kichaka unabanwa na haja. Nawaachia wadau msio nao, jimbo ilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…