Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Consider me only😀😀Everyone one wants her
Asiendee na uhusiano amshukuru Mungu.Ndugu wa damu kuoana mnazaa viumbe dhaifuWakuu kwema?
Leo mida ya asubuhi nimepokea simu kutoka kwa rafiki yangu/mdg wangu jinsia ya KE. Akanielezea mkasa ambao alitaka nimshauri. Nimeona sii vibaya nikishea hapa jukwaani huenda akapata mawazo mazuri zaidi.
Huyu rafiki yangu ni kama mdogo wangu maana kaka yake amewahi kufanya kazi kwangu kipindi fulani 2022. Amekua kila akikutana na jambo linalohitaji ushauri ananishirikisha namshauri, siku zinasonga.
Kipindi hiki cha sikukuu alisafiri kwenda kwao(Moshi) kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka. Akiwa na mama yake mzazi alimshirikisha kua amepata mchumba ambae anaamini siku zijazo atakua mumewe. Mama yake alimpongeza, na baada ya hapo Alimuonesha picha mbalimbali walizopiga wakiwa pamoja. Kwa bahati nzuri/mbaya mama yake aliona sura ya yule kijana akahisi kumfahamu au kumfananisha na kijana anaemjua. Alimuuliza bintiye huyu kijana ni wa wapi akamjibu kwao ni Mwanza. Mama yake alivotajiwa majina ya kijana akamwambia huyu ni mtoto wa shangazi yako(akamtajia jina la shangazi).
Ghafla Mama yake akaanza kumuuliza ilikuaje mmekutana mkaanza mahusiano? Akawa mkali na kumwambia afute picha hizo na hayo mahusiano ayaache mara moja. Binti anasema anampenda lkn hajui afanyaje maana ameshaambiwa wasiendelee. Na kijana ameshaonywa tayari. Nimemuuliza ilikuaje hujui ndg zako? Akasema anajua ndg upande wa mama pekeake maana ndio alieishi nae.
Mimi nimemshauri kua yeye bado ni mdogo (26) anamuda wa kupata mtu mwingine sahihi na maisha yakasonga.
Ungekua wewe ungemshauri nini huyu dada? Ataendeleaje na mahusiano na mtu ambae ni ndugu yake?
sio lazimaNdugu jinsia mbili tofauti kama hamjuani mkikutana lazima mpendane.
Nyie mtadhani ni upendo wa mapenzi kumbe ni ile damu ya undugu inafanya kazi.
Ni ruksa haikatazwiHii kitu ipo seriously?
kuna ndugu ni wazuri😅Kwa hiyo ndugu wamegegeduana 🤣🤣🤣🤣
Duh sasa hapo naona jamaa ndio atakuwa anataka mbususu ya ndugu yake even more
Wee bwana walishakulana heshima tena hamna hapo ni bora tuu waendelee kulanakuna ndugu ni wazuri😅
ila ndo hivyo tujiheshimu
naskia cousins wanakulana freshi tu ile genetic diversity wanayo hawawezi kuzaa mtoto mwenye shidaWee bwana walishakulana heshima tena hamna hapo ni bora tuu waendelee kulana
Hawa ata kama hawataoana ila wataendelea kugegeduana
🤣🤣Ndugu jinsia mbili tofauti kama hamjuani mkikutana lazima mpendane.
Nyie mtadhani ni upendo wa mapenzi kumbe ni ile damu ya undugu inafanya kazi.
yeye umeona analichukuliaje?Ni kweli mkuu
Kwahyo kwa upande wako utamshaurije? Afanye maamuzi gani
Now u are adding fuel to the fire 🤣🤣🤣🤣naskia cousins wanakulana freshi tu ile genetic diversity wanayo hawawezi kuzaa mtoto mwenye shida
Anasema Bado anampendayeye umeona analichukuliaje?
kuna ile aibu fulani ya kumchungulia ndugu bahati mbaya ile,
ameogopa au amechukia kuzuiwa penzi lake?
Nina goma langu tayariHapo wewe vuta goma hilo weka ndani.!!
Km huwezi weka namba wanaume wenzio wa hapa JF wakusaidie kumshauri madhara ya kuwa na mahusiano na kaka yake.!!